sirajj johnn
JF-Expert Member
- Apr 5, 2017
- 1,540
- 865
- Thread starter
-
- #81
Zimalipiwa ushuru wa Zanzibar ukishalinunua utalipia ushuru wa baraZimelipiwa ushuru wa bara?
Gari zipo unguja mkuu karibu sanaUnapatikana wapi
TZS 9.5m au zaidi kidogo6.5 + ushuru wa bara + usafirishaji
9.5M au zaidi kidogo wakati naweza pata showroom za Dar kwa 9m everything paid,yaani mie naenda lipa insurance tu.TZS 9.5m au zaidi kidogo
Gari nzuri ila kuleta Dar na kuitoa ndio shughuliSpacio mbili zipo sokoni ziko katika hali nzuri kabisa karibu sana
Karibuni sana wakuu
Piga 0766-195115
Huko Zanzibar zimelipiwa Ushuru wa Kiasi gani??Zimalipiwa ushuru wa Zanzibar ukishalinunua utalipia ushuru wa bara
Kanunue tu mkuu ushuru hauwezi kwa Zanzibar kufika hiyo bei usipotoshe watu9.5M au zaidi kidogo wakati naweza pata showroom za Dar kwa 9m everything paid,yaani mie naenda lipa insurance tu.
Nunua dar kwa hiyo pesa yako mkuuKula 4 Million fasta kisha mm nipambane na ushuru wa bara n usafirishaji mkuu