Kuna kitu kimoja wanaume wenzangu huwa nawashauri, kazi za jikoni hazituhusu sawa lakini usipo invest kwenye tech jikon kwako ni ww mfuko utakutoboka, kwangu nina rice cooker, eletric pressure cooker, induction cooker, bread maker, blender kadhaa, juice maker, water boiler ya lita 10 nk vyote ni umeme, gas ya kilo 50 huu mtungi size ya kati huwa unatumika miez 3, mkaa ni kama situmii tena maana nlinunua kiroba kile cha 10,000 mwezi wa 4 huu kipo nusu, umeme nanunua 30,000 kwa mwez unatosha, so vitu vingi natumia umeme kuliko hizi energy source nyingine za gharama, sio kwamba sina watumiz mengine kama kufulia nk ila umeme wa 30k unatoboa safi kabisa, wekezeni jikon kwa technolojia muone ilivyo rahisi