Niache Nteseke
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 2,162
- 2,616
- Thread starter
-
- #221
Zipo sumu ambazo unaenda fia mbele ya safari huko hata kesho kutwa kabisa. Na si kila mgeni anaweza kuja kwako kwa taarifa, mwingine anapafahamu unapoishi na amekutwa na dharura, simu imezima chaji akaona acha nikalale kwa rafiki yangu, nichaji simu yangu,kesho niendelee na safari. Usiku anakufia.
Eti kumi, unaingia na 90 unatoka 35 kule. Achana na kitu stress wewe
Duuh!! Kuna Mwamba ametoa humu option conc sjawahi ona!!
Omba mungu yasikukute tu
Ushawahi kusikia kauli "upelelezi haujakamilika"? Haya kaa usubiri ushahidi uje uamue hatima yako
Sheria haimtambui rafiki bali inamtambua marehemu
Hapa sio uhusiano wako na marehemu bali ni chanzo ama asili ya kifo...mara nyingi report ya Dr. ndio inaweza kukuokoa ama kukuangamiza...Chai haiwi chai mpaka iwekwe majani ya chai kwenye maji, rafiki akifa tayari anakuwa ni marehemu, sasa sheria inasemaje juu ya hilo kiongozi...!??
Hii ndio hatari zaidi kuliko vyote ,maana kuokoka kwako inabidi ujitetee kwamba hujamuua ila ulikuwa unamtia na ni mpenzi wakoMbaya zaidi awe mume au mke wa mtu ambaye mnafahamiana sanaaaaaa aisee.
Hatarious...!
Vuta pumzi Kaka kesho sio sawa na leo.."Kungaliko tumaini Jembe "!!Nimerejea kaka hii dunia hii ningekuwa na mahali pa kuitupa ningeigawa buuree
Ni kweli, kama aliandika "Oya nakuja kulala kwako" jibu langu obvious litakuwa "fresh, karibu sana". Baada ya hapo si aliendelea kuwasiliana na watu wengine kabla ya kulala na kujifia zake.Ila itaonekana kuwa wewe ndio ulikuwa wa mwisho kuwaailiana nae mkuu...!
Usibadilishe uhalisia wa mada. Jikite kwenye mada husika, usicomplicate mambo.Sio lazima afie ndani kwako ndo ushikiliwe kusubir upelelezi. Hata angefia kwao, ukitiliwa mashaka unakamatwa as well kama vile kafia kwako. Na anaweza akifia kwako wakakamatea majirani
Sawa mimi sijajikita kwenye mada, unaweza kusema hii comment yako wewe imejibu mada kiasi gani? Acha udikteta mtoto mdogo weweUsibadilishe uhalisia wa mada. Jikite kwenye mada husika, usicomplicate mambo.
Sasa mkuu ita polisi uone debe litanyewa mpaka awamu ya ngapi..Ohooo!! Kumbe hukumuona jamaa alikuwa anachungulia kwenye upenyo wa geti , kisha huyooo kwa mwenyekiti wa mtaa!! Mkuu utanyea Dene mpaka awamu ya kumi!!!
Watajua nilichat nae, hawatajua tulichokua tunachat... kuna loophole hapo.Okay..Tuassume hakuna aliyemuona anaingia ndani kwako..lakini kabla ya kukutana ulikuwa unachat naye mkutane na kuwasiliana naye kwa simu....Sasa hata ukimtupa mtoni hawawezi kufuatilia mitandao ya simu wakajua watu aliokuwa anawasilina nao wa mwisho wakakudaka?
Kama ni whatsapp hawaoni kitu, unless wana simu yake au yangu physically.Hivi hawawezi kuangalia content ya sms na calls mlizowasiliana?
Hahah... ila kuwa makini mkuu.thanks👹😈
Kwa hapo shehe kama kweli hujaua jiandae kutoka kwa rufaa after 5-10yrs HiviHalaf hapo sasa iwe kidume umechukua kamwanafunzi ka form IV umekatorosha bwenini...Halaf ndio hayo yanatokea..
[emoji1545][emoji1545][emoji1548][emoji1548][emoji1548][emoji1534][emoji1534][emoji1534][emoji1534]Vuta pumzi Kaka kesho sio sawa na leo.."Kungaliko tumaini Jembe "!!
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app