Unaweza ukaplay as a good guy au a bad guy
Ukiamua kuplay good guy, umeamka asubuhi ukagundua mgeni wako kafa, anza kutoa taarifa kwa majirani zako kisha uongozi wa mtaa au kijiji chako. Polisi watataarifiwa, watauchukua mwili na wewe watakuchukua, utahojiwa, utalala selo kidogo wakati majibu ya postmortem yakisubiriwa, kisha mwili utakabidhiwa kwa familia yake kwa ajili ya maziko, majibu yakionesha kifo kilikuwa ni cha kawaida, utaachiwa huru, majibu yakionesha alikabwa, alipigwa na kitu kizito mwilini, au alilishwa sumu, bado utaendelea kushikiliwa na unaweza kufunguliwa mashitaka ya kuua kwa kukusudia, hutapata dhamana, utaendelea kusota mahabusu, mashahidi wa upande wa jamhuri watamiminika mahakamani kukukandamiza, hatimae utapewa nafasi ya kujitetea, kama utakuwa huna mwanasheria na haujajipanga vizuri katika utetezi wako, mahakama itakukuta na hatia na unaweza ukahukumiwa kunyongwa hadi kufa.
Ukiamua kuplay bad guy, umeamka asubuhi ukagundua mgeni wako kafa, usiruhusu wenge likutawale, kuwa jasiri, vaa gloves, kama huna kanunue uvae, chukua simu yake usiizime, ya kwako acha nyumbani, nenda nayo mbali kabisa, kama upo dar nenda hata chalinze huko, itoe line, batterry, vitupe mtoni. Rudi dar, kanunue gunia, ushajua la kazi gani eee, ucjali, kila binadamu ana dirty mind, kama una usafiri safi, kama huna azima wa mtu, hakikisha hajui unamuazima kwa kazi gani, hili sio suala la kumshirikisha yoyote, pia hakikisha gunia unalifunga vizuri halitoi picha ya kilichomo ndani. Subiri usiku sana, nenda masafa ya mbali kabisa tofauti na yale uliyotupa simu, liache gunia mafichoni, rudi endelea na mishe zako, waliomuona mgeni nyumbani wakikuuliza unawajibu simple tu, ameshaondoka. Mwili ukipatikana na baadhi ya marafiki au ndugu zake wanaojua ukaribu wenu wakikutafuta kukupa taarifa, onyesha kusikitishwa lakini usiende msibani wala mazishini, jitie ugonjwa baki nyumbani.
Usiombe yakukute, muhimu kama umepanga, ukipata mgeni mtambulishe kwa mwenye nyumba au hata majirani zako, kama nyumba ni yako mtambulishe kwa balozi wa mtaa(ingawaje mazoea haya wengi wetu hatuna), kumtambulisha kunasaidia kuleta picha kuwa hukumuita kwako kwa nia ovu. Epuka kuongea kwa sauti kubwa na mgeni wako, majirani wakisikia wanaweza wakahisi mlikuwa na ugomvi, na hivyo kuhisi ndio sababu ya kifo chake.