Niache Nteseke
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 2,162
- 2,616
- Thread starter
-
- #141
Umemuua na kitu gani, hebu tulia ueleze tukusaidie.
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Umeongea vizuri, vipi majibu ya daktari yakionyesha marehebu alikufa kutokana na kulishwa sumu ya panya?huenda mleta mda akawa ni askari au kuna information anataka kuipata kwa mtu fulani au sisi kama raia juu ya nadharia kama hii hongera kwa hilo kwani umejipatia information za kutosha but hainizuii na mimi kutoa wazo langu juu ya hil.
kwanza kwa yeyote huwezi kujinasua juu ya nadharia hii au tukio hili endapo litakutokea ukiwa nyumbani au hata gest.Matukio kama haya yalishatokea sana kwenye magest kiasi cha kufanya gesti nyingi kufungwa hidden camera. kwa maana ukisema uchukue mwili wake ukautupe mtoni au sehemu tofauti kumbuka hapo ndipo utakapo hesabiwa kama muuaji rasmi hata kama hukumuua
sababu mwili wa marehemu ni lazma utakuwa na prints zako za mkono(fingerprints) cha pili hakuna mtu anayeweza kuja kulala kwako bila mawasiliano ya simu au hata mesage hvyo upelelezi ukianzia huko jua umekwisha
Chakufanya
Baada ya marehemu kufariki hakikisha unawaamsha ndugu/majirani mnaoishi karibu na kuwaambia kuwa (mfano)fulani joto lake liko sana ningeomba mnisaidie tumpeleke hospital kama una gari au wakuitie usafiri mwende hospital,wakiwa wanambeba hakikisha ndo uko wa kwanza kumnyanyua wenyewe wape kipaumbele kwenye kufngua milango ya gar na nyumba hapo utapata faida ya mambo yafuatayo
1,hautokwenda jela sababu uchunguzi utapatkana moja kwa moja kutoka kwa daktari uliyempeleka marehemu siku hiyo
2,utapunguza bugudha za polisi sababu utakuwa na mashahid ambao watakusaidia kumpeleka mgonjwa ambae ni marehemu hospitalini
3, jibu lako ni kwamba marehemu alipata homa ya ghafla lakini alifia njiani nikiwa nampeleka hospitalin kwa msaada wa majirani/ndugu ....
NB: fanya yote haya kuanzia nusu saa au dakika kadhaa baada ya marehemu kufariki,au kama hukumdhuru/kusababisha kifo cha marehemu
Wazo lake ni sahihi kabisa hana haja ya kufikiria isipokua wewe ndio ufikirie tena na tena.Umeongea vizuri, vipi majibu ya daktari yakionyesha marehebu alikufa kutokana na kulishwa sumu ya panya?
Yaani mgeni alilishwa sumu huko alikotoka halafu kaja kufia kwako, huko kumbeba kwako na utitiri wa majirani walioshuhudia ukimtoa ndani kwako, si ndio mashahidi wenyewe hao upande wa jamhuri? Fikiria tena halafu toa wazo.
Hujawahi kukamatwa na kulala mahabusu wewe kwa kosa hata dogo, sembuse hilo la kifo cha mtuWazo lake ni sahihi kabisa hana haja ya kufikiria isipokua wewe ndio ufikirie tena na tena.
mkuu hakuna wazo lingine hapo sababu ikiwa hukuua hyo series uloichukua itakuokoa na unaweza hata hao polisi wenyewe wasije bali ndugu zake wakamfata tu ndugu yao yakaishia hospitali msala ni pale umekaa na marehemu siku 2 ndani au umekimbia maiti ndani mwkoUmeongea vizuri, vipi majibu ya daktari yakionyesha marehebu alikufa kutokana na kulishwa sumu ya panya?
Yaani mgeni alilishwa sumu huko alikotoka halafu kaja kufia kwako, huko kumbeba kwako na utitiri wa majirani walioshuhudia ukimtoa ndani kwako, si ndio mashahidi wenyewe hao upande wa jamhuri? Fikiria tena halafu toa wazo.
Wait, wewe ndie uliyetoa wazo la kumtupa mtoni?Hujawahi kukamatwa na kulala mahabusu wewe kwa kosa hata dogo, sembuse hilo la kifo cha mtu
Daktari akishasema marehemu alilishwa sumu, wewe unarukaje hicho kiunzi?mkuu hakuna wazo lingine hapo sababu ikiwa hukuua hyo series uloichukua itakuokoa na unaweza hata hao polisi wenyewe wasije bali ndugu zake wakamfata tu ndugu yao yakaishia hospitali msala ni pale umekaa na marehemu siku 2 ndani au umekimbia maiti ndani mwko
ngoja twende nae sawa hapaWait, wewe ndie uliyetoa wazo la kumtupa mtoni?
Nimetoa suggestion zote mbili, kuplay kama good guy au bad guy, maana hapo kinachotafutwa ni uhuru wako kwa ishu ambayo hujaitenda.Wait, wewe ndie uliyetoa wazo la kumtupa mtoni?
siyo kila sumu inaweza kuwa sababu ya wew kufariki,kuna baadhi ya sumu ambazo hutokana na vyakula tunavyokula so endapo atakuwa amepewa mathalani sumu ya panya huwa ina react ndani ya nusu saa tu mzee hvyo ni ngumu kupewa sumu sehemu fulani then akaja kufia kwako,labda kama kuna lingne? na kmbuka kitu cha kwnza kabla ya marhemu kufa hufatiliwa series ya mawasiliano yake wapi alikuwepo nani aliongea nao na kipi waliongeaDaktari akishasema marehemu alilishwa sumu, wewe unarukaje hicho kiunzi?
Bongo forensic hatuna lazima ufungwe tu ,waliondelea wangeangalia street camera kuanzia anatoka home hadi anafika kwako ,itaonekana hadi alipokula kwenye huo mgahawa.Hivi kwa mfano kama huyo mtu akawa njiani huko alikula kitu kisichofaa (poison) na safari yake ya mwisho ndio akaja "ghetto " na akarudisha namba. Uchunguzi ukionesha kuna viambata hatarishi mwilini mwake, je hali itakuwaje kwa mwenyeji?
NB: siku hizi watu wanabugia tu vitu hovyo hovyo barabarani, mara madawa ya asili, mara supu+juice na dawa nyinginezo na vinywaji nishati. Vitu hivi ni hatari sana kwa afya na vikimuondoa mtu lazima viache trace tatanishi.
lakini hyo kuplay kama bad guy kwa kwenda kutupa mwili mtoni mzee yani ushahid within 48 hrs washakudakaNimetoa suggestion zote mbili, kuplay kama good guy au bad guy, maana hapo kinachotafutwa ni uhuru wako kwa ishu ambayo hujaitenda.
Kwa hiyo ukishaitupa line chalinze, unadhani ndio mwisho wa wewe kuonekana kua mlikua na mawasiliano na marehemu? Marehemu hana simu wala line,Nimetoa suggestion zote mbili, kuplay kama good guy au bad guy, maana hapo kinachotafutwa ni uhuru wako kwa ishu ambayo hujaitenda.
Hivi hawawezi kwenda mtandao husika wakapata mawasiliano ya mwisho?Kama umekamatia Dem akafa lodge au hotel,we sepa tu,Tena potea kabisa,Kama Ana smatifone chukua katupe chooni.
hapo kinachofanyika wanakwenda mtandao husika wanachukua namba na mawasiliano yenu kinachofanyika wanakwenda kwa mhudum wa zamu aliekuwepo sku hyo nakuulizwa unamjua huyu mtu akisema tu ndo wew uliekuja sku hyo picha linaanzia hapo kwa ku track simu yako then wanakuchukua kiulaini,tena wakikudaka kwa dizaini hii ndo kesi ya mauaji direct inakuangukiaHivi hawawezi kwenda mtandao husika wakapata mawasiliano ya mwisho?
Andika taratibu punguza wenge jambo dogo tu hilo hapo ndani kwako si una safleti au busati? Si ndio?
Mnyongorote Kama mzgo kamtupe mtoni au baharini vaa gloves ili finga print zako zisijichore
Au Kama umemgusa eneo lioshe na sprit hata vidole vioshe na sprit hasa ile methyl ya kunyolea ndo nzuri
Ukifika huko mtoe kwenye mzgo mbebe mrushe kwenye maji ionekane alizama tu Kama pattern yake ya simu unaijua ingia kweny call history futa namb yako na mbili za nyuma tuu halafu jaribu kudial namb yeyote kweny phone book yake bila kusahau kutuma message ya salamu kwa ndugu
Halafu vaa gloves osha simu na sprit iweke kweny mfuko wake mtupe kweny maji tubwiii
Mkuu hujaangalia misukosuko
Unachukua maiti hiyo usiku wa manane unaenda kuzika mwenyewe
Hakikisha hakuoni mtu
Vinginevyo hakuna atakaye kuamini hapa bongo zaidi ya kupigwa miaka 30 jela