Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Maana tumbo linauma sana nateseka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninavyo kaka vinanitesa sana😭😭😭Kapime vidonda vya tumbo. Kama huna basi doc atakushauri dawa za kunywa ila kama unavyo asee jitahidi ujitibu mapema
pole mkuu ila dawa zinapatikana za miti shamba karibu lushoto tanga utasahau yote wengi wamepona mkuuNinavyo kaka vinanitesa sana[emoji24][emoji24][emoji24]
Asante sana ngoja nijaribu1.Loweka bamia kunywa
2. Hospital watakupa vidonge au syrup flan hivi hupunguza acid i.e Relcer, alugel au Altapham hizi pia unaweza nunua pharmacy
3. Punguza kula vyakula vichachu au vyenye nyanya
4. Kula sana tikiti na tango na bamia ni first aid nzuri
Pole sana
Nipo nje ya nchi kwa sasapole mkuu ila dawa zinapatikana za miti shamba karibu lushoto tanga utasahau yote wengi wamepona mkuu
Badalisha hiyo avatar utaponaMaana tumbo linauma sana nateseka
Unazingua kaka😁😂😂Badalisha hiyo avatar utapona
Situmii kilevi chochoteAcha pombe kama unakunywa , tumia bamia
Ok huku nilipo kwa wazungu hayapo😭😭😭😭Tumia mafuta ya mzeutuni kunywa asubuhi na jioni
Au nitumie hata yale yanayouzwa pharmacyTumia mafuta ya mzeutuni kunywa asubuhi na jioni
Sure badili uone kama hutaponaUnazingua kaka😁😂😂
Naona upo heaven mwananchi 🤣🤣🤣🤣Nipo nje ya nchi kwa sasa
Omeprazole au Osomeprazole kulingana na mfuko wako.Maana tumbo linauma sana nateseka
AsanteOmeprazole au Osomeprazole kulingana na mfuko wako.
Kuwa na pantoprazole vidonge au hali ikiwa mbaya Sana sindano pantoprazole, sindano pia ya kuzia kutapika ili uweze kulaSitumii kilevi chochote
Naenjoy zanguNaona upo heaven mwananchi 🤣🤣🤣🤣