FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Kula majani ya mpera mara kwa mara, haina dose, dose ni uwezo wako tu. Utaanza kujisikia vizuri baada ya siku chache tu.Sijala maharage nina miezi 7
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kula majani ya mpera mara kwa mara, haina dose, dose ni uwezo wako tu. Utaanza kujisikia vizuri baada ya siku chache tu.Sijala maharage nina miezi 7
Tapeli kumbe ni limganga la kienyejipole mkuu ila dawa zinapatikana za miti shamba karibu lushoto tanga utasahau yote wengi wamepona mkuu
Wewe ni tapelipole mkuu ila dawa zinapatikana za miti shamba karibu lushoto tanga utasahau yote wengi wamepona mkuu
Funguka mkuu uokoe wengine wasije wakapigwa mchana kweupe. Pole kwa mkasa uliokusibu kabla ya yoteWewe ni tapeli
Funguka mkuu uokoe wengine wasije wakapigwa mchana kweupe. Pole kwa mkasa uliokusibu kabla ya yote
pole mkuu ila dawa zinapatikana za miti shamba karibu lushoto tanga utasahau yote wengi wamepona mkuu
Mtu anaandika ana mtaji laki tatu yeye anataka kumtapeli kazi ya sheli et atume pesa ya uniform loWewe ni tapeli
Inasikitisha sana 😭Mtu anaandika ana mtaji laki tatu yeye anataka kumtapeli kazi ya sheli et atume pesa ya uniform lo
Kumbavu zake kweli nimeona humu ukute anajifanya ana dawa ya madonda ya tumboInasikitisha sana 😭
Ndio aliniambia anauza ipo tanga🤣🤣Kumbavu zake kweli nimeona humu ukute anajifanya ana dawa ya madonda ya tumbo
😂😂😂😂😂 hajakufata dmNdio aliniambia anauza ipo tanga🤣🤣
🤣🤣Ningemkataaa😂😂😂😂😂 hajakufata dm
MarhabaHabari wadau
Shikamooni
Herbalist Dr MziziMkavuMaana tumbo linauma sana nateseka