Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
- #21
😁😂Ngoja ntajaribu kakaSure badili uone kama hutapona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😂Ngoja ntajaribu kakaSure badili uone kama hutapona
Na hivi wametupa raha hebu enjoy wacha Hao mikia wasonyesonyeNaenjoy zangu
Ngoja nianze bamia sema huku bamia nauziwa bei sana yaani😭😭Kuwa na pantoprazole vidonge au hali ikiwa mbaya Sana sindano pantoprazole, sindano pia ya kuzia kutapika ili uweze kula
Ila bamia zinasaidia sana
Watakoma mwaka huuNa hivi wametupa raha hebu enjoy wacha Hao mikia wasonyesonye
Pia akwepe kula chips na kuku wa kukaangaamoxy 1g bid kwa siku7,omiprazole 1 or 2 bid siku 10 mpaka 20(hii kama unamadonda ya tumbo),punguza kula vyakula vyenye gesi kama majuis,nyama nyekundu ,maharagwe n.k, maji lita 3 kwa siku, magnesium 2 tds kwa siku 5, juis ya bamia au bamia kwa wingi.
Karibu.Asante
amoxy 1g bid kwa siku7,omiprazole 1 or 2 bid siku 10 mpaka 20(hii kama unamadonda ya tumbo),punguza kula vyakula vyenye gesi kama majuis,nyama nyekundu ,maharagwe n.k, maji lita 3 kwa siku, magnesium 2 tds kwa siku 5, juis ya bamia au bamia kwa wingi.
Ndo chakula nachopenda daa huu ugonjwa soon utanitoa roho jamani😭😭😭😭😭Pia akwepe kula chips na kuku wa kukaanga
pamoja sana mkuuAsante kwa ushauri mzuri sana
Vikwepe kwa kipindi hiki na wakati unatumia hizo dawa. Ukikaa vizuri kula mara mojamoja sana. Kwepa lemonade, spicy na juice za box.Ndo chakula nachopenda daa huu ugonjwa soon utanitoa roho jamani😭😭😭😭😭
NAKAZIAPia akwepe kula chips na kuku wa kukaanga
Usijaribu inaua mboo1.Loweka bamia kunywa
2. Hospital watakupa vidonge au syrup flan hivi hupunguza acid i.e Relcer, alugel au Altapham hizi pia unaweza nunua pharmacy
3. Punguza kula vyakula vichachu au vyenye nyanya
4. Kula sana tikiti na tango na bamia ni first aid nzuri
Pole sana
Nn hiyoUsijaribu inaua mboo
Bamia ya kulowekaNn hiyo
Wanatumia wale wa kisukali wazee sana maana wao hawali mapisiM
Bamia ya kuloweka
Hebu nipe mechanism yake nione effectsM
Bamia ya kuloweka
Ukweli sina data ninkuwa wanasema .ile inashushaHebu nipe mechanism yake nione effects
Kina nani wanasema...uje na scientific proof hapa usipinge vitu bila ushahidi...achana na story za vijiwe vya kahawaUkweli sina data ninkuwa wanasema .ile inashusha