Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
- #61
Nilipewa jana na jirani yangu nikalamba jana saa 8 hiviiOlive oil haiwezi kukosekana kwa wazungu hata kidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilipewa jana na jirani yangu nikalamba jana saa 8 hiviiOlive oil haiwezi kukosekana kwa wazungu hata kidogo
Pole, hospital ndo sehemu pekee pa kutatua changamoto yako.Nilienda ila vinanitesa sana😭😭
Asante sanaKwanza kabisa, anza tabia ya kula matunda katika tumbo tupu kabla ule chochote kingine.
Kula matunda kama papai, tango, tikiti maji, etc
Epuka matunda yenye asidi kwenye tumbo tupu. Mfano machungwa kula baada ya chakula. Hii itasaidia kumemg'enya vyema chakula.
Usisahau kula bamia kwa wingi na mbogamboga. Bamia waweza loweka kwa kukata slesi ndogondogo ukaloweka kwa maji ya lita moja usiku mpaka kesho hake asubuhi ukayachuja na kunywa.
Lastly, epuka sana hasira na kubeba uchungu. Yaani ukivibeba hivi utaumwa mno. Epuka sana haya. Mimi ni mfano unaoishi. Am all good now. Pia kula vyakula laini laini.
Zaidi uwe na vidonge vya pantorazole 40. Hivi ni vizuri lkn kama unapata lishw bora havina hata nafasi.
Papai, avocado, etcAsante sana ngoja nijaribu
Ulienda hospital gani?Ok jana nilienda nikakutana na dokta wa kiswedish walinicheki kwa kunipiga kipimo cha barium meal wakaniambia nisiwaze sana wakanipatia na dawa nyingi sana wameniambia baada ya wiki kazaaa nirudi tena ili wanicheki kwa Endoscopy
Ludvika lasarett - Ludvika sweden hii nilipimwa nikaambiwa ninavyo ila sio saanaUlienda hospital gani?
pole sana.Maana tumbo linauma sana nateseka
Majani ya mpera, kula kama yalivyo. mmachicha yake tema au meza haina neno.Maana tumbo linauma sana nateseka
Itasaidia na kwenye vidonda vya tumbo?Majani ya mpera, kula kama yalivyo. mmachicha yake tema au meza haina neno.
Ndio kakaCharles kilian ni madonda ya tumbo??
NdioJe ni madonda ya tumbo??
Ndiyo.Itasaidia na kwenye vidonda vya tumbo?
Tumia tramadol, amoxilin, omaplazole na magnesium ya maji.Ndio
Sijala maharage nina miezi 7Ndiyo.
Vidonda vya tumbo uwache kula maharage mpaka vipone.