Hahahahhaha. Na 3000 kakosa[emoji23]Xaxa Warda cha muhimu ujumbe ufike [emoji1787][emoji1787]
Na hap0 pa kuweka ‘o yeye anaweka zero [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alafu anatumia 0 badala ya O. Kinyaa to the max .Una moyo wa uvumilivu,yaani mtu anaetumia x badala ya s aisee naonaga kinyaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ewaaaahau wale wanaotumia ‘my’ mfano mambo my, umekula my , hujambo my
thanks anaandika thnx 🚮🚮🚮
Huuu ni utoto wa kuweka hadharani mawasiliano yenu binafsi, Watu wanatoa mamilion wewe buku tatu ambayo haitoshi hata rough rider ndio unaanzishia Uzi? Grow BrotherKatika harakati zangu za kuuza Ubuyu GHAFLA nikaomba namba ya Dada mmoja hivi she has 24 years na Ni single Mother. Mtoto wake amemtupia Mama yake huku yeye akipanga Chumba Maeneo ya Gongo la Mboto.
To be honest Ilikuwa Ni usiku nilivyomuona I was very interested with her Na ndipo nikaomba Namba ake.
hakusita nipa namba
baada ya hapo tuliagana yeye Akashuka buza Mimi nikaenda hadi home Temeke .
After two days nilimcheki then yeye Mwenyewe akaanza jitongozesha . So alinambia kaumizwa sana na Mapenzi so anahitaji Mtu was kumfuta Machozi.
Mimi nilimpa moyo na Tukaanza kudate.
Sasa huyu demu kiufupi nilimuomba Appointment ili tuonane coz aliniambia anafanya biashara za Mnadani honestly Mimi Mwenyewe nauza Ubuyu so niliona wazi hapa nimepata mtu makini aambaye tupo ktk jahazi moja tukielekea Pemba.
Sasa to cut the story
Mzinga wa kwanza. Kabisa aliniomba elf 16k ili Asuke nikaamua mtolea nje sababu ya kumnyima nilimwambia sikufahamu vizuri so siwez kukutumia hiyo pesa kwa sasa hadi tuonane . Akasema sawa
So jumapili nilienda kwake tukaonana nikampa buku 5 ya chakula na hatujafanya chochote .
Sasa Cha Ajabu Jana kaniomba buku 03 eti Hana hela ya kula so nikajiuliza maswali hivi huyu demu anadai yeye Biashara inamlipa vizuri hadi hatamani kuajiriwa so how comes aniombe hela ya kula buku tatu .
Kiukweli sijamtumia hadi sahv
Funzo
Kama unataka Mwanamke usitafute single Mother number A ni hatari Bora tuendelee na namba D zetu 22 kushuka chini kuliko namba A ambao most of them hawana Huruma wapo tiyari kuongea uongo ili wapate pesa na kusahau kuwa Love is progress.
I dedicate this thread to All Youths to find out Number D as to reach their goals.
😎
View attachment 2223382
Wanachefua sana watu wanaoandika hivyo.Alafu anatumia 0 badala ya O. Kinyaa to the max .
Just take as a lesson broHuuu ni utoto wa kuweka hadharani mawasiliano yenu binafsi, Watu wanatoa mamilion wewe buku tatu ambayo haitoshi hata rough rider ndio unaanzishia Uzi? Grow Brother
Majibu ya Mwanadada BUna moyo wa uvumilivu,yaani mtu anaetumia x badala ya s aisee naonaga kinyaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutoka kimapenzi na kijana inahitaji uwe na moyo wa chuma, kwanza hawana siri anaweza kukuanika popote na kuweka ya sirini wazi.
Ona kijana alivyomuanika mdada hadharani.
Wadada ifike hatua mjue kutafuta wanaume waliokomaa na sio vijana maana mtafedheheshwa.
hahahaha.Mi nshaombwaga buku 5 ya chai wakati mi buku 2 ndio chai yangu asubuhi.
Mtu akinitumia msg na hizo X....huwa nafuta kabisa namba yakeKatika harakati zangu za kuuza Ubuyu GHAFLA nikaomba namba ya Dada mmoja hivi she has 24 years na Ni single Mother. Mtoto wake amemtupia Mama yake huku yeye akipanga Chumba Maeneo ya Gongo la Mboto.
To be honest Ilikuwa Ni usiku nilivyomuona I was very interested with her Na ndipo nikaomba Namba ake.
hakusita nipa namba
baada ya hapo tuliagana yeye Akashuka buza Mimi nikaenda hadi home Temeke .
After two days nilimcheki then yeye Mwenyewe akaanza jitongozesha . So alinambia kaumizwa sana na Mapenzi so anahitaji Mtu was kumfuta Machozi.
Mimi nilimpa moyo na Tukaanza kudate.
Sasa huyu demu kiufupi nilimuomba Appointment ili tuonane coz aliniambia anafanya biashara za Mnadani honestly Mimi Mwenyewe nauza Ubuyu so niliona wazi hapa nimepata mtu makini aambaye tupo ktk jahazi moja tukielekea Pemba.
Sasa to cut the story
Mzinga wa kwanza. Kabisa aliniomba elf 16k ili Asuke nikaamua mtolea nje sababu ya kumnyima nilimwambia sikufahamu vizuri so siwez kukutumia hiyo pesa kwa sasa hadi tuonane . Akasema sawa
So jumapili nilienda kwake tukaonana nikampa buku 5 ya chakula na hatujafanya chochote .
Sasa Cha Ajabu Jana kaniomba buku 03 eti Hana hela ya kula so nikajiuliza maswali hivi huyu demu anadai yeye Biashara inamlipa vizuri hadi hatamani kuajiriwa so how comes aniombe hela ya kula buku tatu .
Kiukweli sijamtumia hadi sahv
Funzo
Kama unataka Mwanamke usitafute single Mother number A ni hatari Bora tuendelee na namba D zetu 22 kushuka chini kuliko namba A ambao most of them hawana Huruma wapo tiyari kuongea uongo ili wapate pesa na kusahau kuwa Love is progress.
I dedicate this thread to All Youths to find out Number D as to reach their goals.
😎
View attachment 2223382
Na uzeee huu??Just take as a lesson bro
maana yake niniMsemo "Namba A" unasambaa kama kifuu
My [emoji23][emoji23]Katika harakati zangu za kuuza Ubuyu GHAFLA nikaomba namba ya Dada mmoja hivi she has 24 years na Ni single Mother. Mtoto wake amemtupia Mama yake huku yeye akipanga Chumba Maeneo ya Gongo la Mboto.
To be honest Ilikuwa Ni usiku nilivyomuona I was very interested with her Na ndipo nikaomba Namba ake.
hakusita nipa namba
baada ya hapo tuliagana yeye Akashuka buza Mimi nikaenda hadi home Temeke .
After two days nilimcheki then yeye Mwenyewe akaanza jitongozesha . So alinambia kaumizwa sana na Mapenzi so anahitaji Mtu was kumfuta Machozi.
Mimi nilimpa moyo na Tukaanza kudate.
Sasa huyu demu kiufupi nilimuomba Appointment ili tuonane coz aliniambia anafanya biashara za Mnadani honestly Mimi Mwenyewe nauza Ubuyu so niliona wazi hapa nimepata mtu makini aambaye tupo ktk jahazi moja tukielekea Pemba.
Sasa to cut the story
Mzinga wa kwanza. Kabisa aliniomba elf 16k ili Asuke nikaamua mtolea nje sababu ya kumnyima nilimwambia sikufahamu vizuri so siwez kukutumia hiyo pesa kwa sasa hadi tuonane . Akasema sawa
So jumapili nilienda kwake tukaonana nikampa buku 5 ya chakula na hatujafanya chochote .
Sasa Cha Ajabu Jana kaniomba buku 03 eti Hana hela ya kula so nikajiuliza maswali hivi huyu demu anadai yeye Biashara inamlipa vizuri hadi hatamani kuajiriwa so how comes aniombe hela ya kula buku tatu .
Kiukweli sijamtumia hadi sahv
Funzo
Kama unataka Mwanamke usitafute single Mother number A ni hatari Bora tuendelee na namba D zetu 22 kushuka chini kuliko namba A ambao most of them hawana Huruma wapo tiyari kuongea uongo ili wapate pesa na kusahau kuwa Love is progress.
I dedicate this thread to All Youths to find out Number D as to reach their goals.
[emoji41]
View attachment 2223382
Namba D ni manzi wabichi wenye miaka 19-25maana yake nini
na hio sijui namba D
nitoe ushamba [emoji2362]