Wakuu Kudate na namba A inahitaj sana Moyo Jana niliombwa Elfu tatu

Huuu ni utoto wa kuweka hadharani mawasiliano yenu binafsi, Watu wanatoa mamilion wewe buku tatu ambayo haitoshi hata rough rider ndio unaanzishia Uzi? Grow Brother
 
Huuu ni utoto wa kuweka hadharani mawasiliano yenu binafsi, Watu wanatoa mamilion wewe buku tatu ambayo haitoshi hata rough rider ndio unaanzishia Uzi? Grow Brother
Just take as a lesson bro
 
Majibu ya Mwanadada A
Una moyo wa uvumilivu,yaani mtu anaetumia x badala ya s aisee naonaga kinyaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Majibu ya Mwanadada B

Mwenye macho haambiwi tazama! Wanaume tusikosee kuoa!
 
Mtu akinitumia msg na hizo X....huwa nafuta kabisa namba yake
 
Kwanza unawezaje kuchati na mtu anatumia xx xx duh hpn mm Happ ningemsahihisha
 
Mtoa mada mbona una changanya Number A na vitu vya ajabu namba A ni wamama watu wazima wenye miaka 50+
 
My [emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…