Mwachiluwi kivuruge umepata ulichokitaka sasa,Hii ni fairwell thread. Kapeace na Mwachiluwi nendeni Chitchat tuna huzuni na Mpendwa wetu. Leejay49
AminaEmbu lala tumuombee nduguu yetu Yesu amtetee kesho
Nakuja ngoja nikagombee vocha kule nakijibuHalafu Swahiba wako Lenie yuko wapi? Sorry nimeenda off-topic
Pole sanaHabari za jioni wakuu,.
Nimeogopa isije nikashindwa kurudi tena baada ya mda,.
Mungu akipenda kesho nitakua nikifanyiwa upasuaji wa Jicho pamoja na sikio,. Mniombee nirudi nikiwa salama kama mwanzo,..
Sikua napenda kufanya hivi ila ndio last option niliyobakiwa nayo Baada ya kujaribu na kubadilishiwa dawa for almost miezi miwili,. Madaktari wamesugget nifanye hiyo
Mniombee sio tu nitoke salama,. Pia niweze kupona nisike na kuona kama mwanzo🙏🙏🙏
Amina.Hakika utatoka mzima
🙄Nimeteleza
Uwe na amaniHabari za jioni wakuu,.
Nimeogopa isije nikashindwa kurudi tena baada ya muda.
Mungu akipenda kesho nitakua nikifanyiwa upasuaji wa Jicho pamoja na sikio. Mniombee nirudi nikiwa salama kama mwanzo.
Sikua napenda kufanya hivi ila ndio last option niliyobakiwa nayo Baada ya kujaribu na kubadilishiwa dawa for almost miezi miwili. Madaktari wamesugget nifanye hiyo.
Mniombee sio tu nitoke salama. Pia niweze kupona nisike na kuona kama mwanzo🙏🙏🙏
Apo good 🤝Kumpenda nampenda,,,na kama Kumliza,,Amin!,nitamliza Kwa Furaha.