Wakuu mniombee nafanyiwa upasuaji kesho

Wakuu mniombee nafanyiwa upasuaji kesho

Habari za jioni wakuu,.

Nimeogopa isije nikashindwa kurudi tena baada ya mda,.

Mungu akipenda kesho nitakua nikifanyiwa upasuaji wa Jicho pamoja na sikio,. Mniombee nirudi nikiwa salama kama mwanzo,..

Sikua napenda kufanya hivi ila ndio last option niliyobakiwa nayo Baada ya kujaribu na kubadilishiwa dawa for almost miezi miwili,. Madaktari wamesugget nifanye hiyo

Mniombee sio tu nitoke salama,. Pia niweze kupona nisike na kuona kama mwanzo🙏🙏🙏
Pole sana
 
Pamoja na ujuaji wa members wa JF walio wengi kujifanya hawaamini uwepo wa Mungu, utashangaa kwenye uzi huu asilimia kubwa comments zinamtaja Mungu. Ndio ujue kwamba, katika mambo yote yapitayo akili, uwezo na nguvu zetu "God is Great"!

Mungu ndiye kimbilio na tumaini pekee kwa magumu tusiyoyaweza.
 
Habari za jioni wakuu,.

Nimeogopa isije nikashindwa kurudi tena baada ya muda.

Mungu akipenda kesho nitakua nikifanyiwa upasuaji wa Jicho pamoja na sikio. Mniombee nirudi nikiwa salama kama mwanzo.

Sikua napenda kufanya hivi ila ndio last option niliyobakiwa nayo Baada ya kujaribu na kubadilishiwa dawa for almost miezi miwili. Madaktari wamesugget nifanye hiyo.

Mniombee sio tu nitoke salama. Pia niweze kupona nisike na kuona kama mwanzo🙏🙏🙏
Uwe na amani
 
Pole sana Leejay49, usalama wako una thamani kubwa sana kwetu, hivyo tunakuombea kwa ujumla... Surgery yako itakuwa salama zaidi...
 
Hii jf mnaichukulia kama Familia safi yenye upendo eeeh? Kuna wachawi humu shauri yako.
 
Back
Top Bottom