Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Yesu akutete
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndogo sanaRoh yak ipoje
Allah akufanyie wepesi na Akuponye maradhi yako AmeenHabari za jioni wakuu,.
Nimeogopa isije nikashindwa kurudi tena baada ya mda,.
Mungu akipenda kesho nitakua nikifanyiwa upasuaji wa Jicho pamoja na sikio,. Mniombee nirudi nikiwa salama kama mwanzo,..
Sikua napenda kufanya hivi ila ndio last option niliyobakiwa nayo Baada ya kujaribu na kubadilishiwa dawa for almost miezi miwili,. Madaktari wamesugget nifanye hiyo
Mniombee sio tu nitoke salama,. Pia niweze kupona nisike na kuona kama mwanzo🙏🙏🙏
Damu ya Yesu ikutangulie.Habari za jioni wakuu,.
Nimeogopa isije nikashindwa kurudi tena baada ya mda,.
Mungu akipenda kesho nitakua nikifanyiwa upasuaji wa Jicho pamoja na sikio,. Mniombee nirudi nikiwa salama kama mwanzo,..
Sikua napenda kufanya hivi ila ndio last option niliyobakiwa nayo Baada ya kujaribu na kubadilishiwa dawa for almost miezi miwili,. Madaktari wamesugget nifanye hiyo
Mniombee sio tu nitoke salama,. Pia niweze kupona nisike na kuona kama mwanzo🙏🙏🙏
Amen 🙏 🙏🙏,.
Naomba niwajibu tu wote kwa pamoja maana nikisema zote mojamoja nitakesha,.
Niliweka uzi humu kua nimeumwa sana Malaria and for almost miezi inaenda minne sasa tangu dawa na sindano za malaria ziniaffect masikio pamoja na uono hafifu,.
Tulipambana sana walau jicho moja liko vizuri kabisa lakini moja ndio halioni pamoja na masikio hayasikii kabisa,.
Nimefanya vipimo vyote,. Baadhi ya mishipa ya fahamu ya macho na masikio imezibwa na ukungu,.. Inabidi izibuliwe
Kwa waliouliza Hospitali ni Hospitali ya private
Amen(Ee Allah, Ondosha maumivu, hofu,huzuni kwa rafiki yetu na mpendwa wetu Leejay49 binti na mtoto wa waja wako, Ponyesha Nawe ni Mponyeshaji, hakuna shifaa ila shifaa yako, shifaa isiyobakisha maradhi). Amiiin🤲🏼🧎🏿♂️
Roho tumetofautiana Mkuu maneno mazuri na faraja ni dawa kwa wengineMkuu mbona operation ya kawaida sana huna ata haja ya kuogopa? Nkajua labda unafanyiwa laparatomy au amputation ila iyo op unafanyiwa unarudi nyumbani mda huo huo mdo unapost uombewe?
Bandidu wewe 😂😂😂Wadau wa vocha wamepotelea wapi,? Huyu binti ndiye muasisi wa kutoa vocha, uzi wake wa vocha ulikimbia sana lakini kuja kutoa comment za faraja mmeshindwa!!!
Vincenzo Jr
Mbaga Jr na wengineo mnatia aibu