Wakuu mniombee nafanyiwa upasuaji kesho

Wakuu mniombee nafanyiwa upasuaji kesho

Habari za jioni wakuu,.

Nimeogopa isije nikashindwa kurudi tena baada ya mda,.

Mungu akipenda kesho nitakua nikifanyiwa upasuaji wa Jicho pamoja na sikio,. Mniombee nirudi nikiwa salama kama mwanzo,..

Sikua napenda kufanya hivi ila ndio last option niliyobakiwa nayo Baada ya kujaribu na kubadilishiwa dawa for almost miezi miwili,. Madaktari wamesugget nifanye hiyo

Mniombee sio tu nitoke salama,. Pia niweze kupona nisike na kuona kama mwanzo🙏🙏🙏
Allah akufanyie wepesi na Akuponye maradhi yako Ameen
 
Habari za jioni wakuu,.

Nimeogopa isije nikashindwa kurudi tena baada ya mda,.

Mungu akipenda kesho nitakua nikifanyiwa upasuaji wa Jicho pamoja na sikio,. Mniombee nirudi nikiwa salama kama mwanzo,..

Sikua napenda kufanya hivi ila ndio last option niliyobakiwa nayo Baada ya kujaribu na kubadilishiwa dawa for almost miezi miwili,. Madaktari wamesugget nifanye hiyo

Mniombee sio tu nitoke salama,. Pia niweze kupona nisike na kuona kama mwanzo🙏🙏🙏
Damu ya Yesu ikutangulie.
 
images (18).jpeg
 
Amen 🙏 🙏🙏,.
Naomba niwajibu tu wote kwa pamoja maana nikisema zote mojamoja nitakesha,.
Niliweka uzi humu kua nimeumwa sana Malaria and for almost miezi inaenda minne sasa tangu dawa na sindano za malaria ziniaffect masikio pamoja na uono hafifu,.
Tulipambana sana walau jicho moja liko vizuri kabisa lakini moja ndio halioni pamoja na masikio hayasikii kabisa,.
Nimefanya vipimo vyote,. Baadhi ya mishipa ya fahamu ya macho na masikio imezibwa na ukungu,.. Inabidi izibuliwe

Kwa waliouliza Hospitali ni Hospitali ya private

Kwani ulipatwa na celebral malaria au umekuwa ukisumbuliwa sana na malaria tangu utoto wako ?
 
Back
Top Bottom