Wakuu mniombee nafanyiwa upasuaji kesho

Mungu aliekupa Jicho akakupe Kuona tena hata baada ya upasuaji huo.

Mungu aliekupa Sikio akakupe na Kusikia tena hata baada ya upasuaji unaoenda kufanyika.

Pokea Uzima kwani ni ahadi yake kwetu tukiwa kama watoto wake.

Usiwe na Hofunwala usifadhaike, Bwana Yu pamoja nawe.

Enenda ukiwa na amani na ujasiri wa kuanza na kumaliza salama.

Tunakuombea...
 




Mkuu Mimi ntaamka saatisa kamili usiku tufanye Maombi kwa pamoja

Mungu aseme na moyo wako πŸ™πŸ½
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…