Aah sijapenda kabisa sio ubinadamu,Bandidu wewe πππ
Moyo wa huruma nao ni utajiri naona vijana wote wamelala mbeleAah sijapenda kabisa sio ubinadamu,
Nimeshakuja mkuu!
Tajiri hana baya huyo, amesambaza upendo mwingi sana, japo walimwengu wamekereka utadhani kawakopa.Nimeshakuja mkuu!
Leejay apone kwa kweli
Don't make her feel badLj49!!Am Loving You πππ
Habari za jioni wakuu,.
Nimeogopa isije nikashindwa kurudi tena baada ya mda,.
Mungu akipenda kesho nitakua nikifanyiwa upasuaji wa Jicho pamoja na sikio,. Mniombee nirudi nikiwa salama kama mwanzo,..
Sikua napenda kufanya hivi ila ndio last option niliyobakiwa nayo Baada ya kujaribu na kubadilishiwa dawa for almost miezi miwili,. Madaktari wamesugget nifanye hiyo
Mniombee sio tu nitoke salama,. Pia niweze kupona nisike na kuona kama mwanzoπππ