Wakuu mwenye uelewa na hii fursa nasikia mwisho Feb 28 mwezi huu watu wanakuwa matrilionea

jaeni tu tena! halafu mseme Samia anaupiga mwingi! mkifeli utaskia mama tunanyanyaswa tusaidieee
 
Ndiomaana nimeleta bandiko hum ila bahati mbaya naona wote hum ni weupe kichwani kama mm
Hamna kaka. Mweupe wewe si wengi wetu tuko vizuri sana na pi. Wewe weka tu, mbona unyama ,weka akiba yako walau nusu na robo siku ya kuvuna tunakua matrilionea. Weka tu mzee. Tuko nawe kiulalo ulalo
 
Hamna kaka. Mweupe wewe si wengi wetu tuko vizuri sana na pi. Wewe weka tu, mbona unyama ,weka akiba yako walau nusu na robo siku ya kuvuna tunakua matrilionea. Weka tu mzee. Tuko nawe kiulalo ulalo
Niweke akiba yangu wapi boss wngu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…