Mzee wa old school
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 873
- 1,405
Wabongo hawafikirii.. utajiri gani huo unakuja kiubwete kiasi hiko....jaeni tu tena! halafu mseme Samia anaupiga mwingi! mkifeli utaskia mama tunanyanyaswa tusaidieee
Duh hongera sana mkuu, kimzaha mzaha mnaweza okota dodo kama wale walioiwahi Bitcoin. Mimi hii nimeifaham miaka mitatu nyuma kutoka kwa mtu wangu wa karibu lkn nilikuwa nampuuzia nimesanuka juzi juzi ananionesha kwenye sim kwamba wamebakiza siku chache wavune coins zao. Ikabidi nichimbue nikakuta kama Kuna ukweli flani japo Sina uhakika.nilikuwa mtu wa mwanzo kabisa kufanya KYC
Mie sikutaka kupuuza kwa sababu sina ninachopoteza nilijaribu na nilipuuzwa lakini walionipuuza sasa hivi ndo wapiga debe wa hii Pi 😂, na kuhusu swala la taarifa binafsi za watu sikuwa na wasiwasi kwa sababu mimi sio double agent. Ni swala la muda tuu ngoja tuone kama tutachimba forever maana kuna jamaa mwanza alikuwa nazo 7000 alifariki last year, kitu bado hakina dalili ya kuingia sokoni kwa upande wake ni kama kachimba foreverDuh hongera sana mkuu, kimzaha mzaha mnaweza okota dodo kama wale walioiwahi Bitcoin. Mimi hii nimeifaham miaka mitatu nyuma kutoka kwa mtu wangu wa karibu lkn nilikuwa nampuuzia nimesanuka juzi juzi ananionesha kwenye sim kwamba wamebakiza siku chache wavune coins zao. Ikabidi nichimbue nikakuta kama Kuna ukweli flani japo Sina uhakika.
Mimi nimeomba KYC lkn mpk sasa hawajaniverify yaani wallet balance naiona kabisa ila KYC sasa dahKwa sasa nina P 17 ila sasa kuna vitu sijakamilisha nasikia hadi namba ya nida inatakiwaView attachment 3226777
Kwenye utapeli sina ninacho kijua kweli...Huna unachokijua, kwahiyo kaa kimya
Kwann verification inachelewa au Mimi tu?KYC verification mwisho ni Feb 28 boss kama hujakamilisha utakuwa umelost coins zako
Nina 17π kwhy ni km mwezi mmoja na mawikiUna muda gan umejiunga na wallet Ina Pai ngap boss, kupata kYC hasa kwa account za hivi karibuni ni mbinde sana
Ngoja nicheki hizi mambo huwenda ndio zinanicheleweshea kycHalafu kamilisha usajiri wako zinatakiwa tick 5 hapo zikamilike tofauti na hapo unamaliza bando lako bure, wanadai mwisho kukamilisha KYC ni trh 28 mwezi huu. Ukichelewa hutaweza kunitumia hizo coins
Ngoja nifanyie mpango kitambulisho nioneMimi nimeomba KYC lkn mpk sasa hawajaniverify yaani wallet balance naiona kabisa ila KYC sasa dah
DuuhNilikuona mjanja kumbe unatapelika kirahisi.
Fanya KYCKwa sasa nina P 17 ila sasa kuna vitu sijakamilisha nasikia hadi namba ya nida inatakiwaView attachment 3226777
Online zipo pesa nyingi tu wenye akili hawahitaji hio bidii na nidhamu bali Wana risk na wanatoboa wakiwa wamelala kitandaniNinaamini pesa inakuja kwa kufanya kazi kwa bidii na nidhamu tu.
Hakuna miujiza kwenye mafanikio zaidi ya bidii na nidhamu.
Duh hongera sana mkuu, kimzaha mzaha mnaweza okota dodo kama wale walioiwahi Bitcoin. Mimi hii nimeifaham miaka mitatu nyuma kutoka kwa mtu wangu wa karibu lkn nilikuwa nampuuzia nimesanuka juzi juzi ananionesha kwenye sim kwamba wamebakiza siku chache wavune coins zao. Ikabidi nichimbue nikakuta kama Kuna ukweli flani japo Sina uhakika.