Nmechelewa sana aisee kuna dada anazo kama 300 ndiye alinisanua mwisho mwa mwaka jana nadhani november now ndo ninazo 35 tu.Ilianza Bitcoin enzi hizo sarafu po chini sana watu na fursa wakaruka nayo... Sasa hivi sarafu haishikiki walioiwahi enzi hizo wanakula kuku kwa mrija.
Ikaja binance nakumbuka 2017 late yake ilikuwa 0.007 kwa coin kwa sasa ipo 500+ usd
KWa sasa naona watu wanatamba na hii #pai, na ni kitu imekuwepo tangu 2019 watu wachimba kimya kimya... Ss nasikia mwisho wa uchimbaji ni mwezi huu wenye wallet zao zilizonona tayari wanaenda kuwa matrilionea.
ANaeijua kiundani hii kitu aongeze nyama tafadhali
View attachment 3226762
P2p bado mkuu,mfano nakuuzia wewe unanipa cash.Uliuzia wapi boss? Kwa mfumo wa P2p? Na uliza bei gan kwa Pai moja
Hahaha nimemuona Mlolongo kacheka kumbe yupogo tu humu.Nimekuwa nikishuhudia jinsi vijana wengi wanavyojinasibu kuwa wanafanya biashara(crypto) , lakini maisha yao yanaendelea kuwa magumu kama yangu tu!
Unapotembelea mitandao yao ya kijamii, hasa kwenye status za WhatsApp, unakutana na jumbe kama vile "Financial freedom" na kadhalika. Lakini ukweli ni kwamba, haya maneno hayana mashiko kama huwezi kuonyeshs ushahidi wa mafanikio yao.
Mimi binafsi, nitakuja kuamini biashara zao pale nitakapoona mabadiliko chanya katika maisha yao. Pale nitakapoona ushahidi wa wazi wa mapato yao, na kuona hatua kubwa walizopiga kimaisha.
Jambo lingine linalonishangaza ni jinsi wa Afrika, hasa wabongo, walivyo wachoyo na wenye roho mbaya. Wanaweza kweli kukupatia mbinu/maarifa jinsi wanavyo tengeneza hiyo mipesa?
Vijana tafuteni mapori mkafyeke na mfanye kilimo, hakuna hela ya kupakua kama unapakua SINGELI
Mkuu Mimi niliweka bandika nipate elim kwa members ambao wapo kule lkn bandiko mkalibadili kwamba navuta watu niwapige.Ona kikazi ingine hii...
Hivi wewe unajua kwamba bidii ni lazima mtu akabebe nyundo eeehhhhh...🤔
Wapo hata wadukuaji wanafanya kazi zao wakiwa vyumbani mwao, lakini wanafanya kwa bidii with highly disciple...🤨
Shut uphujijui
Mkuu Mimi jamaa yangu miaka hiyo aliwahi kuniambia issue hiyo naishia kimcheka... Juzi kanionesha kwenye sim wallet nikaona na deadline kwamba wanaelekea kwenye mavuno yani mwamba mpaka kwenye grp la whtsp la mkoa na Kila mkoa unagrp na kiongoz wao. Anakwambia wakikutana huko wanaitana mabilionea wajaoHii kitu nakumbuka kuna jamaa alileta humu wakati inaanza, nikajiunga. Wengi ambao walikuwa kwenye circle yangu waliishia njiani. Sio wote wenye moyo wa kusubiri.. mimi nilikomaa, nimefanya KYC, kwa sasa nna Pi zaidi ya 1,300
35 ni nyingi sana mkuu kwa jinsi navuoona calculation inapgwa., huo ni mpunga mrefu sanaNmechelewa sana aisee kuna dada anazo kama 300 ndiye alinisanua mwisho mwa mwaka jana nadhani november now ndo ninazo 35 tu.
Kati ya project za alt coins, naona hii itakuja kukaa vizuri.
Sijaelewa vizuri ila kuna mtu nilitaka nimkaribishe P, yeye akawa amefungua account ambayo sio ya kukaribishwa hivyo akawa hawezi kuchimba wakampa option ya kununua pHuyo ananunua wapi??pi bado haijaingia sokoni.
So kama ni kununua au kuuza ni kutoka kwa mtu unaemfaham au kumjua tu.
Jifunze kuhusu kitu kinaitwa crypto airdrops utaelewa maana ya hizi vitu akuna utapeli wowote manake ishu ni sim yako na internet tuHapa nimenusa harufu ya utapeli, hapa laZima nikemee Kwa nguvu zote
Hakuna pesa ya ku kudownload,
Hizo calculation wanakujaza tu usiamini35 ni nyingi sana mkuu kwa jinsi navuoona calculation inapgwa., huo ni mpunga mrefu sana
Hii iko siku nyingi na unaambiwa u-install app ambayo utakuwa unachimba pi kila siku. Ina wafuasi wengi na kila siku utasikia wanasema ''mwezi ujao wanazindua''. Nilii check kwa haraka sana na haya ndiyo mawazo yangu. Nadhani kuna mtu/ watu wenye hiyo app/site wanapata malipo ya matangazo kwa watu ku-click kila siku. Yaani pale unaambiwa kuwa unatakiwa uchimbe sarafu kila siku kwa ku-click, zile clicks zinahesabiwa na wenye matangazo ambao walipa wenye site. Nikipata muda nitafanya research zaidi.Ndiomaana nimeleta bandiko hum ila bahati mbaya naona wote hum ni weupe kichwani kama mm