Wakuu naomba Kazi ya graphics. Kazi zangu na uzoefu nimeambatanisha

Wakuu naomba Kazi ya graphics. Kazi zangu na uzoefu nimeambatanisha

Mkuu unaweza kutengeneza praphic kama hii niliyoattach hapa chini.
Kama jibu ni ndio gharama yake ni kiasi gani?
IMG_20220722_003744_064.jpg
 
Mkuu unaweza kutengeneza praphic kama hii niliyoattach hapa chini.
Kama jibu ni ndio gharama yake ni kiasi gani?View attachment 2327985

Naweza Boss Gharama zake ni elfu 20 ila kama una picha za hivyo vyote

Gharama yake ni Tsh 15,000

Karibu sana

+255 764 035 004 WhatsApp

Kwa Maongezi zaidi.

Shukurani sana kwa kutufikiria.
 
Back
Top Bottom