Wakuu naomba Kazi ya graphics. Kazi zangu na uzoefu nimeambatanisha

Wakuu naomba Kazi ya graphics. Kazi zangu na uzoefu nimeambatanisha

Salaam wakuu. Natumai wote mpo wazima.
View attachment 2263830View attachment 2263831

View attachment 2265651
Naomba kazi ya Graphic Design kama
• Kudesign logo
• Kudesign business cards
• Kudesign presentation
Yaani kiujumla any design kwa kutumia
• Adobe photoshop
• Adobe Illustrator
Uzoefu wangu ni miaka 2,
Sijafundishwa chuo nimejifunza mwenyewe hivyo sina cheti.

Cheti nilichonacho ni degree ya taaluma ya maendeleo (BA. In Development Studies) Chuo kikuu cha Dar Es Salaam (UDSM)


View attachment 2198137
FAIDA NAZOWEZA KUTOA
  1. Professional and Creative design
  2. Branding
  3. Graphics design counselling.
  4. Naweza saidia kampuni kuwa na maamuzi sahihi kwenye communication via graphics
  5. Sababu ni self-taught graphic designer nipo naendelea kupush beyond limits it means kazi zangu always zinazidi expectation
  6. Kutokana kuwa na ufahamu wa Maendeleo (Development Insights) naweza saidia kutoa content bora (development-centred) kwa mashirika yenye relations na community development.

Pia, self-taught, inamaanisha unakua unafanya kujitafutia materials (Research) na kuyafanzia kazi (Development) hii inamaanisha niko vizuri kwenye filtering of information, hivyo naweza fanya kazi ya kutafiti taarifa, materials au jambo lolote lile nikalileta kwa usahihi unaoweza hata kufanyiwa practical.

Kwa vile kazi hii unaweza fanya hata ukiwa remote (In home)
Ikiwa ungependa kunipa tenda kulingana na limited funds
Gharama zangu ni hizi kwa wanaotaka kufanya kwa packages za poster.
View attachment 2265652

Naambatanisha kazi zangu hapa
View attachment 2198145View attachment 2198146View attachment 2198147View attachment 2198151View attachment 2198152View attachment 2198153View attachment 2198154View attachment 2198155View attachment 2198156

Kwa whatsapp no yangu. 0764035004 (SMS sababu nina tatizo la deaf – hard of hearing)
Nashukuru sana
Nakaribisha maswali pia.

View attachment 2198142

-------------UPDATES---------
Baada ya kupita kipindi kirefu, japo nashukuru wote walionicheki na kunipa moyo na wengine kunipa hope. Bado sinafanikiwa kupata kazi kurahisha income yangu.

Nimefanya marekebisho na kuongeza baadhi ya ujuzi hizi hapa ni kazi zangu mpya.

Sports Poster
View attachment 2263814View attachment 2263815View attachment 2263816View attachment 2263817

Social media normal poster
View attachment 2263818View attachment 2263820View attachment 2263821View attachment 2263822View attachment 2263823
Hongera sana me pia ni graphics designer kama wewe .nina cheti ila naendelea kujifunza kwa yeyote ninaye ona anakitu cha ziada ambacho mimi sina ..nitakutafuta nikikuhitaji mkuu [emoji120]
 
Hongera sana me pia ni graphics designer kama wewe .nina cheti ila naendelea kujifunza kwa yeyote ninaye ona anakitu cha ziada ambacho mimi sina ..nitakutafuta nikikuhitaji mkuu [emoji120]
Karibu sana
 
Umejitahidi sana na hongera,
Fanyia kazi mapungufu madogo madogo
Ukiomba kazi ukaambatanisha na hii design yako kuna changamoto.
Huyu baba hicho kichwa kinakushusha sana
Screenshot_20220624-095450_Firefox.jpg
 
WAZO.
Nafikiri kungeanzishwa Thread maalumu kwa ajili ya Graphic Design. Wale wote wenye interest ya kujifunza na kuongeza maarifa tuwe tunakutana hapo.

Mfano, mtu anaweza akatengeneza kazi yake akaiweka hapa ili kupata ushauri au mawazo mapya kuhusiana na kazi hiyo. Pia wenye maswali, changamoto na mawazo mapya tukawa tuna share hapo.
 
WAZO.
Nafikiri kungeanzishwa Thread maalumu kwa ajili ya Graphic Design. Wale wote wenye interest ya kujifunza na kuongeza maarifa tuwe tunakutana hapo.

Mfano, mtu anaweza akatengeneza kazi yake akaiweka hapa ili kupata ushauri au mawazo mapya kuhusiana na kazi hiyo. Pia wenye maswali, changamoto na mawazo mapya tukawa tuna share hapo.
Ahsante Boss, ila nipo kitaa nachakaa nipate hata kazi ndio nafikiria, anyway uzi unakimbia ngoja nijaribu kufungua thread maalumu.
 
Salaam wakuu. Natumai wote mpo wazima.
View attachment 2263830View attachment 2263831
View attachment 2270404

View attachment 2265651
Naomba kazi ya Graphic Design kama
• Kudesign logo
• Kudesign business cards
• Kudesign presentation
Yaani kiujumla any design kwa kutumia
• Adobe photoshop
• Adobe Illustrator
Uzoefu wangu ni miaka 2,
Sijafundishwa chuo nimejifunza mwenyewe hivyo sina cheti.

Cheti nilichonacho ni degree ya taaluma ya maendeleo (BA. In Development Studies) Chuo kikuu cha Dar Es Salaam (UDSM)


View attachment 2198137
FAIDA NAZOWEZA KUTOA
  1. Professional and Creative design
  2. Branding
  3. Graphics design counselling.
  4. Naweza saidia kampuni kuwa na maamuzi sahihi kwenye communication via graphics
  5. Sababu ni self-taught graphic designer nipo naendelea kupush beyond limits it means kazi zangu always zinazidi expectation
  6. Kutokana kuwa na ufahamu wa Maendeleo (Development Insights) naweza saidia kutoa content bora (development-centred) kwa mashirika yenye relations na community development.

Pia, self-taught, inamaanisha unakua unafanya kujitafutia materials (Research) na kuyafanzia kazi (Development) hii inamaanisha niko vizuri kwenye filtering of information, hivyo naweza fanya kazi ya kutafiti taarifa, materials au jambo lolote lile nikalileta kwa usahihi unaoweza hata kufanyiwa practical.

Kwa vile kazi hii unaweza fanya hata ukiwa remote (In home)
Ikiwa ungependa kunipa tenda kulingana na limited funds
Gharama zangu ni hizi kwa wanaotaka kufanya kwa packages za poster.
View attachment 2265652

Naambatanisha kazi zangu hapa
View attachment 2198145View attachment 2198146View attachment 2198147View attachment 2198151View attachment 2198152View attachment 2198153View attachment 2198154View attachment 2198155View attachment 2198156

Kwa whatsapp no yangu. 0764035004 (SMS sababu nina tatizo la deaf – hard of hearing)
Nashukuru sana
Nakaribisha maswali pia.

View attachment 2198142

-------------UPDATES---------
Baada ya kupita kipindi kirefu, japo nashukuru wote walionicheki na kunipa moyo na wengine kunipa hope. Bado sinafanikiwa kupata kazi kurahisha income yangu.

Nimefanya marekebisho na kuongeza baadhi ya ujuzi hizi hapa ni kazi zangu mpya.

Sports Poster
View attachment 2263814View attachment 2263815View attachment 2263816View attachment 2263817

Social media normal poster
View attachment 2263818View attachment 2263820View attachment 2263821View attachment 2263822View attachment 2263823
Picha namba 17 umefanya vizuri.
 
Salaam wakuu. Natumai wote mpo wazima.
View attachment 2263830View attachment 2263831
View attachment 2270404

View attachment 2265651
Naomba kazi ya Graphic Design kama
• Kudesign logo
• Kudesign business cards
• Kudesign presentation
Yaani kiujumla any design kwa kutumia
• Adobe photoshop
• Adobe Illustrator
Uzoefu wangu ni miaka 2,
Sijafundishwa chuo nimejifunza mwenyewe hivyo sina cheti.

Cheti nilichonacho ni degree ya taaluma ya maendeleo (BA. In Development Studies) Chuo kikuu cha Dar Es Salaam (UDSM)


View attachment 2198137
FAIDA NAZOWEZA KUTOA
  1. Professional and Creative design
  2. Branding
  3. Graphics design counselling.
  4. Naweza saidia kampuni kuwa na maamuzi sahihi kwenye communication via graphics
  5. Sababu ni self-taught graphic designer nipo naendelea kupush beyond limits it means kazi zangu always zinazidi expectation
  6. Kutokana kuwa na ufahamu wa Maendeleo (Development Insights) naweza saidia kutoa content bora (development-centred) kwa mashirika yenye relations na community development.

Pia, self-taught, inamaanisha unakua unafanya kujitafutia materials (Research) na kuyafanzia kazi (Development) hii inamaanisha niko vizuri kwenye filtering of information, hivyo naweza fanya kazi ya kutafiti taarifa, materials au jambo lolote lile nikalileta kwa usahihi unaoweza hata kufanyiwa practical.

Kwa vile kazi hii unaweza fanya hata ukiwa remote (In home)
Ikiwa ungependa kunipa tenda kulingana na limited funds
Gharama zangu ni hizi kwa wanaotaka kufanya kwa packages za poster.
View attachment 2265652

Naambatanisha kazi zangu hapa
View attachment 2198145View attachment 2198146View attachment 2198147View attachment 2198151View attachment 2198152View attachment 2198153View attachment 2198154View attachment 2198155View attachment 2198156

Kwa whatsapp no yangu. 0764035004 (SMS sababu nina tatizo la deaf – hard of hearing)
Nashukuru sana
Nakaribisha maswali pia.

View attachment 2198142

-------------UPDATES---------
Baada ya kupita kipindi kirefu, japo nashukuru wote walionicheki na kunipa moyo na wengine kunipa hope. Bado sinafanikiwa kupata kazi kurahisha income yangu.

Nimefanya marekebisho na kuongeza baadhi ya ujuzi hizi hapa ni kazi zangu mpya.

Sports Poster
View attachment 2263814View attachment 2263815View attachment 2263816View attachment 2263817

Social media normal poster
View attachment 2263818View attachment 2263820View attachment 2263821View attachment 2263822View attachment 2263823
Hongera Mkuu, je waweza nifundisha na Mimi kutumia Adobe Photoshop kwa malipo Fulani , hata online ?
 
CGI- hapa siwezi nipo nimebase na Photoshop na Illustrator.

Unaposema sipo VIZURI KIHIVYO. Naomba ufafanue huenda ukanisaidia kuimprove, maana nilivyoaanza sikua najua vitu vingi mpaka nilipokua naonyweshwa wapi hapajakaa sawa.

Kumbuka ni Self-Taught. So naomba unisaidie unapoona sipo VIZURI ili niimprove.
Umejibu kiungwana
 
Salaam wakuu. Natumai wote mpo wazima.
View attachment 2263830View attachment 2263831
View attachment 2270404

View attachment 2265651
Naomba kazi ya Graphic Design kama
• Kudesign logo
• Kudesign business cards
• Kudesign presentation
Yaani kiujumla any design kwa kutumia
• Adobe photoshop
• Adobe Illustrator
Uzoefu wangu ni miaka 2,
Sijafundishwa chuo nimejifunza mwenyewe hivyo sina cheti.

Cheti nilichonacho ni degree ya taaluma ya maendeleo (BA. In Development Studies) Chuo kikuu cha Dar Es Salaam (UDSM)


View attachment 2198137
FAIDA NAZOWEZA KUTOA
  1. Professional and Creative design
  2. Branding
  3. Graphics design counselling.
  4. Naweza saidia kampuni kuwa na maamuzi sahihi kwenye communication via graphics
  5. Sababu ni self-taught graphic designer nipo naendelea kupush beyond limits it means kazi zangu always zinazidi expectation
  6. Kutokana kuwa na ufahamu wa Maendeleo (Development Insights) naweza saidia kutoa content bora (development-centred) kwa mashirika yenye relations na community development.

Pia, self-taught, inamaanisha unakua unafanya kujitafutia materials (Research) na kuyafanzia kazi (Development) hii inamaanisha niko vizuri kwenye filtering of information, hivyo naweza fanya kazi ya kutafiti taarifa, materials au jambo lolote lile nikalileta kwa usahihi unaoweza hata kufanyiwa practical.

Kwa vile kazi hii unaweza fanya hata ukiwa remote (In home)
Ikiwa ungependa kunipa tenda kulingana na limited funds
Gharama zangu ni hizi kwa wanaotaka kufanya kwa packages za poster.
View attachment 2265652

Naambatanisha kazi zangu hapa
View attachment 2198145View attachment 2198146View attachment 2198147View attachment 2198151View attachment 2198152View attachment 2198153View attachment 2198154View attachment 2198155View attachment 2198156

Kwa whatsapp no yangu. 0764035004 (SMS sababu nina tatizo la deaf – hard of hearing)
Nashukuru sana
Nakaribisha maswali pia.

View attachment 2198142

-------------UPDATES---------
Baada ya kupita kipindi kirefu, japo nashukuru wote walionicheki na kunipa moyo na wengine kunipa hope. Bado sinafanikiwa kupata kazi kurahisha income yangu.

Nimefanya marekebisho na kuongeza baadhi ya ujuzi hizi hapa ni kazi zangu mpya.

Sports Poster
View attachment 2263814View attachment 2263815View attachment 2263816View attachment 2263817

Social media normal poster
View attachment 2263818View attachment 2263820View attachment 2263821View attachment 2263822View attachment 2263823
Www.linkedin.com

Www.upwork.com

Www.fiverr.com

Www.guru.com

Www.google.com/ how to sell my graphics designs
 
Back
Top Bottom