Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatumia kompyuta ku regenerate vyakwako.CGI- hapa siwezi nipo nimebase na Photoshop na Illustrator.
Unaposema sipo VIZURI KIHIVYO. Naomba ufafanue huenda ukanisaidia kuimprove, maana nilivyoaanza sikua najua vitu vingi mpaka nilipokua naonyweshwa wapi hapajakaa sawa.
Kumbuka ni Self-Taught. So naomba unisaidie unapoona sipo VIZURI ili niimprove.
Bongo sehemu moja ya kichoko sana yani, ila kwa mtu kama huyu angezaliwa USA angekuwa ni billionaire tayari.Bongo nyoso..asee kwaio mtu anaweza kuwa na skills kama hizi akose hata kasubari kakutesea kitaa ... daah
Boss naelewa maana ya CGI lakini nilipanga kua specialized with adobe Photoshop, Illustrator na InDesign.Unatumia kompyuta ku regenerate vyakwako.
Kwa.mfano hiyo Moja 1 labour day, picha za watu, nk
Bongo huwa hatuthamini professionalism thats why ni rahisi kumgeuza professa kuwa chawa wa CCM.Inabidi kuwe na baraza la kutambua wataalamu pia wa fani nyingine.
Bongo huwa hatuthamini professionalism thats why ni rahisi kumgeuza professa kuwa chawa wa CCM.
Ni rahisi kumlipa Steve Nyerere million 15 ila ni ngumu kumlipa professional public speaker million 3 tu kwa kitu bora kuliko afanyacho Steve Nyerere.
Ahsante sana i will consider it.Kijana nenda Upwork au fiver jisajiri fanya KAZI za kufanya social media management au yoyote inayohusiana na hivyo. Utakuja kutushukuru.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Mabango yanategewa stand za mbao nyuma😂😂😂 hivi zile led panels kwani ni billion ngapi washindwe kuweka mle miaka yote hio.Yaani ni hatari. Nchi inakua kama uongozi wa shule za advance.
No plan, no vision upigaji tu.
Mfano Boss ule uwanja wa taifa kuna namna yale mabango ya sponsor ya aweza wekwa yakavutia kama ulaya vile hata kama hayana umeme.
Cha ajabu wanafanya kwa mazoea
Asee kumbe inakera, why kama taifa kwenye soka tusiwekeze miundombinu ili kenya ikiwa na riadha sisi tujisifie na Ligi moja matata Africa.Mabango yanategewa stand za mbao nyuma😂😂😂 hivi zile led panels kwani ni billion ngapi washindwe kuweka mle miaka yote hio.
Simple Logo bei gan mkuu,Nishaingia kiongozi
achana na watu kama hawa, wanakuwaga waaribifu wa mipango, Witchez.Punguza ujuaji.
Comment vizuri then pita hivi.
Kama ni wa industry yako na unahisi kazingua kitu basi Mfate inbox mkadiscuss, Kutuanbia hapa "He is not advanced" una maanisha nini?
Unataka wateja tujue kuwa jamaa hajui and he is not advanced..?!!
#YNWA