glory to yhwh
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 1,026
- 1,401
Nimezielewa kazi zako sanaaa
Nasubscribe for future use
Unahitaji mtaji kiasi gani kwa kuanzia na kwa ajili nini to be specific
Anaweza kuwepo mdau humu wa kukupa au kukukopesha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimezielewa kazi zako sanaaa
Bongo nyoso..asee kwaio mtu anaweza kuwa na skills kama hizi akose hata kasubari kakutesea kitaa ... daahSalaam wakuu. Natumai wote mpo wazima.
View attachment 2263830View attachment 2263831
Naomba kazi ya Graphic Design kama
• Kudesign logo
• Kudesign business cards
• Kudesign presentation
Yaani kiujumla any design kwa kutumia
• Adobe photoshop
• Adobe Illustrator
Uzoefu wangu ni miaka 2,
Sijafundishwa chuo nimejifunza mwenyewe hivyo sina cheti.
Cheti nilichonacho ni degree ya taaluma ya maendeleo (BA. In Development Studies) Chuo kikuu cha Dar Es Salaam (UDSM)
View attachment 2198137
FAIDA NAZOWEZA KUTOA
- Professional and Creative design
- Branding
- Graphics design counselling.
- Naweza saidia kampuni kuwa na maamuzi sahihi kwenye communication via graphics
- Sababu ni self-taught graphic designer nipo naendelea kupush beyond limits it means kazi zangu always zinazidi expectation
- Kutokana kuwa na ufahamu wa Maendeleo (Development Insights) naweza saidia kutoa content bora (development-centred) kwa mashirika yenye relations na community development.
Pia, self-taught, inamaanisha unakua unafanya kujitafutia materials (Research) na kuyafanzia kazi (Development) hii inamaanisha niko vizuri kwenye filtering of information, hivyo naweza fanya kazi ya kutafiti taarifa, materials au jambo lolote lile nikalileta kwa usahihi unaoweza hata kufanyiwa practical.
Kwa vile kazi hii unaweza fanya hata ukiwa remote (In home)
Ikiwa ungependa kunipa tenda kulingana na limited funds
Gharama zangu ni hizi kwa wanaotaka kufanya kwa packages za poster.
View attachment 2263832
Naambatanisha kazi zangu hapa
View attachment 2198145View attachment 2198146View attachment 2198147View attachment 2198148View attachment 2198151View attachment 2198152View attachment 2198153View attachment 2198154View attachment 2198155View attachment 2198156
Kwa whatsapp no yangu. 0764035004 (SMS sababu nina tatizo la deaf – hard of hearing)
Nashukuru sana
Nakaribisha maswali pia.
View attachment 2198142
-------------UPDATES---------
Baada ya kupita kipindi kirefu, japo nashukuru wote walionicheki na kunipa moyo na wengine kunipa hope. Bado sinafanikiwa kupata kazi kurahisha income yangu.
Nimefanya marekebisho na kuongeza baadhi ya ujuzi hizi hapa ni kazi zangu mpya.
Sports Poster
View attachment 2263814View attachment 2263815View attachment 2263816View attachment 2263817
Social media normal poster
View attachment 2263818View attachment 2263820View attachment 2263821View attachment 2263822View attachment 2263823
Nachohitaji ni vifaa, vinakost Million 2 to up for printing tu, kwa mabango ya kuweka juu ya maduka au frem sina uzoefu so nimelenga design na printing.Nimezielewa kazi zako sanaaa
Nasubscribe for future use
Unahitaji mtaji kiasi gani kwa kuanzia na kwa ajili nini to be specific
Anaweza kuwepo mdau humu wa kukupa au kukukopesha
Kuna shirika nilipiga kazi baadae wakaniambia hawana fund za kunijiri yaani hata kutoa 70000 kusubscribe package ya basic kunisapoti mziki.Bongo nyoso..asee kwaio mtu anaweza kuwa na skills kama hizi akose hata kasubari kakutesea kitaa ... daah
Kukosoa sio mawazo ni kujiona wewe unajua kuliko huyo mwengine.Kwanini usiheshimu mawazo ya wengine?.
Ahsante sana, kuna picha nyingine nimeupdate, huenda wakaona kwa jicho jipya.Hongera sana kamanda buffalo44 kazi zako si mchezo yaani siyo poa !!
Nami ni deaf person najifunza graphic design ila sijafikia level yako hata kiduchu maaana hapo unatimua mbio mitri ya Usain Bolt ,mimi hata kutambaa bado!1
Nimesoma wadau humu wanasema hujafika anga za maexpert (advaanced level) bado sijui sie makapuku inakuwaje?
Mchawi ni pesa kamanda,kutenga muda si tatizo kwa sie makapukuAhsante sana, kuna picha nyingine nimeupdate, huenda wakaona kwa jicho jipya.
Nashukuru sana. Ukiwa na muda na pesa huenda nikakufundisha.
Karibu sana.
Nipo BossJiunge hapo kupata update za nafasi za ajira, Tenda na vibarua Tanzania
![]()
HR Tanzania
Kikundi hiki cha HR ni jukwaa la kushiriki Kazi za Sasa, Habari za Ajira kwa watu wa Tanzania. Kanuni:- 1) Hakuna Barua taka & matusi na Ujumbe wa matusi kwa kila mmoja.🚫 2) Hakuna Messages za watu wazima🔞❌ 3) Hakuna tangazo la Cryptot.me
Sawa mkuu ntakuchek ndugu yangu si ndo unayotumia what's up hiyoUmenipa moyo wa kupambana.
Ila idea yako ya Photoshop na Illustrator endeleza utafika tu. Chukua namba yangu kwenye poster nilizopost au chini ya post uwe unaniulizia hapa na pale kuhusu Photoshop na Illustrator