Wakuu naomba Kazi ya graphics. Kazi zangu na uzoefu nimeambatanisha

Wakuu naomba Kazi ya graphics. Kazi zangu na uzoefu nimeambatanisha

Shukurani nashukuru umeona, walio serious ni makampuni, na mashirika, logo tu wanatoa million (hapa unapambana) logo yangu ya RUGE MUTAHABA FOUNDATION umeionaje? Nimeshindwa ingia hata Top ten, huenda mtu akanionesha mapungufu next time nikaze.

Kuna Uzi wa PayPal kuomba kuruhusiwa na Serikali kuna vitu vya hapa na pale nilipata nitafanyia KAZI.

Once again shukuran sana KIONGOZI.

NAOMBA USISAHAU KUNISAIDIA OMBI LA KUVIEW LOGO YA RUGE MUTAHABA FOUNDATION HAPO JUU. Unisaidie wapi nafeli.
Mimi nilishiriki pia shindano la Ruge niliona wamesema mchujo ulifanyika kwanza kwa ambao hatukuweka namba za simu tulichujwa kwanza.

Ila logo yako ipo poa kwa jicho langu.
 
Samahani sana mkuu nilitoa comment bila kuzingatia vizuri ulichoandika samahani sana.

Lakini kama nilivyosema kwa graphic zako unaweza kuajirika popote pale iwe corporate, NGO au serikali. Cha muhimu kama wengine walivyoshauri ufanye mchakato wa cheti.
Thanks mkuu.
 
Mimi nilishiriki pia shindano la Ruge niliona wamesema mchujo ulifanyika kwanza kwa ambao hatukuweka namba za simu tulichujwa kwanza.

Ila logo yako ipo poa kwa jicho langu.
Shukurani, namba za simu tena mbona hawakusema
 
Mimi nilishiriki pia shindano la Ruge niliona wamesema mchujo ulifanyika kwanza kwa ambao hatukuweka namba za simu tulichujwa kwanza.

Ila logo yako ipo poa kwa jicho langu.
Kiongozi umenisaidia.

Shukuran kwa moyo wako na maoni yako Chanya.
 
Shukurani, namba za simu tena mbona hawakusema
IMG_20220424_124745.jpg
 
Japo na mimi nina idea ya photoshop na illuatrator lakin daah hizi kazi zako nimezielewa aisee
Umenipa moyo wa kupambana.
Ila idea yako ya Photoshop na Illustrator endeleza utafika tu. Chukua namba yangu kwenye poster nilizopost au chini ya post uwe unaniulizia hapa na pale kuhusu Photoshop na Illustrator
 
Back
Top Bottom