mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Bongo wanawapromote akina Mandonga mtu kazi.Bongo sehemu moja ya kichoko sana yani, ila kwa mtu kama huyu angezaliwa USA angekuwa ni billionaire tayari.
Mkuu unaweza kutengeneza praphic kama hii niliyoattach hapa chini.
Kama jibu ni ndio gharama yake ni kiasi gani?View attachment 2327985
sawa nimekupata,nitakucheki ikitokea ishu.Naweza Boss Gharama zake ni elfu 20 ila kama una picha za hivyo vyote
Gharama yake ni Tsh 15,000
Karibu sana
+255 764 035 004 WhatsApp
Kwa Maongezi zaidi.
Shukurani sana kwa kutufikiria.
Hivi hiyo ajira portal Link yake nitaipataje kwa mfanoNilitaka kukuambia uingie ajira portal kuna kazi ya graphics design wanahitaji certificate tuuu, ila bahati mbaya huna cheti.
asante mkuu, lets do itHapo alipopost ni zamani job washaajiri.
Ila kama unataka ajira portal tu, unaweza google ajira portal, chagua ile ya kwanza yenye go.tz
Ndio hapo
buffalo44Umeshapata? Nichek kama ujapata