Wakuu naombeni CV za Waandishi habari wote waliomuhoji LISSU tangu atangaze kugombea umakamu !!.

Wakuu naombeni CV za Waandishi habari wote waliomuhoji LISSU tangu atangaze kugombea umakamu !!.

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Husasan wa Media za hapa Tanzania !!.

Maana ni aibu aibu aibu aibu aibuu narudia ni AIBUUUUU .

Hivi kuna vyuo binafundisha hii taaluma? Au ni ujanjaujanja tu wa MTU, anafika Clouds , ana sauti ya kutangaza, basi anaitwa mwandishi wa habari?.

Yaan tuseme, Zembwela akae kumuhoji LISSU?? Hapa Zembwela ni Mwandishi wa habari au ??.

 
Vyuo vya hapa Tz kada zoteeee, yaani zoote ni kama unavyoona hapo.
 
Mwenye kumfahamu huyu mdada amuanike hapa nimfahamu vizuri...
 
Husasan wa Media za hapa Tanzania !!.

Maana ni aibu aibu aibu aibu aibuu narudia ni AIBUUUUU .

Hivi kuna vyuo binafundisha hii taaluma? Au ni ujanjaujanja tu wa MTU, anafika Clouds , ana sauti ya kutangaza, basi anaitwa mwandishi wa habari?.

Yaan tuseme, Zembwela akae kumuhoji LISSU?? Hapa Zembwela ni Mwandishi wa habari au ??.

View attachment 3203664
waandishi wa habari waliosomea kazi hii walishaacha kazi siku nyingi maana hawalipwi
 
Mhhhh mwandishi hakufahamu kama atakutana na za usoo
 
Nashauri media ziweke watu maalumu wa kumhoji Lissu, hata wa kukodi sio lazima wawe wa kila siku.
 
20250116_152357.jpg
 
Back
Top Bottom