Umeshindwa kuchukua hata M1?[emoji23][emoji23][emoji23] utakuwa hukuwa na shida[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sad Update: Transaction reversed 2:30pm.....
Ushauri umechelewa, wengine wameniogopesha.........basi ndiyo hivyo - Ngombe wa maskini.......
Hiyo bahati yako,wewe fanya mambo.Naomba ushauri tu, leo nimekuta Mil 300 zimo kwenye account yangu ya Benki - Sijui zilikotoka sasa naomba ushauri kwenu:
1. Niripoti bank yangu kwamba kuna mzigo sijui ulikotoka
2. Nikae kimya kwanza kusikilizia
3. Nianze kuzitumbua
4. Nizihamishe fasta kwenye acc nyingine
5. Nizitoe zote nikae nazo home, sababu wanaweza ku-trace kama nikiweka kwenye acc yangu nyingine?
Wazoefu naombeni ushauri wenu - nimedata hata kazi nashindwa kufanya - Jina la Benki naliweka kapuni kwa sasa.
Zihamishe faster uzitumbueNaomba ushauri tu, leo nimekuta Mil 300 zimo kwenye account yangu ya Benki - Sijui zilikotoka sasa naomba ushauri kwenu:
1. Niripoti bank yangu kwamba kuna mzigo sijui ulikotoka
2. Nikae kimya kwanza kusikilizia
3. Nianze kuzitumbua
4. Nizihamishe fasta kwenye acc nyingine
5. Nizitoe zote nikae nazo home, sababu wanaweza ku-trace kama nikiweka kwenye acc yangu nyingine?
Wazoefu naombeni ushauri wenu - nimedata hata kazi nashindwa kufanya - Jina la Benki naliweka kapuni kwa sasa.
Ivute MpesaMkuu bado hela bado imo.... nimecheki tena muda huu.
Naomba ushauri tu, leo nimekuta Mil 300 zimo kwenye account yangu ya Benki - Sijui zilikotoka sasa naomba ushauri kwenu:
1. Niripoti bank yangu kwamba kuna mzigo sijui ulikotoka
2. Nikae kimya kwanza kusikilizia
3. Nianze kuzitumbua
4. Nizihamishe fasta kwenye acc nyingine
5. Nizitoe zote nikae nazo home, sababu wanaweza ku-trace kama nikiweka kwenye acc yangu nyingine?
Wazoefu naombeni ushauri wenu - nimedata hata kazi nashindwa kufanya - Jina la Benki naliweka kapuni kwa sasa.
Yaaani ukimbilie China kwa 300mil, itakufikisha wapi sasa huko ugenini?Toa faster ukimbilie china
Nigawie Mkuu tuanze matumbuzi tutasaidiana kujibu piaNaomba ushauri tu, leo nimekuta Mil 300 zimo kwenye account yangu ya Benki - Sijui zilikotoka sasa naomba ushauri kwenu:
1. Niripoti bank yangu kwamba kuna mzigo sijui ulikotoka
2. Nikae kimya kwanza kusikilizia
3. Nianze kuzitumbua
4. Nizihamishe fasta kwenye acc nyingine
5. Nizitoe zote nikae nazo home, sababu wanaweza ku-trace kama nikiweka kwenye acc yangu nyingine?
Wazoefu naombeni ushauri wenu - nimedata hata kazi nashindwa kufanya - Jina la Benki naliweka kapuni kwa sasa.
Huyo ng'ombe angezaa sema ww tu hukuwa fastaSad Update: Transaction reversed 2:30pm.....
Ushauri umechelewa, wengine wameniogopesha.........basi ndiyo hivyo - Ngombe wa maskini.......
Badala ya kwenda Morogoro porini huko eti China 🤣🤣Yaaani ukimbilie China kwa 300mil, itakufikisha wapi sasa huko ugenini?
Hapana, nilikuwa na muda mchache sana kufanya maamuzi; lakini bahati mbaya sikupata ushauri kwa muda muafaka, wengi walitania tania.Huyo ng'ombe angezaa sema ww tu hukuwa fasta
Sasa kama ndogo unapata mchecheto wa nini hadi kushindwa kufanya kaz zakoMkuu Mil 300 au tuseme ni $130,500 hivi, zinihamishe nchi ? mbona ndogo nina familia
Nilitaka nikushauri hata ununue kitu nje ulipe kwa card yako lakini nikaona ni prosesi sanaHapana, nilikuwa na muda mchache sana kufanya maamuzi; lakini bahati mbaya sikupata ushauri kwa muda muafaka, wengi walitania tania.
Nilifikiri kufanya transfer kwa pay pal kwenda account ya nje ila sikupata mdau wa kunishauri vzr.