Wakuu, nimekuta mil 300 kwenye Bank account yangu - sizijui!

Wakuu, nimekuta mil 300 kwenye Bank account yangu - sizijui!

Sad Update: Transaction reversed 2:30pm.....

Ushauri umechelewa, wengine wameniogopesha.........basi ndiyo hivyo - Ngombe wa maskini.......
Umeshindwa kuchukua hata M1?[emoji23][emoji23][emoji23] utakuwa hukuwa na shida[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hawa ndo wanafanya bangi iendelee kupigwa marufuku tz wakat ina faida nyingi sana hasa kulima
 
Naomba ushauri tu, leo nimekuta Mil 300 zimo kwenye account yangu ya Benki - Sijui zilikotoka sasa naomba ushauri kwenu:

1. Niripoti bank yangu kwamba kuna mzigo sijui ulikotoka
2. Nikae kimya kwanza kusikilizia
3. Nianze kuzitumbua
4. Nizihamishe fasta kwenye acc nyingine
5. Nizitoe zote nikae nazo home, sababu wanaweza ku-trace kama nikiweka kwenye acc yangu nyingine?

Wazoefu naombeni ushauri wenu - nimedata hata kazi nashindwa kufanya - Jina la Benki naliweka kapuni kwa sasa.
Hiyo bahati yako,wewe fanya mambo.
 
Naomba ushauri tu, leo nimekuta Mil 300 zimo kwenye account yangu ya Benki - Sijui zilikotoka sasa naomba ushauri kwenu:

1. Niripoti bank yangu kwamba kuna mzigo sijui ulikotoka
2. Nikae kimya kwanza kusikilizia
3. Nianze kuzitumbua
4. Nizihamishe fasta kwenye acc nyingine
5. Nizitoe zote nikae nazo home, sababu wanaweza ku-trace kama nikiweka kwenye acc yangu nyingine?

Wazoefu naombeni ushauri wenu - nimedata hata kazi nashindwa kufanya - Jina la Benki naliweka kapuni kwa sasa.
Zihamishe faster uzitumbue
 
Ilishawah nitokea wakat flan niko pugu... nshatumbua ela yote karibi term inaisha nikaona poa ngoja nikamalizie elf20 ilobak... nachek mzee atm ina soma laki8.. nikajua imekosea, nikaenda ndanu nikaandika kikaratas yule dada akaandika tena ile balance... nikaskut kwe kile kitiiiii.....

Nikachukua karatas ya kuwithdraw nikatoa laki7... nikawa nazifichwa kwe tranka... adi siku naenda hom...

Nlikua kila jion lazma nishuke zangu mwisho wa lami kula kuku. Na sijawah tafutwa adi ile akaunt nlipoitelekeza
 
kudraw kupitia 🏧 yote haiwezekani,subiria simu kutoka freemason Kama ulishawahi kutuma ujumbe kwenye zile namba wanazobandikaga mabarabarani. Mkuu punguza presha usikute wamekuingizia tuu hiyo hela ya futari kipindi hiki cha mfungo mzigo zaidi utaupokea eid yenyewe. Jiandae tu kufata masharti yao wahi 🏧 katoe hata vimilioni vya machungwa na uji Kama benki walikosea waambie ushawahi tuma maombi free masons ulijua ndio wao
 
Hamisha haraka sana!!!!, kisha achana na hiyo account kabisa!!!
Naomba ushauri tu, leo nimekuta Mil 300 zimo kwenye account yangu ya Benki - Sijui zilikotoka sasa naomba ushauri kwenu:

1. Niripoti bank yangu kwamba kuna mzigo sijui ulikotoka
2. Nikae kimya kwanza kusikilizia
3. Nianze kuzitumbua
4. Nizihamishe fasta kwenye acc nyingine
5. Nizitoe zote nikae nazo home, sababu wanaweza ku-trace kama nikiweka kwenye acc yangu nyingine?

Wazoefu naombeni ushauri wenu - nimedata hata kazi nashindwa kufanya - Jina la Benki naliweka kapuni kwa sasa.
 
Nikithibitisha kuwa unayoyaongea ni ya kweli, Nitakupa packages ya ushauri wa kufanya utachagua utakaokufaa.
 
Naomba ushauri tu, leo nimekuta Mil 300 zimo kwenye account yangu ya Benki - Sijui zilikotoka sasa naomba ushauri kwenu:

1. Niripoti bank yangu kwamba kuna mzigo sijui ulikotoka
2. Nikae kimya kwanza kusikilizia
3. Nianze kuzitumbua
4. Nizihamishe fasta kwenye acc nyingine
5. Nizitoe zote nikae nazo home, sababu wanaweza ku-trace kama nikiweka kwenye acc yangu nyingine?

Wazoefu naombeni ushauri wenu - nimedata hata kazi nashindwa kufanya - Jina la Benki naliweka kapuni kwa sasa.
Nigawie Mkuu tuanze matumbuzi tutasaidiana kujibu pia
 
Sad Update: Transaction reversed 2:30pm.....

Ushauri umechelewa, wengine wameniogopesha.........basi ndiyo hivyo - Ngombe wa maskini.......
Huyo ng'ombe angezaa sema ww tu hukuwa fasta
 
Huyo ng'ombe angezaa sema ww tu hukuwa fasta
Hapana, nilikuwa na muda mchache sana kufanya maamuzi; lakini bahati mbaya sikupata ushauri kwa muda muafaka, wengi walitania tania.
Nilifikiri kufanya transfer kwa pay pal kwenda account ya nje ila sikupata mdau wa kunishauri vzr.
 
Hapana, nilikuwa na muda mchache sana kufanya maamuzi; lakini bahati mbaya sikupata ushauri kwa muda muafaka, wengi walitania tania.
Nilifikiri kufanya transfer kwa pay pal kwenda account ya nje ila sikupata mdau wa kunishauri vzr.
Nilitaka nikushauri hata ununue kitu nje ulipe kwa card yako lakini nikaona ni prosesi sana
 
Back
Top Bottom