Wakuu nimepata Tashtwiti kuwauliza jambo hili kuhusu hawa Wachina. I smell something fishy in the future

Wakuu nimepata Tashtwiti kuwauliza jambo hili kuhusu hawa Wachina. I smell something fishy in the future

Wakuu Salaam,

Leo asubuhi nikiwa jijini Dar es Salaam nimepanda gari (daladala) za kutoka Mbagala Charambe kwenda Mbezi Magufuli Bus Stand, ili nichukue Nyehunge ya Kurudi kwangu Nyamisati, na ndipo nikaona kitu cha kunishangaza kidogo, sio sana.

Nilijikuta ndani ya daladala tuliyopanda kwa kugombania na nikiwa nimeshikilia bomba ili nisianguke, huku tumebanana kama nyanya kwenye matenga, na konda akitulazimisha kupeana mgongo, basi jirani na mimi kwa mfumo huo huo wa kushikilia bomba, kulikua na wadada warembo sana, wawili wa kichina. Ni purely Chinese, ila kidogo wanaongea kiswahili. Kilichonishangaza ni namna hao wadada walivyojichanganya nasi kuanzia ndani ya aina hiyo ya usafiri, lugha yetu na hata mavazi walivaa vitenge vya kushona.

Tashtwiti yangu ipo hapo, hivi hamuoni kwamba kwa uwepo wa wachina wengi kiasi hiki Tanzania (Africa) haitasababisha bara letu kua koloni la wachina, kuanzia kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni kwa miaka michache mbele? Zingatia, kuna thread ya mshana hapa alizungumzia ujio wa wachina 300k, pia zingatia wameanza kujichanganya mitaani na vijijini na kuzaana na wabongo...
Je hii sio strategic plan ya hawa jamaa kwa miongo kadhaa mbele wakaja sema bara la africa ndio asili yao?? Je hamuoni kwamba miaka 50+ mbele ukasikia (ukizaliwa upya) Rais wa Malawi ni Xui Cheng Ping au Rais wa Kenya ni Zhengo Dong Feng??? Mara Waziri Mkuu wa Tanganyika miaka hiyo akawa Bing Yen Zhong?


Wakuu hili mnaliona? Au tuachane nayo tu!!!
Kaka una point ya Msingi sana. Wazee wa voice note. Hili nila kureport.
 
Kuna siku nipo chuo natoka venue nikaona mchina kaja kwenye bodaboda, ndani ya tisheti sijui kaficha nini, pamevimba af kashikilia na mkono, kafika eneo la karibu na administration block akapiga picha majengo halafu akageuza,...
Nilikuwa namchora tu nkabaki nashangaa
 
Mkuu nahofia kukujibu nisiharibu uzi..
Hao wachina laki 3 wanakuja kwa mujibu wa chanzo kipi cha taarifa? Kwahiyo mtu akiibuka hapa jukwaani na kusema kuna wahindi milioni 10 wanakuja basi, tayari hiyo ni reference?
 
Wamesha anza kua waswahili kabisa kuna mmoja wiki iliyopita amekamatwa na mamlaka ya maji kwa wizi wa maji
 
Wakuu Salaam,

Leo asubuhi nikiwa jijini Dar es Salaam nimepanda gari (daladala) za kutoka Mbagala Charambe kwenda Mbezi Magufuli Bus Stand, ili nichukue Nyehunge ya Kurudi kwangu Nyamisati, na ndipo nikaona kitu cha kunishangaza kidogo, sio sana.

Nilijikuta ndani ya daladala tuliyopanda kwa kugombania na nikiwa nimeshikilia bomba ili nisianguke, huku tumebanana kama nyanya kwenye matenga, na konda akitulazimisha kupeana mgongo, basi jirani na mimi kwa mfumo huo huo wa kushikilia bomba, kulikua na wadada warembo sana, wawili wa kichina. Ni purely Chinese, ila kidogo wanaongea kiswahili. Kilichonishangaza ni namna hao wadada walivyojichanganya nasi kuanzia ndani ya aina hiyo ya usafiri, lugha yetu na hata mavazi walivaa vitenge vya kushona.

Tashtwiti yangu ipo hapo, hivi hamuoni kwamba kwa uwepo wa wachina wengi kiasi hiki Tanzania (Africa) haitasababisha bara letu kua koloni la wachina, kuanzia kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni kwa miaka michache mbele?

Zingatia, kuna thread ya mshana hapa alizungumzia ujio wa wachina 300k, pia zingatia wameanza kujichanganya mitaani na vijijini na kuzaana na wabongo...

Je hii sio strategic plan ya hawa jamaa kwa miongo kadhaa mbele wakaja sema Bara la Africa ndio asili yao?? Je hamuoni kwamba miaka 50+ mbele ukasikia (ukizaliwa upya) Rais wa Malawi ni Xui Cheng Ping au Rais wa Kenya ni Zhengo Dong Feng? Mara Waziri Mkuu wa Tanganyika miaka hiyo akawa Bing Yen Zhong?


Wakuu hili mnaliona? Au tuachane nayo tu!!!
wewe waswahili wenzako waliojaa huko china wakisemwa hivi utasema mnabaguliwa

wabongo wamejaa china hadi crdb nasikia wameanzisha tawi huko
 
Mwaka 2011 nilipanda Bus kwenda kusini nyanda za juu.
Kama kawaida siti yangu ni mwisho kule nyuma kabisa.A
Aisee waliingia wachina 11+ hivi wanaenda mkoani na walishukia porini kabisa hapo makambako.
Sasa swali, walienda kufata nini kule?
Leo wako wapi?
hao mainjinia wanawatengenezea barabara acha uduanzi wa kiswahili
 
hao mainjinia wanawatengenezea barabara acha uduanzi wa kiswahili
Hakukuwa na barabara inajengwa mahali hapo we kitukuu cha kuku wa kijani.
Na katika wale wachina unawaita wewe maengineer, una safari ndefu sana kuondokana na ubwegibuza+alafu mtu km wewe utakuta unaongoza familia, what a mess!
 
Hakukuwa na barabara inajengwa mahali hapo we kitukuu cha kuku wa kijani.
Na katika wale wachina unawaita wewe maengineer, una safari ndefu sana kuondokana na ubwegibuza+alafu mtu km wewe utakuta unaongoza familia, what a mess!
ulijuaje kuwa hakukuwa na barabara au project inayoendelea hapo ww ni afisa mipang miji eneo hilo???
haya unataka kutuaminisha conspiracy gani sasa kuwa walishuka kwenda wapi??
waswahili bhana
 
Mbona wameshafungua na vituo vyao vya police huku....

1736807664332.png
 
Wakuu Salaam,

Leo asubuhi nikiwa jijini Dar es Salaam nimepanda gari (daladala) za kutoka Mbagala Charambe kwenda Mbezi Magufuli Bus Stand, ili nichukue Nyehunge ya Kurudi kwangu Nyamisati, na ndipo nikaona kitu cha kunishangaza kidogo, sio sana.

Nilijikuta ndani ya daladala tuliyopanda kwa kugombania na nikiwa nimeshikilia bomba ili nisianguke, huku tumebanana kama nyanya kwenye matenga, na konda akitulazimisha kupeana mgongo, basi jirani na mimi kwa mfumo huo huo wa kushikilia bomba, kulikua na wadada warembo sana, wawili wa kichina. Ni purely Chinese, ila kidogo wanaongea kiswahili. Kilichonishangaza ni namna hao wadada walivyojichanganya nasi kuanzia ndani ya aina hiyo ya usafiri, lugha yetu na hata mavazi walivaa vitenge vya kushona.

Tashtwiti yangu ipo hapo, hivi hamuoni kwamba kwa uwepo wa wachina wengi kiasi hiki Tanzania (Africa) haitasababisha bara letu kua koloni la wachina, kuanzia kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni kwa miaka michache mbele?

Zingatia, kuna thread ya mshana hapa alizungumzia ujio wa wachina 300k, pia zingatia wameanza kujichanganya mitaani na vijijini na kuzaana na wabongo...

Je hii sio strategic plan ya hawa jamaa kwa miongo kadhaa mbele wakaja sema Bara la Africa ndio asili yao?? Je hamuoni kwamba miaka 50+ mbele ukasikia (ukizaliwa upya) Rais wa Malawi ni Xui Cheng Ping au Rais wa Kenya ni Zhengo Dong Feng? Mara Waziri Mkuu wa Tanganyika miaka hiyo akawa Bing Yen Zhong?


Wakuu hili mnaliona? Au tuachane nayo tu!!!
Mbona poa sana na mimi ninakamata mmoja nizalishe watoto wa kustaafia.....
 
Bora waje tuendelee china miaka 1950/60 ilikuwa sawa na nchi nyingi mno za kiafrika Sasa sie tuko pale pale ,cheki saizi ipo juu kisa cha weupe.
Cheki mwigulu hana namna ya kutafuta mapato Bali anakamua wanachi kwa tozo. Bora angepambana tukalima tukafuga kisasa ili tufanye exportation hata tunapata za kigeni. Yaani afrika acha kabisa naona Bora tuzaliane.tupoteze I'd ya black Kama walivyofanya huko Argentina
Nzega wakati twajenga lami kuna jamaa alikuwa anaitwa Roma....alikuwa ana binti wa kichina.....na jamaa alikuwa ndiye mfasiri wa lugha....
Haya mambo si mapya...kamata mchina oa zalisha fungua mlango na fursa ya kwenda uchina...dunia kwa sasa haina mipaka...
 
ulijuaje kuwa hakukuwa na barabara au project inayoendelea hapo ww ni afisa mipang miji eneo hilo???
haya unataka kutuaminisha conspiracy gani sasa kuwa walishuka kwenda wapi??
waswahili bhana
Mkuu uwe na akili kidogo na utoe ujinga wako kichwani. Ni miaka 13 iliyopita hakukua na project yoyote kule pori waliposhukia.kulikua na mlima mkubwa sana mbele ndio walizama huko.labda useme kuna madini walifwata huko ndani.
Sasa uswahili hapo unakujaje, Sisi kuhoji kwamba hawa watu wapo miaka na miaka tena ndani vijijini huko ndio uswahili?
Mbona unaonekana una akili huku umejaza maboga tu kichwani wewe.
 
Ukitaka utoboe vizuri kuwa kama wao, hili wazungu washafanya sana tu. Wanauenzi ule msemo wa kuwa ukiwa Roma ishi kama mroma.
 
Back
Top Bottom