Wakuu nimepata Tashtwiti kuwauliza jambo hili kuhusu hawa Wachina. I smell something fishy in the future

Wakuu nimepata Tashtwiti kuwauliza jambo hili kuhusu hawa Wachina. I smell something fishy in the future

Hili taifa la Tanzania limebarikiwa kuwa na watu wajinga sana

Hivi katika mataifa yenye wawekezaji wengi wa Kichina mnafikiri Tz hata kwenye top 20 ipo?

Niwape mifano michache
  • Nendeni Marekani muone jinsi Wachina wanamiliki ardhi na biashara​
  • Then nendeni Australia muone jinsi Wachina wanamiliki biashara na migodi.​
  • Greenland kisiwa ambacho Trump anakiwania kwa sasa hapo 12.5% ya total mining inamilikiwa na Wachina​
  • Nendeni nchi za ASEAN muone Wachina walivyo wengi kama wawekezaji​

Na huatasikia watu wa mataifa hayo wakiwa na midomo kama masikini wa Tanzania.

Pigeni kazi nafasi hata China zipo za kupiga hela, mbona kuna mbongo ana kampuni ya kusafirisha bidhaa na mgahawa mkubwa tu jijini Tianjin China na kawaajiri hadi Wachina

Tatizo kubwa la Watanzania tumekosa exposure kwenye masuala ya globalization

Acheni akili za kimasikini, umasikini, uvivu, majungu na uchawi ni kitu kimoja
 
Hakuna nchi imeendelea kwa kutegemea foreign investors (Rostam Aziz alitoa darasa pana tu juzi juzi hapa). Pia hii imenifanya kurejea na kuangalia benefits zipi kama Taifa tumezipata kwa kuingia kandarasi na makampuni ya kigeni katika madini (mfano wa foreign invetment nchini), to my surprise yote yanayotajwa hayana practical advantage kwetu raia, ni kama wakoloni kujinadi kutufanyia wema kupitia ukoloni kwa kutujengea miundo mbinu ya barabara na reli, vitu ambavyo kimsingi walivijenga ili kuwepesisha kazi zao za unyonyaji kwetu.

Sasa hawa mabwana (wachina) ni mpaka uwe umefanya nao kazi ndo utawajua vizuri, ni wababaifu kwa kiwango cha juu sana, mfano wa hayo ni haya: -
  • Si wa kweli katika dealings zao (they are always very tricky in their dealings)
  • Wanapenda shortcuts (wababaifu katika kodi na malipo mengine kwa Serikali)
  • Hawaheshimu sheria za kazi na hawana work-family balance nzuri kwa wafanyakazi wao
  • Hawatoi nafasi muhimu kwenye makampuni yao kwa wazawa (kama wewe sio mchina utakuwa ni mgonga nyundo tu)
  • They believe and practically implement the cheap labour ideology kuliko watu wengine wowote
Umeiweka vizuri sana. Na ndo maana nikasema kama tunaweza kuwafanya waka'abide na rule of laws zote. Wakawa wanalipa kodi vizuri na kujali jamii yetu basi hakika in near future no wonder tukawa the richest country in Africa
 
Tatizo kubwa la Watanzania tumekosa exposure kwenye masuala ya globalization

Acheni akili za kimasikini, umasikini, uvivu, majungu na uchawi ni kitu kimoj
NAKAZIA

Linapokuja suala la exposure hapa ndipo Wanigeria na Wakenya huwa wanatuona washamba

Watanzania ni wavivu sana wa kutafuta fursa nje ya Tanzania ndio maana wanawashangaa Wachina, Wakenya, Wanigeria n.k wakija bongo
 
Hili taifa la Tanzania limebarikiwa kuwa na watu wajinga sana

Hivi katika mataifa yenye wawekezaji wengi wa Kichina mnafikiri Tz hata kwenye top 20 ipo?

Niwape mifano michache
  • Nendeni Marekani muone jinsi Wachina wanamiliki ardhi na biashara​
  • Then nendeni Australia muone jinsi Wachina wanamiliki biashara na migodi.​
  • Greenland kisiwa ambacho Trunp anakiwania kwa sasa hapo 12.5% ya total mining inamilikiwa na Wachina​
  • Nendeni nchi za ASEAN muone Wachina walivyo wengi kama wawekezaji​

Na huatasikia watu wa mataifa hayo wakiwa na midomo kama masikini wa Tanzania.

Pigeni kazi nafasi hata China zipo za kupiga hela, mbona kuna mbongo ana kampuni ya kusafirisha bidhaa na mgahawa mkubwa tu jijini Tianjin China na kawaajiri hadi Wachina

Tatizo kubwa la Watanzania tumekosa exposure kwenye masuala ya globalization

Acheni akili za kimasikini, umasikini, uvivu, majungu na uchawi ni kitu kimoja
Mheshimiwa Rais, with due respect na umaskini wetu...

Kumbuka hapa hatuzungumziii mtu nmoja mmoja tunazungumzia jamii nzima ya watanzania. Je unadhani comparison zako za nchi zingine na uwepo wa idadi kubwa ya hawa jamaa ina'apply kwetu??? Huoni utafauti wetu mkubwa na hizo nchi kuanzia uzalendo, elimu, exposure, mitaji, technicalities na hata tu maisha ya kawaida?? Huoni kuna umuhimu mkubwa wa watu wetu kuandaliwa kielimu, kimbinu na kisaikolojia li kushindana na hao jamaa hapa ndani? Au unaona kila kitu kipo sawa.

NB: Sio bandiko la unyanyapaa wa namna yoyote bali lengo na nia ni kuwaandaa wengine kwenye dunia ya ushindanj
 
Wakuu Salaam,

Leo asubuhi nikiwa jijini Dar es Salaam nimepanda gari (daladala) za kutoka Mbagala Charambe kwenda Mbezi Magufuli Bus Stand, ili nichukue Nyehunge ya Kurudi kwangu Nyamisati, na ndipo nikaona kitu cha kunishangaza kidogo, sio sana.

Nilijikuta ndani ya daladala tuliyopanda kwa kugombania na nikiwa nimeshikilia bomba ili nisianguke, huku tumebanana kama nyanya kwenye matenga, na konda akitulazimisha kupeana mgongo, basi jirani na mimi kwa mfumo huo huo wa kushikilia bomba, kulikua na wadada warembo sana, wawili wa kichina. Ni purely Chinese, ila kidogo wanaongea kiswahili. Kilichonishangaza ni namna hao wadada walivyojichanganya nasi kuanzia ndani ya aina hiyo ya usafiri, lugha yetu na hata mavazi walivaa vitenge vya kushona.

Tashtwiti yangu ipo hapo, hivi hamuoni kwamba kwa uwepo wa wachina wengi kiasi hiki Tanzania (Africa) haitasababisha bara letu kua koloni la wachina, kuanzia kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni kwa miaka michache mbele?

Zingatia, kuna thread ya mshana hapa alizungumzia ujio wa wachina 300k, pia zingatia wameanza kujichanganya mitaani na vijijini na kuzaana na wabongo...

Je hii sio strategic plan ya hawa jamaa kwa miongo kadhaa mbele wakaja sema Bara la Africa ndio asili yao?? Je hamuoni kwamba miaka 50+ mbele ukasikia (ukizaliwa upya) Rais wa Malawi ni Xui Cheng Ping au Rais wa Kenya ni Zhengo Dong Feng? Mara Waziri Mkuu wa Tanganyika miaka hiyo akawa Bing Yen Zhong?


Wakuu hili mnaliona? Au tuachane nayo tu!!!
Tukuyu wako wakina Andambwile Mwakikato ila wana muonekano wa wachina. Kuna dada mmoja nilikuwa namuona Mbeya mjini halfcast wa kichina alikuwa mzuri sana. Sasa hivi sijui kahamia wapi.

Mataifa mengi wanatengeneza fursa kwa vizazi vyao vijavyo kama wanavyofanya wamarekani. Afande Paulo ana raia wake nchini wanafanya kazi kwenye taasisi za serikali nchini. Nimesoma na jamaa mmoja sekondari na wengine wawili A-level na chuo wote wanafanyakazi nchini na ni wazawa ila moyo wao uko nchini Israel ya Africa Mashariki wanakopatikana wadada warembo sana.
 
Mheshimiwa Rais, with due respect na umaskini wetu...

Kumbuka hapa hatuzungumziii mtu nmoja mmoja tunazungumzia jamii nzima ya watanzania. Je unadhani comparison zako za nchi zingine na uwepo wa idadi kubwa ya hawa jamaa ina'apply kwetu??? Huoni utafauti wetu mkubwa na hizo nchi kuanzia uzalendo, elimu, exposure, mitaji, technicalities na hata tu maisha ya kawaida?? Huoni kuna umuhimu mkubwa wa watu wetu kuandaliwa kielimu, kimbinu na kisaikolojia li kushindana na hao jamaa hapa ndani? Au unaona kila kitu kipo sawa.

NB: Sio bandiko la unyanyapaa wa namna yoyote bali lengo na nia ni kuwaandaa wengine kwenye dunia ya ushindanj
Hayo mataifa hawakuwaandaa watu wao kwa ujio wa Wachina
 
Tatizo waafrika tuna ubaguzi sana ila tunaowabagua wametushinda kila kitu hivyo tumebaki na unafiki
Point, sisi ngozi nyeusi ndiyo tunaongoza kwa ubaguzi duniani lakini goodness hali halisi on the ground sisi ndiyo masikini kuliko races zote duniani. Just imagine maoni ya wananzengo ilhali nchi yao ina-survive kwa mikopo na misaada mingine inatoka huko China wanaochukia uwepo wa raia wao TZ bila kujali kama wako kihalali au la, Waswahili wamejazana China na madada poa wauza mbunye wa Kibongo wako kibao huko lakini wanacholalamikia ni Wachina walioko TZ.
Tungeendele kabla ya races nyingine, tukaenda 'kuwavumbua' na kuwatawala seriously 'wangelima kwa kutumia meno' na wasingepata uhuru kamwe. Wangeuawa,kubakwa na kulawitiwa mpaka wangekoma. Wabantu wana roho chafu na nyeusi kwa kiwango cha kutisha.
 
Wakuu Salaam,

Leo asubuhi nikiwa jijini Dar es Salaam nimepanda gari (daladala) za kutoka Mbagala Charambe kwenda Mbezi Magufuli Bus Stand, ili nichukue Nyehunge ya Kurudi kwangu Nyamisati, na ndipo nikaona kitu cha kunishangaza kidogo, sio sana.

Nilijikuta ndani ya daladala tuliyopanda kwa kugombania na nikiwa nimeshikilia bomba ili nisianguke, huku tumebanana kama nyanya kwenye matenga, na konda akitulazimisha kupeana mgongo, basi jirani na mimi kwa mfumo huo huo wa kushikilia bomba, kulikua na wadada warembo sana, wawili wa kichina. Ni purely Chinese, ila kidogo wanaongea kiswahili. Kilichonishangaza ni namna hao wadada walivyojichanganya nasi kuanzia ndani ya aina hiyo ya usafiri, lugha yetu na hata mavazi walivaa vitenge vya kushona.

Tashtwiti yangu ipo hapo, hivi hamuoni kwamba kwa uwepo wa wachina wengi kiasi hiki Tanzania (Africa) haitasababisha bara letu kua koloni la wachina, kuanzia kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni kwa miaka michache mbele?

Zingatia, kuna thread ya mshana hapa alizungumzia ujio wa wachina 300k, pia zingatia wameanza kujichanganya mitaani na vijijini na kuzaana na wabongo...

Je hii sio strategic plan ya hawa jamaa kwa miongo kadhaa mbele wakaja sema Bara la Africa ndio asili yao?? Je hamuoni kwamba miaka 50+ mbele ukasikia (ukizaliwa upya) Rais wa Malawi ni Xui Cheng Ping au Rais wa Kenya ni Zhengo Dong Feng? Mara Waziri Mkuu wa Tanganyika miaka hiyo akawa Bing Yen Zhong?


Wakuu hili mnaliona? Au tuachane nayo tu!!!
Sio Kila mchina umuonae ni mchina halisi kutoka China, wapo Dada zetu wengi sana walizalishwa na wachina na kutelekezwa
 
Hakuna nchi imeendelea kwa kutegemea foreign investors (Rostam Aziz alitoa darasa pana tu juzi juzi hapa). Pia hii imenifanya kurejea na kuangalia benefits zipi kama Taifa tumezipata kwa kuingia kandarasi na makampuni ya kigeni katika madini (mfano wa foreign invetment nchini), to my surprise yote yanayotajwa hayana practical advantage kwetu raia, ni kama wakoloni kujinadi kutufanyia wema kupitia ukoloni kwa kutujengea miundo mbinu ya barabara na reli, vitu ambavyo kimsingi walivijenga ili kuwepesisha kazi zao za unyonyaji kwetu.

Sasa hawa mabwana (wachina) ni mpaka uwe umefanya nao kazi ndo utawajua vizuri, ni wababaifu kwa kiwango cha juu sana, mfano wa hayo ni haya: -
  • Si wa kweli katika dealings zao (they are always very tricky in their dealings)
  • Wanapenda shortcuts (wababaifu katika kodi na malipo mengine kwa Serikali)
  • Hawaheshimu sheria za kazi na hawana work-family balance nzuri kwa wafanyakazi wao
  • Hawatoi nafasi muhimu kwenye makampuni yao kwa wazawa (kama wewe sio mchina utakuwa ni mgonga nyundo tu)
  • They believe and practically implement the cheap labour ideology kuliko watu wengine wowote
baba-mwajuma Xi Jinping hizi tuhuma juu ya wachina ni za kweli??
 
Wakuu Salaam,

Leo asubuhi nikiwa jijini Dar es Salaam nimepanda gari (daladala) za kutoka Mbagala Charambe kwenda Mbezi Magufuli Bus Stand, ili nichukue Nyehunge ya Kurudi kwangu Nyamisati, na ndipo nikaona kitu cha kunishangaza kidogo, sio sana.

Nilijikuta ndani ya daladala tuliyopanda kwa kugombania na nikiwa nimeshikilia bomba ili nisianguke, huku tumebanana kama nyanya kwenye matenga, na konda akitulazimisha kupeana mgongo, basi jirani na mimi kwa mfumo huo huo wa kushikilia bomba, kulikua na wadada warembo sana, wawili wa kichina. Ni purely Chinese, ila kidogo wanaongea kiswahili. Kilichonishangaza ni namna hao wadada walivyojichanganya nasi kuanzia ndani ya aina hiyo ya usafiri, lugha yetu na hata mavazi walivaa vitenge vya kushona.

Tashtwiti yangu ipo hapo, hivi hamuoni kwamba kwa uwepo wa wachina wengi kiasi hiki Tanzania (Africa) haitasababisha bara letu kua koloni la wachina, kuanzia kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni kwa miaka michache mbele?

Zingatia, kuna thread ya mshana hapa alizungumzia ujio wa wachina 300k, pia zingatia wameanza kujichanganya mitaani na vijijini na kuzaana na wabongo...

Je hii sio strategic plan ya hawa jamaa kwa miongo kadhaa mbele wakaja sema Bara la Africa ndio asili yao?? Je hamuoni kwamba miaka 50+ mbele ukasikia (ukizaliwa upya) Rais wa Malawi ni Xui Cheng Ping au Rais wa Kenya ni Zhengo Dong Feng? Mara Waziri Mkuu wa Tanganyika miaka hiyo akawa Bing Yen Zhong?


Wakuu hili mnaliona? Au tuachane nayo tu!!!
Hao ni kazi ya dada zako kutembeza mbususu kisha kuzalishwa na Wachina
 
Duuuh hatari sana hii... Ila labda ndio uwekezaji...

Shida ya wachina ni wajanja wajanja sana kwenye kulipa kodi. Laiti kama wangekua wanalipa kodi stahiki kwa wakati bila janja janja ya kushirikiana na watu wetu, hakika kwa uwekezaji wao tungekua tumenufaika sana. Sema ndo hivyo tu, tumuachie Mungu!!
Wewe umakatazwa kuwa mjanja? Si umechagua mwenyewe kuwa Zuzu au? 😆😆
 
Kuana jarida linatembea kwa kasi sana wachina wanasema wao asili yao ni Afrika na DNA inathibitisha hilo.

Kuna mdau alipost humu.
Kwa ambae haamini basi asome vitabu vifuatavyo

1. The Seven Daughters of Even - Bryan Sykes
2. Guns, Germs and Steel - Jared Diamond
3. The Journey of Man - Spencer Wells.

Hivi vitabu nimevisoma ni mda kidogo. Vina chambua origin ya binadamu kwa ushahidi wa ki DNA, Anthropology, circumtances n.k.

Kwasasa kitabu ambacho nimebaki nacho kwenye collection yangu kati ya hivyo ni hiki
1000002789.jpg
 
Wachina wengi Tanzania ni KIASI gani?
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Nichangie hivi.
Warabu walikuja
Wahindi wakaja
Wazungu wakaja.
Hao wote hawajaifanya Africa iwe ya weupe.
South Africa ndio ingekuwa ya kwanza kuwa ya wazungu lakini wazungu ni 10%.
Wachina nao wana haki, tatizo wanakuja kipindi Waafrika hawawaamini sana watu weupe.
Ujio wa Wachina ni kutokana na udhaifu wa mwafrika mwenyewe. udhaifu wa miaka 500 iliopita uliopelekea tukawa watumwa indio ule ule wa sasa.
Viongozi wana amini sana kukopwa pesa na watu weupe hivyo hupewa masharti ya kuruhusu hao weupe waje watakavyo.
Wachina ni jamiii iliochelewa kutoka nje ya China kulinganisha na warabu wahindi na wazungu, hivyo ni muda wao kutoka, na wanaenda kona zote za DUNIA sio Tanzania tu.
Jambo lingine ni sisi wenyewe raia. Yaani mchina akajilengesha kwa mtanzania mara moja anaingia nae kwenye mapenzi, hata warabu walikuja kwa njia hio hio.
Mtu mweusi atatoweka kwa tamaaa zake.
 
Waje tu wazae na wasambaa labda kuna kitu kitatokea.
Warabu,wahindi, wazungu waliozaa na kuhamia Afrika wamebadili nini ?
Maendeleo hayaletwi na rangi bali commitment. Halafu wachina wanaokuja huku ni choka mbaya low iq walioshindwa ku battle in Cina wamekuja huku kwa watu dhaifu.
Hutaona wanasayansi, matajiri kama Jackma bali choka mbaya. Ni kama wale waafrika wanaomigrate to Europe ni IQ ndogo hivyo wazungu hawawataki bali wanawataka wasomi, wanamichezo, wenye vipaji nk.
Hawa wachina wanakuja kuiongezea serikali mziho wa kuwahudumia. Maana hawaji ma madokta walimu nk. Watategemea wahudumiwe hapa hapa. Kwa hio we are looser.
 
Back
Top Bottom