Wakuu nimepata Tashtwiti kuwauliza jambo hili kuhusu hawa Wachina. I smell something fishy in the future

Wakuu nimepata Tashtwiti kuwauliza jambo hili kuhusu hawa Wachina. I smell something fishy in the future

Duuuh hatari sana hii... Ila labda ndio uwekezaji...

Shida ya wachina ni wajanja wajanja sana kwenye kulipa kodi. Laiti kama wangekua wanalipa kodi stahiki kwa wakati bila janja janja ya kushirikiana na watu wetu, hakika kwa uwekezaji wao tungekua tumenufaika sana. Sema ndo hivyo tu, tumuachie Mungu!!
kabsa Kuna casino kule posta mabauncer na wafanyakazi wote kwa ujumla mshahara hawalipwi kupitia bank wanalipa mkononi sasa huu si ukwepaji wa Kodi??? wàchina hawafai
 
Wakuu Salaam,

Leo asubuhi nikiwa jijini Dar es Salaam nimepanda gari (daladala) za kutoka Mbagala Charambe kwenda Mbezi Magufuli Bus Stand, ili nichukue Nyehunge ya Kurudi kwangu Nyamisati, na ndipo nikaona kitu cha kunishangaza kidogo, sio sana.

Nilijikuta ndani ya daladala tuliyopanda kwa kugombania na nikiwa nimeshikilia bomba ili nisianguke, huku tumebanana kama nyanya kwenye matenga, na konda akitulazimisha kupeana mgongo, basi jirani na mimi kwa mfumo huo huo wa kushikilia bomba, kulikua na wadada warembo sana, wawili wa kichina. Ni purely Chinese, ila kidogo wanaongea kiswahili. Kilichonishangaza ni namna hao wadada walivyojichanganya nasi kuanzia ndani ya aina hiyo ya usafiri, lugha yetu na hata mavazi walivaa vitenge vya kushona.

Tashtwiti yangu ipo hapo, hivi hamuoni kwamba kwa uwepo wa wachina wengi kiasi hiki Tanzania (Africa) haitasababisha bara letu kua koloni la wachina, kuanzia kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni kwa miaka michache mbele?

Zingatia, kuna thread ya mshana hapa alizungumzia ujio wa wachina 300k, pia zingatia wameanza kujichanganya mitaani na vijijini na kuzaana na wabongo...

Je hii sio strategic plan ya hawa jamaa kwa miongo kadhaa mbele wakaja sema Bara la Africa ndio asili yao?? Je hamuoni kwamba miaka 50+ mbele ukasikia (ukizaliwa upya) Rais wa Malawi ni Xui Cheng Ping au Rais wa Kenya ni Zhengo Dong Feng? Mara Waziri Mkuu wa Tanganyika miaka hiyo akawa Bing Yen Zhong?


Wakuu hili mnaliona? Au tuachane nayo tu!!!
Ila kupanda daladala la Mbagala Charambe uende Magufuli Stendi upande Nyehunge halafu uende hapo Nyamisati pwani kivuko cha Mafia ni bonge la kamba.
 
Akisema Trump marekani imejaa wahamiaji, mnasema ni mbaguzi wa rangi. Haya sasa wewe tukuiteje?
 
Kama mnachangamana nao na hawana hila dhidi yenu shida iko wapi? Chukulia mfano wa Moise Katumbi wa DRC. Suppose anakuwa Rais wa DRC na anaisaidia sana DRC kuliko Rais yeyote wa DRC tangia ipate Uhuru. Shida nini? Rangi?
 
Ila kupanda daladala la Mbagala Charambe uende Magufuli Stendi upande Nyehunge halafu uende hapo Nyamisati pwani kivuko cha Mafia ni bonge la kamba.
Tanzania kubwa Mkuu, sio kila Magomeni ipo Dar. Hadi Zanzibar ipo...
 
Mkuu uwe na akili kidogo na utoe ujinga wako kichwani. Ni miaka 13 iliyopita hakukua na project yoyote kule pori waliposhukia.kulikua na mlima mkubwa sana mbele ndio walizama huko.labda useme kuna madini walifwata huko ndani.
Sasa uswahili hapo unakujaje, Sisi kuhoji kwamba hawa watu wapo miaka na miaka tena ndani vijijini huko ndio uswahili?
Mbona unaonekana una akili huku umejaza maboga tu kichwani wewe.
uswahili unakuja pale unapodhani kwenye nchi ya kijamaa kama Tanzania mtu akija anakuja kukuibia wakati kuna mamiradi kibao ya serikali ambayo wewe unayajua na ambayo huyajui yanaendelea

mtu kuja kwenye nchi yako siyo dhambi ilimradi sheria za nchi hazijavunjwa
 
Kwao ni wengi na wamebanana mno! Kwa nini wasije huku Bongo lala kutafuta fursa za maisha?
Tuwapokee! Hao ni Wakoloni wapya! Ndiyo maana watoto wetu wameanza kufundishwa Kichina mashuleni.
 
uswahili unakuja pale unapodhani kwenye nchi ya kijamaa kama Tanzania mtu akija anakuja kukuibia wakati kuna mamiradi kibao ya serikali ambayo wewe unayajua na ambayo huyajui yanaendelea

mtu kuja kwenye nchi yako siyo dhambi ilimradi sheria za nchi hazijavunjwa
Hayo mengine siwezi kujua kwani niliendelea na safari yangu.
Kuweka mashaka ni mwanzo wa kujua kinachoendelea.
Huko kwao hamuwezi kuingia zaidi ya watu 10+na uelekeo wenu mmoja watu lazima wahoji.
Km hilo kwako ni sawa potezea, imni yangu inaniambia hawakua pale kwa nia nzuri.
Huamini Acha si lazima.
 
Wakuu Salaam,

Leo asubuhi nikiwa jijini Dar es Salaam nimepanda gari (daladala) za kutoka Mbagala Charambe kwenda Mbezi Magufuli Bus Stand, ili nichukue Nyehunge ya Kurudi kwangu Nyamisati, na ndipo nikaona kitu cha kunishangaza kidogo, sio sana.

Nilijikuta ndani ya daladala tuliyopanda kwa kugombania na nikiwa nimeshikilia bomba ili nisianguke, huku tumebanana kama nyanya kwenye matenga, na konda akitulazimisha kupeana mgongo, basi jirani na mimi kwa mfumo huo huo wa kushikilia bomba, kulikua na wadada warembo sana, wawili wa kichina. Ni purely Chinese, ila kidogo wanaongea kiswahili. Kilichonishangaza ni namna hao wadada walivyojichanganya nasi kuanzia ndani ya aina hiyo ya usafiri, lugha yetu na hata mavazi walivaa vitenge vya kushona.

Tashtwiti yangu ipo hapo, hivi hamuoni kwamba kwa uwepo wa wachina wengi kiasi hiki Tanzania (Africa) haitasababisha bara letu kua koloni la wachina, kuanzia kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni kwa miaka michache mbele?

Zingatia, kuna thread ya mshana hapa alizungumzia ujio wa wachina 300k, pia zingatia wameanza kujichanganya mitaani na vijijini na kuzaana na wabongo...

Je hii sio strategic plan ya hawa jamaa kwa miongo kadhaa mbele wakaja sema Bara la Africa ndio asili yao?? Je hamuoni kwamba miaka 50+ mbele ukasikia (ukizaliwa upya) Rais wa Malawi ni Xui Cheng Ping au Rais wa Kenya ni Zhengo Dong Feng? Mara Waziri Mkuu wa Tanganyika miaka hiyo akawa Bing Yen Zhong?


Wakuu hili mnaliona? Au tuachane nayo tu!!!
Wanawapa mimba sana dada zenu huko viwandani na madukani
 
Hayo mengine siwezi kujua kwani niliendelea na safari yangu.
Kuweka mashaka ni mwanzo wa kujua kinachoendelea.
Huko kwao hamuwezi kuingia zaidi ya watu 10+na uelekeo wenu mmoja watu lazima wahoji.
Km hilo kwako ni sawa potezea, imni yangu inaniambia hawakua pale kwa nia nzuri.
Huamini Acha si lazima.
Naona hapa watu wanatoa comparison ambazo wala hazina uhalisia wowote... Kwamba mbona wabongo wamejaa China, USA au nchi nyingine kubwa... Wote walioandika hivi nimewashangaa sehemu kadhaa,

1. Hizo nchi zote kwanza zina idadi kubwa sana ya watu (native/indigenous) except US, kiasi kwamba idadi ya wabongo (wahamiaji) ni sawa na kisoda kwenye pipa la maji, ni wachache kiasi ambacho hawana positive wala negative impact yoyote kwa taifa husika...

2. Hizo nchi zote raia wake wameshaandaliwa miaka dahari kuwa na sense of ownership na uzalendo kwa taarifa lao. So na wewe ukifika lazima utafuata utaratibu wao wa maisha ikiwepo kulipa kodi.

3. Hizo nchi zote wana elimu ya kutosha kiasi kwamba mgeni ukija huwezi kutumia elimu au ujuzi wako kuwa'monopoly in any how. Lazima utajitafuta tu.

4. Hizo nchi zote zina sheria kali ambazo zinatekelezeka kiasi kwamba janja janja ya namna yoyote kwa mgeni ni ngumu. So mgeni akifIka ni more likely kuifaidisha nchi husika kuliko yeye kufaidika as individual.

KWA SABABU CHACHE TAJWA HAPO JUU NA KINYUME CHAKE NDIO NCHI ZETU ZA AFRICA IKIWEMO TANZANIA. HIVYO BASI LAZIMA TUWE MAKINI SANA NA HAWA WAGENI LUKUKI. LAZIMA TUJIANDAE NA KWELI WAWE NA FAIDA KATIKA KUJENGA NCHI YETU.

#Wawekezaji toka nje karibuni mtusaidie kujenga nchi yetu. Win-Win Situation..
 
Back
Top Bottom