HSE Officer
JF-Expert Member
- Apr 10, 2023
- 665
- 892
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Coca, sisi tunawajua wanawake wa class zetu, na ndio tunaowafata. Tatizo ni hao wanawake wa class zetu kujidai matawi wakati sisi tunawaona ni class zetu!
Mfano huyu mwanamke anaejidai anataka iphone 12 wakati nauli ya kwenda kazini hana, kodi ya nyumba hana, huyo ana class gani ya kumshinda mleta mada?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwanaume anapokuhonga 20,000, sio kwamba hana hela nyingine, ni kwamba anakuona wewe ni wa 20,000. Haijalishi wewe unajiona wa class gani [emoji1]
Katupa stori tu na mipango yake, ila tumvumilie kidogo Mkuu.Wazo ulilo nalo ni lipi sasa, au umechanganyikiwa
Kuna mtu ananisemaga nikoment mara moja nitoke sio muda wote niko kwenye uzi huo mmoja 🤣🤣🤣🤣Hebu tulia wewe😂😂
Mwanamke hapewi pesa.Mtu unamuita anarequedt bolt 1500/2000 anataka umlipie
Duh ni hatare
Ila mimi naona mwanamke anaekupenda haombi ela kwani kabla yako alikuwa na wazazi,maisha na mengine yalikua yanaendelea
Kwa mfano kama hapo mtoa mada kasema aliomba elfu 30 ya nauli ina maana asingepeea hiyo 30 asingeenda kazini?
Mama J ni nani??Kausha damu uyo, kimbia🏃🏃
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Hua inafurahisha sana ukikutana nao kipindi icho anakuhadithia kwa uchungu jinsi ambavyo wanaume wamemtenda. Na wewe unajidai kumuonea huruma na kumbembeleza, huku ukiwalaani wanaume waliomuumiza na kumtelekeza. Kumbe na wewe unataka upige ulale mbele kwa speed ya jet [emoji1787][emoji1787]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23] WAZO NI KUMLA MALA YA MWISHO
Baba yake, kaka na dada zake na mshahara wske ndio ulipie kodi siyo boyfriend. Kama wewe unamlipia kodi wa kwako UTAFILISIKA.Sa unataka nani amlipie Kodi mchumba wako?
Wellsaid broUsiruhusu mwanamke ambaye amevumilia umasikini wa baba yake kwa miaka mingi tangu akiwa mdogo mpaka amekua mkubwa aje kukupa presha za kumhudumia while her broke father failed.
Huna akili wewe shenz ebu usinipe tabu ya kumjibu mtu mpumbavu nimechokaaMisso Misondo ushaanza fix 🤣🤣🤣
Ww ungekuwa na jeuri ya kummudu usingeleta uzi wa kushauriwa hapa
Na mbona kazini alienda japo baadae nilimtumia ila hata ahsante akujibuMtu unamuita anarequedt bolt 1500/2000 anataka umlipie
Duh ni hatare
Ila mimi naona mwanamke anaekupenda haombi ela kwani kabla yako alikuwa na wazazi,maisha na mengine yalikua yanaendelea
Kwa mfano kama hapo mtoa mada kasema aliomba elfu 30 ya nauli ina maana asingepeea hiyo 30 asingeenda kazini?
Tuishi nayo hiiMwanamke pekee ambaye una jukumu la kumhudumia ni mkeo mama ya watoto wako, ili kukilinda kizazi chako.
Ila wewe dada una akili sanaMtu unamuita anarequedt bolt 1500/2000 anataka umlipie
Duh ni hatare
Ila mimi naona mwanamke anaekupenda haombi ela kwani kabla yako alikuwa na wazazi,maisha na mengine yalikua yanaendelea
Kwa mfano kama hapo mtoa mada kasema aliomba elfu 30 ya nauli ina maana asingepeea hiyo 30 asingeenda kazini?
Coment makini sana kaka shukran huu ushauri nimeupokea vemaAchana nae, Wala usimfanyie kisasi wewe chakufanya nenda zako dili na mambo yako mengine na siku nyingine ukiwa makini utampata anaekufaa, achana na nae huyu atakupotezea muda wewe mwenyewe unajua jinsi muda ulivyo Mali siku hizi, Kuna mambo mengi ya msingi ya kufikiria.
We mi mwenzio nashangaa siku nzima nimetulia Uzi Mmoja,offozz ndio naenjoy😂😂😂Kuna mtu ananisemaga nikoment mara moja nitoke sio muda wote niko kwenye uzi huo mmoja 🤣🤣🤣🤣
Umepokea wapi wewe,akija akakuchuchum hiyo Kodi utalipa tu😅Coment makini sana kaka shukran huu ushauri nimeupokea vema
🤣🤣Kijukuu Cha Rahabu🤣🤣🤣🤣 Eti nilie kwasababu ya waebrania kweli?? Hao wana wa Israel wanilize mimi mjukuu wa Lilith???