mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Mwanaume kaza utapakatwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha.adriz njoo. Leo Maghayo katoa comment nzuri 😁
Mkuu suicide kujiua inakujaga bila kutarajia wala kupanga.Mkuu sio suicide hapana, nataman nifanye Kila njia niende Africa kusin nikapambane tu. Nataman hata kwenda popote huko Duniani nikapambane
Leo hamna upepo,dish liko uelekeo sahihi...😅😅😅Jikaze mkuu. Laiti ungefahamu matatizo ya wengine wanayopitia ungeshukuru angalau wewe.
Shida inaanzia hapo.Wakuu kaka, dada,mama na baba zangu wa jf nipo kwenye Hali mbaya sana ya mateso ya kimawazo. Nahitaji mtu tu japo wakunielewa. Katika umri wangu huu mdogo naona Kila kitu kinaharibika naona Giza mbele yangu. Ndio na mwamini Mungu naamini katika nguvu zake, lAkin wakuu zangu nikikaa nakutazama uhalisia naona Hali mbaya zaidi.
Naandika haya kwa uchungu Sana na uchungu Sana na sielewi kwann haya, na katu siwalaumu wazazi wangu kwa kuwa maskini.
Nipo critical situation japo nipate mtu wa kunielewa tu.
Inapeleka muda hadi nawaza kufanya maaamuz magumu liwalo na liwe lakin bado natembea lakin kama na furaha lakin moyoni na maumivu mabaya sana.
Nipo chuo hapa jijini mwaka wa tatu (bachelor of education).
EE MUNGU uyakumbuke maisha yangu na wadogo zangu wanao nitazama Mungu unisamehe kama nakosa
Kabisaa leo dishi halijayumba 😁😁😁Leo hamna upepo,dish liko uelekeo sahihi...😅😅😅
Hata mimi nimeshangaa aisee,au ndio ule msemo wa Saa mbovu..... 😀Adriz njoo. Leo Maghayo katoa comment nzuri. Anibilivabo!😁
Acha mambo yako mwamba huenda kakwama kabisa unafanya masihara(famasihara nii🤣)Ukichukua maamuzi magumu Niachie chaji yako ya simu nimekuwahi kbsa
one step to the next!Wakuu kaka, dada,mama na baba zangu wa jf nipo kwenye Hali mbaya sana ya mateso ya kimawazo. Nahitaji mtu tu japo wakunielewa. Katika umri wangu huu mdogo naona Kila kitu kinaharibika naona Giza mbele yangu. Ndio na mwamini Mungu naamini katika nguvu zake, lAkin wakuu zangu nikikaa nakutazama uhalisia naona Hali mbaya zaidi.
Naandika haya kwa uchungu Sana na uchungu Sana na sielewi kwann haya, na katu siwalaumu wazazi wangu kwa kuwa maskini.
Nipo critical situation japo nipate mtu wa kunielewa tu.
Inapeleka muda hadi nawaza kufanya maaamuz magumu liwalo na liwe lakin bado natembea lakin kama na furaha lakin moyoni na maumivu mabaya sana.
Nipo chuo hapa jijini mwaka wa tatu (bachelor of education).
EE MUNGU uyakumbuke maisha yangu na wadogo zangu wanao nitazama Mungu unisamehe kama nakosa
Hii ndo shida ya kuchelewa kwenda kwa pusha. Akili imekaa timamu.Jikaze mkuu. Laiti ungefahamu matatizo ya wengine wanayopitia ungeshukuru angalau wewe.
Shida yako unajitwika matatizo ya Dunia as if ni yako yote.Wakuu kaka, dada,mama na baba zangu wa jf nipo kwenye Hali mbaya sana ya mateso ya kimawazo. Nahitaji mtu tu japo wakunielewa. Katika umri wangu huu mdogo naona Kila kitu kinaharibika naona Giza mbele yangu. Ndio na mwamini Mungu naamini katika nguvu zake, lAkin wakuu zangu nikikaa nakutazama uhalisia naona Hali mbaya zaidi.
Naandika haya kwa uchungu Sana na uchungu Sana na sielewi kwann haya, na katu siwalaumu wazazi wangu kwa kuwa maskini.
Nipo critical situation japo nipate mtu wa kunielewa tu.
Inapeleka muda hadi nawaza kufanya maaamuz magumu liwalo na liwe lakin bado natembea lakin kama na furaha lakin moyoni na maumivu mabaya sana.
Nipo chuo hapa jijini mwaka wa tatu (bachelor of education).
EE MUNGU uyakumbuke maisha yangu na wadogo zangu wanao nitazama Mungu unisamehe kama nakosa