moja mbili tatu
Member
- Mar 27, 2024
- 42
- 179
Wakuu, unaanzaje anzaje kutongoza mishangazi maana mishangazi unapoifata inakuwa seriouz sana, halafu ukienda kichwa kichwa unaweza ukakemewa na mshangazi hadi uone siku yako imeenda vibaya.
Hapa mi namaanisha mishangazi ya kuanzia miaka 45 na kuendelea.
Hapa mi namaanisha mishangazi ya kuanzia miaka 45 na kuendelea.