ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Hao bado ni mabinti wadogo tu, dogo anataka 45+, hao ndio mashangazi kwa umri na mengine🤣Hutaki mishangazi ya 90s?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao bado ni mabinti wadogo tu, dogo anataka 45+, hao ndio mashangazi kwa umri na mengine🤣Hutaki mishangazi ya 90s?
Ya zuwena nini?!! 🤣🤣🤣Hahahah kuna taswira imenijia uliposema hivyo dah😂,,,
Hutaki mishangazi ya 90s?
Hutaki mishangazi
Mishangazi lazima Iwe minene...halafua ina gari ...ili niwe naendesha yani kama ile inaimbaga taarabu...Ni mshangazi mbona.....😹
Simshauriii, mshangazi mwenyewe Una stress za increment.....unaweza kumnasa vibao mtoto wa watu ashindwe kukurudishia🤣🤣🤣Kijana tuma bank acc namba, sina maneno mengi.....
Mshangazi mwenye minyama?Ni mshangazi mbona.....😹
Hahahahaha sio poa, kijana alikaliwa na mashine kama Scania R420 halafu inampelekea moto 😂😂😂 akiwa anasubiria ujira wa Iphone new modelYa zuwena nini?!! 🤣🤣🤣
Nyie siku hizi mna stress za kikokotoooo.....soko lenu limeshuka🤣🤣🤣Ikifika muda wa sisi wajomba, wababa na wazee kuhitajika na mabinti mtushtue mapema ndugu zetu.😅
Ewaaaa si na nyonyo kubwa pia???? Kijana umepata unachotaka......Mishangazi lazima Iwe minene...halafua ina gari ...ili niwe naendesha yani kama ile inaimbaga taarabu...
Binti,habari 😅Fatilieni kwanza kikokotoo kikika sawa mtafikiwa
Soko lao limeathiriwa na Vita ya Urusi na Yukreni🤣🤣🤣Fatilieni kwanza kikokotoo kikika sawa mtafikiwa
Ndio mwasibu yani kama sambusa za buku.....nyama zimejaaMshangazi mwenye minyama?
Marahaba kijanaBinti,habari 😅
Hapana ,huwezi amini sikuhisiki kabisa na hiko kikokotoo ndio maana magonjwa ya ajabu sina kabisaaaaa!Nyie siku hizi mna stress za kikokotoooo.....soko lenu limeshuka🤣🤣🤣
Ushapima presha Kwanza? Manake ufupi jumlisha menopause 🤣🤣🤣🤣ni ntiti🤣Kama mkipata mshangazi mfupi mnipe mimi ndio kazi zangu
Uko vizuri, ngoja waje.Hapana ,huwezi amini sikuhisiki kabisa na hiko kikokotoo ndio maana magonjwa ya ajabu sina kabisaaaaa!
Nashukuru sana maana bado naonekana kijana kumbe? Hakika nitazidisha mazoeziMarahaba kijana
Naaaaaaaam! Binti yangu au wewe mzee mwenzangu?Uko vizuri, ngoja waje.