Wakuu tupeane mbinu za kupata 'mishangazi'

Wakuu tupeane mbinu za kupata 'mishangazi'

Katikati kwenye mapaja ana weusiii umekolea, alafu anna Nadia au rav 4 kipisi au noah. Dogo utaenjoy sana.
Bongo siji kuisahau that time, kijiwe hugoz kino
images (81).jpeg
 
Ninayo mawili hadi saivi hawana baya nawapenda sana wananikubali pi🤐 maswala ya kuombana pesahamna, tukijichimbia mahala tunaenjoy sana mpka watu wanatuonea donge, muda mwingi nikiwa nayo ni point tu zinazungumzwa, pia na pay attention anapozungumza, hayana wivu sana enewei
 
Wakuu,...unaanzaje anzaje kutongoza mishangazi maana mishangazi unapoifata inakuwa seriouz sana..halafu ukienda kichwa kichwa unaweza ukakemewa na mshangazi hadi uone siku yako imeenda vibaya...hapa mi namaanisha mishangazi ya kuanzia miaka 45 na kuendelea
Vaa hereni, funga kilemba kichwani, vaa suruali kama inataka kuanguka alafu tembea muondoko kama una ulemavu wa mguu...😜
 
Wakuu,...unaanzaje anzaje kutongoza mishangazi maana mishangazi unapoifata inakuwa seriouz sana..halafu ukienda kichwa kichwa unaweza ukakemewa na mshangazi hadi uone siku yako imeenda vibaya...hapa mi namaanisha mishangazi ya kuanzia miaka 45 na kuendelea
Uoga wako ndio kufeli kwako. Huo u serious wanaokuonesha, huwa ni defensive mechanism tu. Ukikaza unatoboa.

Kuna mmoja alishawahi kuniambia "Hivi unajua wewe mtoto Mimi ni kama Mama yako, ni vile tu huna adabu"

Lakini fast forward wiki kadhaa mbele kauli zake "Sema nikaeje kijana wangu, Mimi nataka uenjoy"

Nakushauri kaza broh, au jitahidi uingie kwenye group la Whatsapp la wanaokula mashangazi.
 
Ninayo mawili hadi saivi hawana baya nawapenda sana wananikubali pi🤐 maswala ya kuombana pesahamna, tukijichimbia mahala tunaenjoy sana mpka watu wanatuonea donge, muda mwingi nikiwa nayo ni point tu zinazungumzwa, pia na pay attention anapozungumza, hayana wivu sana enewei
Wanakuonea wivu/huruma kisa mshangazi mkuu?
 
Uoga wako ndio kufeli kwako. Huo u serious wanaokuonesha, huwa ni defensive mechanism tu. Ukikaza unatoboa.

Kuna mmoja alishawahi kuniambia "Hivi unajua wewe mtoto Mimi ni kama Mama yako, ni vile tu huna adabu"

Lakini fast forward wiki kadhaa mbele kauli zake "Sema nikaeje kijana wangu, Mimi nataka uenjoy"

Nakushauri kaza broh, au jitahidi uingie kwenye group la Whatsapp la wanaokula mashangazi.
Kijana wa hovyoo..!😂
 
Wakuu,...unaanzaje anzaje kutongoza mishangazi maana mishangazi unapoifata inakuwa seriouz sana..halafu ukienda kichwa kichwa unaweza ukakemewa na mshangazi hadi uone siku yako imeenda vibaya...hapa mi namaanisha mishangazi ya kuanzia miaka 45 na kuendelea
Dogo,
Umefunga PM hao mashangazi watakurushia vipi ndoano, au unawasanifu tu humu?!
 
Back
Top Bottom