Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Kaka yangu nimekumiss.....habari za siku mingi.Ila Mdogo wangu Eve! Hahaaa nafikiria ungekuwa wa kiume duh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka yangu nimekumiss.....habari za siku mingi.Ila Mdogo wangu Eve! Hahaaa nafikiria ungekuwa wa kiume duh
Ushaanza kuuma uma kucha na kuchuma vimajani😂😂😂Hahahah kuna taswira imenijia uliposema hivyo dah😂,,,
Anaonekana kuwa na pupa huyo, hawezi kuwa na kifuaHahaha
Mpe link basi
Poa sana. Utundu utaacha lini? Au mpaka tukupeleke malaloni GamboshiKaka yangu nimekumiss.....habari za siku mingi.
Maisha ndio haya haya 😅Le baby moma 🤣🤣🤣
Huyo sio shangazi, niamini mimi. Shangazi anaweza akakupokonya simu hata week anakaa nayo tu, hataki uwe na mawasiliano na mtu yeyote.Wivu kwa mbali maana akikuta sim inatumika ataanza unaongea na vischana vyako ee bla bla ila anapotezea
kumbe na nyonyo kubwa ni included? hamkusemaaa😀Ewaaaa si na nyonyo kubwa pia???? Kijana umepata unachotaka......
Wajomba tukifikiwa tunaletewa gharama tu, hakuna unafuu wowote kwa hivi vibinti.Ikifika muda wa sisi wajomba, wababa na wazee kuhitajika na mabinti mtushtue mapema ndugu zetu.😅
Sa mshangazi gani jamani tunyonyo kama viskonz......mshangazi nyonyo iwe karibu na kidevukumbe na nyonyo kubwa ni included? hamkusemaaa😀
Omba Namba akisema "nipe ya kwako nitakupigia" ukimtajia na akaiandika kweli kwenye Simu yake na akaisevu imeisha HIO kashakuelewa huyo msubirie akupigie muelekezane machinjioni ukajilie ngozi...hapa mi namaanisha mishangazi ya kuanzia miaka 45 na kuendelea
Mungu akikupa akili tu, mengine unajiongeza kumsaidia.Mh! Sio kila wazo ni wazo la MUNGU.
Watakua washampm mtoa mada kumpa mwongozo 😊
Lakini vinatupatia utamu ambao unaweza kutufanya tuzimie kwenye vifua vyao vilaini vyenye milima inayochoma .Wajomba tukifikiwa tunaletewa gharama tu, hakuna unafuu wowote kwa hivi vibinti.
Unapewa utamu ukija kushtuka kiinua mgongo kwishineyi.Lakini vinatupatia utamu ambao unaweza kutufanya tuzimie kwenye vifua vyao vilaini vyenye milima inayochoma .
Achana na huyo yuko mbali, njoo kwangu mi nko hapa hapa mkoani kwako😁kuja na CV zako PM kijana wangu,,mshangaz npo apa kwajil ako
Achana na huyo yuko mbali, njoo kwangu mi nko hapa hapa mkoani kwako😁
😂😂😂Acha woga,,, hawez kujua mi nina mbinu za kivitaww wa jirani mume wangu atajua kirahisi
acha tu niwe naenda mbali ntakua nadanganya safari ya kikaz😂😂🙌🏾😂😂😂Acha woga,,, hawez kujua mi nina mbinu za kivita
😅😅Poa, ila ukibadili mawazo huko mbeleni usisite kunicheki, nko jrani na hapa TEMESAacha tu niwe naenda mbali ntakua nadanganya safari ya kikaz😂😂🙌🏾