King 999
JF-Expert Member
- Aug 15, 2019
- 5,872
- 8,374
Mgahawaπ³π³
si anasemea ule mgahawa wa mama TEMESA naujua π
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
si anasemea ule mgahawa wa mama TEMESA naujua π
Ukute Lucas anahisi wewe ni mshangazi, hahahaKijana wa hovyoo..!π
Hiyo malezi na utulivu wa akili ndo muhimu haswaa tunahitaji.Kama una hela zipo pisi kali nyingi sana ambazo ni mafundi wa mapenzi na wasafi. Kwa mishangazi watu wanafata maokoto, malezi na peace of mind.
Shida ukishajipata unaona ni lifestyle ya ajabu kweli unaishi, mnaanza kugombana kila siku na lishangazi, mwisho wake unakuwaga mbaya sanaHiyo malezi na utulivu wa akili ndo muhimu haswaa tunahitaji.
Ukishajipata ondoka waingie wengine, ni kama kupanda daraja tu..... usigombane na lishangazi.Shida ukishajipata unaona ni lifestyle ya ajabu kweli unaishi, mnaanza kugombana kila siku na lishangazi, mwisho wake unakuwaga mbaya sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukishajipata ondoka waingie wengine, ni kama kupanda daraja tu.
HaswaaaHaha unaujua?
Kuna watu wahuni ila kwa nje ni wapole utafikiri viongozi wa kidini.Wahuni haijarishi anajificha au namna gani
ndio,wanapka vyakula vya kiitalianoπMgahawaπ³π³
Ya kazi gani mishangazi?Wakuu,...unaanzaje anzaje kutongoza mishangazi maana mishangazi unapoifata inakuwa seriouz sana..halafu ukienda kichwa kichwa unaweza ukakemewa na mshangazi hadi uone siku yako imeenda vibaya...hapa mi namaanisha mishangazi ya kuanzia miaka 45 na kuendelea
Em nipe hiyo Pisi moja nikafe nayo mbele ya safariKama una hela zipo pisi kali nyingi sana ambazo ni mafundi wa mapenzi na wasafi. Kwa mishangazi watu wanafata maokoto, malezi na peace of mind.
Sasa wewe kakijana mishangazi ya nini?Ndiyo maana vichwa vyenu vinapata baridi mnaanza kuweweseka hadharani.Wakuu,...unaanzaje anzaje kutongoza mishangazi maana mishangazi unapoifata inakuwa seriouz sana..halafu ukienda kichwa kichwa unaweza ukakemewa na mshangazi hadi uone siku yako imeenda vibaya...hapa mi namaanisha mishangazi ya kuanzia miaka 45 na kuendelea
πππππππ π π π π π mishangazi ya 80's ndio OG mingi imejipata. Hii ya 90's mingi ina msongo wa mawazo simshauri dogo.
Khaaa jmn...π π π π π π mishangazi ya 80's ndio OG mingi imejipata. Hii ya 90's mingi ina msongo wa mawazo simshauri dogo.
Watoto wadogooooo (kwa sauti ya TId mnyama-Kigogo warioba ) π
Kaveli! Kaveli! Na wewe unataka mshangazi?Shangazi kiziwi, samaleko π
-Kaveli-
Mishangazi ya 85' 86' 87' 88' 89......da nisiendelee ila mpewe maua yenuπ π π π π π mishangazi ya 80's ndio OG mingi imejipata. Hii ya 90's mingi ina msongo wa mawazo simshauri dogo.