moja mbili tatu
Member
- Mar 27, 2024
- 42
- 179
Niko poaHaujambo kijana
Wewe sio shangaziπ tulia nikupasheHaujambo kijana
Nipe mbinu mkuuπππ
ShangaziπHaujambo kijana
Mshangazi.....Shangaziπ
Wa 90 tushakuwa mishangaziπ€£π€£π€£ mi navyojiona mtoto, nadekaaaaπ€£π€£π€£Hutaki mishangazi ya 90s?
Ni mshangazi mbona.....πΉWewe sio shangaziπ tulia nikupashe
π π π π π π mishangazi ya 80's ndio OG mingi imejipata. Hii ya 90's mingi ina msongo wa mawazo simshauri dogo.Hutaki mishangazi ya 90s?
ππππππ aah mi siaminiNi mshangazi mbona.....πΉ
Kijana tuma bank acc namba, sina maneno mengi.....ππππππ aah mi siamini
Mimi namtaka yule FATUMA wa kwenye mtandao wa X!Wakuu,...unaanzaje anzaje kutongoza mishangazi maana mishangazi unapoifata inakuwa seriouz sana..halafu ukienda kichwa kichwa unaweza ukakemewa na mshangazi hadi uone siku yako imeenda vibaya...hapa mi namaanisha mishangazi ya kuanzia miaka 45 na kuendelea
Fatilieni kwanza kikokotoo kikika sawa mtafikiwaIkifika muda wa sisi wajomba, wababa na wazee kuhitajika na mabinti mtushtue mapema ndugu zetu.π
Hahahah kuna taswira imenijia uliposema hivyo dahπ,,,Kijana tuma bank acc namba, sina maneno mengi.....
Hahah! Muda wako umeshapita aisee πWa 90 tushakuwa mishangaziπ€£π€£π€£ mi navyojiona mtoto, nadekaaaaπ€£π€£π€£
Fungua pm yako kijanaNiko poa