Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Ni suala la muda... kila mtu atabeti wakati wake ukifika, hakuna ujanja😏Ona aibu Aposto na Babake wanapambana , we unakata Tamaa.
View attachment 3193153
Kuku broiler anachinjwa leo 😄😄😄😄muue liver,...utakuja kunishukuru hapa,.....😂😂😂😂
umevunja katiba kiongoziHuwezi nirudisha Tena huko boss wng japo siwezi kukuapia ila hapana aisee Ninyi endeleeni tu
Kama ndio hivyo acha hiyo kazi haikufai.Kaka huko kote nilishaoita na nikachapwa sana.. hiyo ni account tu Moja ya petpawa Tena Airtel, sijakuwekea na voda, sijakuwekea betslips za 1xbet,spotpsa, premierbet, na takataka zingine nyingi yani ni kilio
Kuna watu hawabet, hawanywi pombe, sio malaya, hawavuti lkn maisha yao bado ni magumu, kupanga ni kuchagua usikaririHuu uraibu nilidumbukia rasmi mwaka 2016 nikapigwa wee akili ikaja kunikaa sawa mwaka 2021 Niko nyang'anyang'a. Nikasema basi sirudi Tena huko.
Hamna tim ambayo siijui, ligi zote zipo kichwani, option zote zipo kichwani lakini vichapo kwenda mbele...
Nawashangaa sana vijana wanashupaza shingo kwamba betting ni kazi, vijana acheni ujinga huo fanyeni kazi zinazoeleweka hata kama kipato ni kidogo acheni tamaa ya kuwaza vitu vikubwa matokeo yake ndio kama hayo unajikuta hata hicho kidogo ulichonacho unakipoteza.
Tangu nijiingize huko nimepoteza pesa nyingi sana ambapo ningeifanyia kazi ningekuwa mbali sana. Nashukuru ni mwaka sasa sijatia Tena pua huko na matokeo yake nimeyaona ktk uchumi wangu. Vijana chonde chonde acheni kubeti inakufirisi uchumi, akili, hata familia Yako inaitawanya!
View attachment 3193112View attachment 3193113
Nakubaliana na wewe kwa asilimia 100 hivyo basi atakaye sikia na asikieHuu uraibu nilidumbukia rasmi mwaka 2016 nikapigwa wee akili ikaja kunikaa sawa mwaka 2021 Niko nyang'anyang'a. Nikasema basi sirudi Tena huko.
Hamna tim ambayo siijui, ligi zote zipo kichwani, option zote zipo kichwani lakini vichapo kwenda mbele...
Nawashangaa sana vijana wanashupaza shingo kwamba betting ni kazi, vijana acheni ujinga huo fanyeni kazi zinazoeleweka hata kama kipato ni kidogo acheni tamaa ya kuwaza vitu vikubwa matokeo yake ndio kama hayo unajikuta hata hicho kidogo ulichonacho unakipoteza.
Tangu nijiingize huko nimepoteza pesa nyingi sana ambapo ningeifanyia kazi ningekuwa mbali sana. Nashukuru ni mwaka sasa sijatia Tena pua huko na matokeo yake nimeyaona ktk uchumi wangu. Vijana chonde chonde acheni kubeti inakufirisi uchumi, akili, hata familia Yako inaitawanya!
View attachment 3193112View attachment 3193113