Wakuu ukamalia sio kazi, Kila siku nawaambia, acheni kubeti!

Wakuu ukamalia sio kazi, Kila siku nawaambia, acheni kubeti!

Screenshot_20250105-150920_Opera.jpg
Screenshot_20250105-150938_Opera.jpg
Screenshot_20250105-150837_Opera.jpg

Baada ya kusoma nyuzi mbalimbali zinazozungumzia mambo ya biashara na mambo ya dark side,niliamini hata hawa watu wa betting lazima watakuwa kwenye dark side,kwahyo mechi mbali mbali na wewe mwenyewe mkamalia wanawacontrol ndo maana unajikuta wakat mwingine unasuka mkeka tofauti na ulivyokuwa umepanga na una loose
 
😁😁😁😁😁😁 wee khalifa mara ngapi nakwambia hama iyo kampuni ya bet pawa jau
 
Kaka huko kote nilishaoita na nikachapwa sana.. hiyo ni account tu Moja ya petpawa Tena Airtel, sijakuwekea na voda, sijakuwekea betslips za 1xbet,spotpsa, premierbet, na takataka zingine nyingi yani ni kilio
Kama ndio hivyo acha hiyo kazi haikufai.
Hiyo kazi haifanywi hivyo hufanyavyo wewe.
 
Huu uraibu nilidumbukia rasmi mwaka 2016 nikapigwa wee akili ikaja kunikaa sawa mwaka 2021 Niko nyang'anyang'a. Nikasema basi sirudi Tena huko.

Hamna tim ambayo siijui, ligi zote zipo kichwani, option zote zipo kichwani lakini vichapo kwenda mbele...

Nawashangaa sana vijana wanashupaza shingo kwamba betting ni kazi, vijana acheni ujinga huo fanyeni kazi zinazoeleweka hata kama kipato ni kidogo acheni tamaa ya kuwaza vitu vikubwa matokeo yake ndio kama hayo unajikuta hata hicho kidogo ulichonacho unakipoteza.

Tangu nijiingize huko nimepoteza pesa nyingi sana ambapo ningeifanyia kazi ningekuwa mbali sana. Nashukuru ni mwaka sasa sijatia Tena pua huko na matokeo yake nimeyaona ktk uchumi wangu. Vijana chonde chonde acheni kubeti inakufirisi uchumi, akili, hata familia Yako inaitawanya!
View attachment 3193112View attachment 3193113
Kuna watu hawabet, hawanywi pombe, sio malaya, hawavuti lkn maisha yao bado ni magumu, kupanga ni kuchagua usikariri
 
Huu uraibu nilidumbukia rasmi mwaka 2016 nikapigwa wee akili ikaja kunikaa sawa mwaka 2021 Niko nyang'anyang'a. Nikasema basi sirudi Tena huko.

Hamna tim ambayo siijui, ligi zote zipo kichwani, option zote zipo kichwani lakini vichapo kwenda mbele...

Nawashangaa sana vijana wanashupaza shingo kwamba betting ni kazi, vijana acheni ujinga huo fanyeni kazi zinazoeleweka hata kama kipato ni kidogo acheni tamaa ya kuwaza vitu vikubwa matokeo yake ndio kama hayo unajikuta hata hicho kidogo ulichonacho unakipoteza.

Tangu nijiingize huko nimepoteza pesa nyingi sana ambapo ningeifanyia kazi ningekuwa mbali sana. Nashukuru ni mwaka sasa sijatia Tena pua huko na matokeo yake nimeyaona ktk uchumi wangu. Vijana chonde chonde acheni kubeti inakufirisi uchumi, akili, hata familia Yako inaitawanya!
View attachment 3193112View attachment 3193113
Nakubaliana na wewe kwa asilimia 100 hivyo basi atakaye sikia na asikie
 
Jaribu kucheza aviator mkuu utapiga miela na kuuaga umaskini
 
Back
Top Bottom