Ndio mjipangeHao mbona nimesema hapo kwamba walifanya kosa la kiufundi. Usifanye masikhara pesa kwa mwanaume ni kila kitu. Utatekeleza vipi majukumu yako ya msingi kama kiongozi wa familia bila pesa?
Tena ukiwa mzee pesa ndio muhimu zaidi. Mwanaume haupaswi kuweka rehani kwa watoto wako siku zote hakikisha unapoihudumia familia una-backup financial plan incase mke wako akihamia kwa watoto wake uzeeni.
Utofauti ni mkubwa mno. Mkiwa wawili hadi ufe utakuwa umeshafanyiwa taratibu za matibabu. Mpengine upone. Peke yako unazima tu kama mshumaaUkifa peke yako geto kuna utofauti gan na ambaye hajafa peke ake geto? Wote si mnaenda kuoza au???
Usiforce mfananeWashamba na wanaume wasiojiamini tena ambao pesa hamna kama wewe ndo mnaktaa ndoa.
Ngoja utakuja kuolewa.
Nilivyoona binti kiziwi nikajua Kwisha habariUtaoa tu ndugu muda ukifika, hata kwa kuchelewa utaoa tu.
Wanawake wengi wanaweza kuishi bila kuolewa lakini si kinyume chake.
Mama j unambato daily kwani umemuoaVijana muoe[emoji4]
ExactlyHere you are not being realistic, watz wangapi unaowafahamu kwenye cycle yako waliooa na wasiooa wenye utajiri wa billion 5 tu achana na hizo 8 ulizosema
Hayo ni maneno yako usijumlishe woteUSIPOOA UTAOLEWA [emoji725][emoji845]
Kupanga ni kuchagua
[emoji1787][emoji1787]Duh! Umeandika nini hapa? Wewe utakuwa mwanamke.
Vitu pekee vinavyosimama na mwanaume mpaka kaburini ni Mungu na pesa yake tu. Hivyo vingine havina guarantee. Usije ukafanya kosa la kiufundi kama mwanaume uanze kuwa unasumbua wanao na simu za vizinga ukifika miaka 60.
Dangote,mike adenuga,chief adeleke, prince Ned nwoko(ndoa ya mkataba na wake 6 no assets will be lost in divorce) hao ni Nigeria ambayo ni Africa haya bongo (mondi,Fred vunjabei,Rostam) hio ni bongo haya worldwide (Elon musk,bezos,bill gates,) bado unapinga na wengine shida si famous hata nikikutajia huta wajua #Kaa CHONJO#Maliza kwanza chuo, uje uraiani kupata true taste of life. Mkikaa kwenye hayo ma group yenu ya vijana mnaishia kulishana habari za kufikirika.
Wote mnaopinga kuoa mnatumia mifano ya watu ambao hawapo kwenye jamii inayowazunguka, maana yake mmekosa mifano hai kutoka kwenye your immediate surrounding, sasa sijui hamjagundua kwamba mna tatizo sehemu au mmeamua kujizima data.
Mmmh sijakusikia vizuri eti nininiLakin Ronaldo anaishi na mwanamke na watoto wake tofauti angeishi peke yake tunaozungumzia ni hao ambao hawaoni umuhimu wa kuishi na mwanamke
Wenye hela bongo sio wengi vile
Kwa kweli mimi hapo nimeishavuka maana nimeishaoa na watoto ninaoMiaka kadhaa nyuma niliwahi kuleta uzi hapa ni jinsi gani ndoa ni scam, ni jinsi gani ndoa iko pale kumnufaisha Mwanamke.
Siku za karibuni kumezuka matukio kadhaa ya mauaji ya wanandoa, au wanandoa kujiua sababu kubwa ikiwa mifarakano ya ndani ya ndoa.
Kwa Muktadha huo nazidi kushikilia ule msimamo wangu ya kwamba Maisha ya Mwanaume ili yawe Marefu kwa zama hizi aachana na hizi ndoa. Hutoua/Kuuawa/Kujiua.
Je wale wenzangu Lifetime Bachelors tupeane Mbinu zipi katika maisha yetu ya ubachela?
Uzi tayari!
cc: Liverpool VPN
majukumu ya kulea familia hayaogopwi mkuu, wanawake wa wakati huu na wa zamani tofauti, wasasa wamezidi wana gharama sana, Unakuta mwanamke anataka atoke droo na Mke wa Cristiano wa portugal wakati mumewe ni hohehahe mwisho wa siku mwanaume lazima akimbie majukumu.... Kuliko upigane ukang'ata bora ukimbie, na kama ukiona game huiwezi basi usikunje ngumi, Woga kwa vijana unasababishwa na mabinti wa sasa.Asante familia hutengenezwa tokea kwenye mzizi ukitengeneza familia yako vizuri watoto wako hawatakutupa au mkeo
Vijana siku hizi wanaogopa majukum na kulea familia
Dunia haiko hivo sio kilamtu atakuwa na Hela na tunazitafuta na hata utafute na usilale miak yote Riziki zote ni kudra tu za Allahana hela? ukitaka kuwa lifetime bachelor hakikisha Pesa unazo!
Kwahiyo mwanaume akiwa na mke nakuwa na guarantee ya kuyaepuka yote hayo?Kuna kiburi Cha uhai na kiburi Cha kuwa na afya Ila Mungu alijua wapi atukamatie utaruka ruka wee hujui ni kuanzia miak 27 au 30 au 60 afyayako itakuwa haieleweki na hizo pesa hujui utakuwa umepata au lah
Sijasema mwanamke anazuia hayo ila kunawakat inabidi tusione kupumua ni kitu Cha kutupa kiburi sana au tukajiona magenius sanaKwahiyo mwanaume akiwa na mke nakuwa na guarantee ya kuyaepuka yote hayo?
Yani mke ana play part ipi haswa katika kuyaepusha?
Nmezeeka sitesekisiku mwili ukianza kunyauka kwa sababu ya uzee na huna mke wa kukutegemeza utakumbuka majigambo yako kwa majuto makali sana. waulize waliozeeka bila kuoa wanavyoteseka.
Well saidmajukumu ya kulea familia hayaogopwi mkuu, wanawake wa wakati huu na wa zamani tofauti, wasasa wamezidi wana gharama sana, Unakuta mwanamke anataka atoke droo na Mke wa Cristiano wa portugal wakati mumewe ni hohehahe mwisho wa siku mwanaume lazima akimbie majukumu.... Kuliko upigane ukang'ata bora ukimbie, na kama ukiona game huiwezi basi usikunje ngumi, Woga kwa vijana unasababishwa na mabinti wa sasa.