M2WAWA2
JF-Expert Member
- Aug 15, 2014
- 3,285
- 5,598
Mwanamke yeye hazeeki?siku mwili ukianza kunyauka kwa sababu ya uzee na huna mke wa kukutegemeza utakumbuka majigambo yako kwa majuto makali sana. waulize waliozeeka bila kuoa wanavyoteseka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanamke yeye hazeeki?siku mwili ukianza kunyauka kwa sababu ya uzee na huna mke wa kukutegemeza utakumbuka majigambo yako kwa majuto makali sana. waulize waliozeeka bila kuoa wanavyoteseka.
Jiko la Nini wakati vyakula vya kupikwa vipi vingiOyaaa jiko muhimu wanetu
Sasa sukari na uwepo wa mke unahusiana vipi?mkuu, juzi nimekumbana na mzee mmoja, hana msaada analialia kama mtoto, nilipouliza mama/mzee mwenzake au watoto wake wako wapi, nikaambiwa jamaa alikuwa bitozi enzi zake hakutaka kuoa. sasa hivi uzee umemshukia, sukari imemkaba, macho hayaoni vizuri, majuto aliyo nayo anatamani arudishwe ujana arekebishe alipokosea
Wakikujibu, ni tag
Mkuu Hawa wanawake wasio olewa upweke kwao hauwasumbui?Mkuu hapa duniani hakuna kitu kibaya kama upweke ndio mana mungu hakuwa bwege kumpa Adam mwenza wake ambae ni Eva so uyo mwenye nyumba wako subili maradhi yaanze kumsumbua ndio tutajua hizo pesa zake zitamsaidia au lah
Na hawawezi kusema,Mleta mada wasitkutishe. Watu wameoa still wanatukanwa na wake zao eti "Wee msenge nini"
Yaani mke wako anakutukana wewe ni msenge!!!
Waliooa Wana mazito sana vifuani mwao. Hawana amani ya nafsi 😂
Nakazia hiiMy point is..mtu unaweza usioe na ukaishi fresh tu as long as hadi uzeeni utakuwa na cash flow ya kueleweka..i.e kutokuoa sio kwa kila mtu.
Nakazia. Na kama ukiamua kuoa OA WA wawili au watatu!Miaka kadhaa nyuma niliwahi kuleta uzi hapa ni jinsi gani ndoa ni scam, ni jinsi gani ndoa iko pale kumnufaisha Mwanamke.
Siku za karibuni kumezuka matukio kadhaa ya mauaji ya wanandoa, au wanandoa kujiua sababu kubwa ikiwa mifarakano ya ndani ya ndoa.
Kwa Muktadha huo nazidi kushikilia ule msimamo wangu ya kwamba Maisha ya Mwanaume ili yawe Marefu kwa zama hizi aachana na hizi ndoa. Hutoua/Kuuawa/Kujiua.
Je wale wenzangu Lifetime Bachelors tupeane Mbinu zipi katika maisha yetu ya ubachela?
Uzi tayari!
cc: Liverpool VPN
Hivyo unaoa kwa sbb ya heshima?Mnafurahisha 😂😂😂
Okei unahela yes, una watoto yes hujaoa hatujakataaa and of course kila mtoto na mama yake
Hivi wewe unaleta picha gani kwa wanao? yaani hata watoto wanakuhesabia wewe muhuni tu utawaambia nini 😂😂
Wewe kila mwezi unabadilisha wanawake tu nani atakuheshimu?
Ndoa inaheshimisha acheni kuiga wazungu
Oeni mpate kuheshimiwa na jamii zenu, kutokukuoa na unajigamba u got money unahesabika ka muhuni tu and top cursed.
GoodNinamuona Baba mwenye nyumba wangu ana 50+ hana Ndoa na wala hana huo mpango, ana Mtoto mmoja yupo Marekani,
Anasema shida zake za mwili huzimaliza kwa mwezi mara moja kwa dau la elfu 30 tu hazidishi,
Anajipenda sana, ana ujana mwingi na kwake kapangisha wasela tupu hataki familia,
Nguo anafua kwenye washing machine,
Jioni lazima aende baharini anasema anapata tiba ya akili, "bahari inaongea kama ukisiliza mawimbi vizuri"
Ukimuona ana furaha ila kuna watu wanahisi ni mpweke.
Ni watanzania wangapi ikitangazwa wenye hela wasimame watasimama bwana? Wengi wetu ni waganga njaa tu hatuna pesa za kusimama na kujionyesha. Ndio nikasema, kama umeoa mwanamke mwenye matusi mda wotw analeaje hao watoto wenu?
Jinsi wanavyoitaja taja hiyo pesa kwa manjonjo utafikiri sio hawa hawa wanaolia lia huko mitandaoni kuhusu ukata unavyowakatilia mbali.
Wengi wetu tunaganga njaa maisha yaende, ukifanikiwa sana umejenga kajumba na kagari hapo ndio utasikia anasema "tafuta pesa mkuu", utafikiri yeye anamiliki yatch au ana mijumba kadhaa!!Ndio nilikuwa nawaambia wangapi huzeeka hata na milioni 50 au mia wanajimuambafai eti pesa zao zitawasaia na nurse care
Wanakuwa kama mbwa koko wanao tafuta chakulaHuwa wanakosa matunzo hata madogo madogo kupikiwa ,usafi halaf wanazurura hovyooo
Waambie hao wanadhan kama wazee wa kizungu huwa wana pesa wametunza za uzeen lakin sisi utajiri ni familia na hizo pesa ndogo ndogo za kula,eti wanasema mwanamke anakuja kuchukua mali mali zipi 😂😂😂Wengi wetu tunaganga njaa maisha yaende, ukifanikiwa sana umejenga kajumba na kagari hapo ndio utasikia anasema "tafuta pesa mkuu", utafikiri yeye anamiliki yatch au ana mijumba kadhaa!!
Ndoa na iheshimiwe na watu wote, ndoa imara huleta jamii yenye maadili.
Mtaan kwenu hawapo?😂😂😂 Yaan huwa nawaonea huruma
Kujilinda na UTIPost #266 nimeweka sababu chache ktk nyingi za kuwa na mahusiano ya ndoa ila zaidi kama hukunielewa muulize baba yako atakuwa atakuwa na nafasi nzuri ya kukuelewesha.
NB:ktk maisha humu mitandaoni pita kwa kuchuja sana hoja za watu,mimi nipo Jamiiforums huu mwaka wa 11 wamekuwepo watu wakianzisha mada za kudhihaki vitu serious kama hivi ktk maisha kisha wanarudi humu kuomba ushauri kuhusu yale yale waliyokuwa wanayakataa,ni kusema wengi humu wana-fake life sasa wewe nenda kizembe uwe bwege.
Hao mbona nimesema hapo kwamba walifanya kosa la kiufundi. Usifanye masikhara pesa kwa mwanaume ni kila kitu. Utatekeleza vipi majukumu yako ya msingi kama kiongozi wa familia bila pesa?Mnavyozungumza utafikiri wazee wote huwa wana akiba uzeen