Wale ambao hatuna Mpango wa kuoa tuendelee kupeana Mbinu za Maisha

Wale ambao hatuna Mpango wa kuoa tuendelee kupeana Mbinu za Maisha

Waambie hao kuwa na familia karibu na kuipanda tokea zaman ni muhimu,lakin et unazaa tu watoto huishi nao wanakuwa wanakuona wa kawaida tu ,wazee wengi ambao hawateseki ni wale walolea familia zao na wake zao pamoja hata wakiumwa hutunzwa,huyo nurse atakupa dawa tu na sio kuKusimiamia kama mkeo au mtoto
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sister unaweka point zako kanakwamba wanawake hawaumwi wala kufa na nimalaika duniani. Jitafakari point zako, hazitetei hoja yako ya maisha in reality. Maisha uliyoyaona wewe, kuna watu wameona yaupande wake wa kushoto hivyo acha kutengeneza point kwakumuweka mwanamke lazima yeye ni mwenye nguvu na anayependwa na watoto sana. Tumeshuhudia watoto wanaochukia wamama zao. Hivyo jenga strong point ya reality sio ya Disney World. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bajeti ya kuchakata ni kubwa kwa sababu kila unayemchakata ana gharama zake na hakupi huo utamu bure kama kwenye ndoa unakula muda wowote ukihitaji. Kingine ni uwezokano wa kupata watoto wengi wenye mama tofauti. Labda bachela akae bila kuchakata wala kuwa na mpenzi maisha yake yote
Kwakizazi na jamii ya sasaivi sikweli. Mke au mchumba hudemand vitu vingi sana kuliko gharama ya kiasi fulani kwa wiki mbili au mwezi.
 
Mimi nakwambiaje!!!

Hilo kwa mazingira ya Tanzania haliwezekani na siyo Tanzania tu ila nchi yoyote maskini especially hizi za kwetu za kusagiana kunguni ndiyo hatari zaidi,kwanza elewa kitendo cha wewe kuwa na muda maalum wa kutoka na kuingia malaloni kwako (nyumbani) ni njia moja kubwa ya kujijenga kisaikolojia kwanza kujitunza afya yako ya mwili na akili.

Ukiwa huna control ktk hili (msela) hutaona umuhimu wa kupanga nyumba au kujenga maana unaweza kuingia ofisini na ukaenda kukesha bar nguo ukaacha kwa dobi maisha yakaenda tatizo utakapozeeka au kipato kuyumba kiota chako kitakuwa wapi?

Usije ukaona chizi wazee au wale wanaofia kwenye baraza za nyumba za watu ukadhani wamelogwa hao baadhi huwa walibonyeza skip button za baadhi ya mambo ya msingi kwenye maisha kama haya mnayokataa hapa ikawa janga kwao.
Hii ndio point ya kutetea hoja sasa, sio kusema sijui mwanamke atakufanyia hivi sijui vile. Ndoa zimevunjika nyingi, wanawake wamekimbia familia zao na wanawake wamewageuza watoto wao against baba zao. So never guarantee maisha yako kwa binadamu hasa mwanamke wa kizazi hiki.
 
Unaowa mwingine hata hili hulijui?

Maswali gani haya unauliza?sasa napata picha nabishana na watu wenye upeo gani
Basi hujatimiza lengo halisi lakuoa maana wasema hicho kitu in simple terms. Kama unaoa ili utunzwe, hamna tofauti na anayelipia services ili atunzwe, yaani it's never different. Mke anayekuheshimu ndiyo atakutunza kwasababu anakujali ila simke ilimradi mke. Tulizana na hoja za kitoto. You just exchanged the name nurse to wife. Nothing new!
 
Mnafurahisha [emoji23][emoji23][emoji23]

Okei unahela yes, una watoto yes hujaoa hatujakataaa and of course kila mtoto na mama yake

Hivi wewe unaleta picha gani kwa wanao? yaani hata watoto wanakuhesabia wewe muhuni tu utawaambia nini [emoji23][emoji23]

Wewe kila mwezi unabadilisha wanawake tu nani atakuheshimu?

Ndoa inaheshimisha acheni kuiga wazungu

Oeni mpate kuheshimiwa na jamii zenu, kutokukuoa na unajigamba u got money unahesabika ka muhuni tu and top cursed.
Sista kumbuka mlianza kuwakataa kwanza ndio maana kila mtu akaona apite njia yake. Picha mlilianza kwakuharibu mila za ndoa, sasa mmeenda kwenye njia zenu, kwanini nyie mnawazuia wasiende kwenye njia yao. Kumbuka mambo mengi yanayofanywa na wanawake miaka hii wameiga kwa wazungu na ndio wakaharibu institution ya ndoa sasa kwanini yeye akienda njia yake mwampinga? Hilo swali lazima ujiulize
 
Hii ni sample ndogo sana kuweza ku-justfy issue ya ”umuhimu wa mwanaume kuowa au kutokuowa”.

Kuowa ni kama kutafuta kazi,utapata kazi ina mapungufu kadhaa mwengine anapata kazi inampenda kila siku anapanda vyeo so ni bahati ,siyo sababu kazi siyo nzuri tuseme tusifanye inabidi tu-face realty huo ndiyo uanaume hata baba yako kuishi na mama yako alitumia mbinu hizi hizi.
Hapo chief nakukatalia! Tupo mahospitalini, sio sample ndogo nausije ukawaza hivyo hata kidogo. Kwakizazi hiki mwanaume kuikimbia ndoa sitamzuia kamwe. Tumeona wengi sana, wewe ndio umeona wachache chief. Ulichokiona doesn't mean it's the complete set.
 
So ktk uzee wako yale ilibidi yafanywe kwa dharura ktk mwili wako utataka wakufanyie wajukuu zako?

Na mbona umeshikilia sana issue ya kusafishwa kinyesi (then hii kauli kuchamba acha waitumie dada zako mtoto wa kiume haipendezi) unadhani hakuna nyengine za kufanyiwa na mke?kupikiwa,kufuliwa hizi unaziacha wapi?
Sista hata hizo huduma ulizozitaja wanawake hawazifanyi kwasasa mkiwa ujanani ndani ya ndoa maana kila mmoja huenda kazini. So hakuna jipya hapo chief.
 
Mhubiri 4:9-12
Ni afadhali kuwa wawili kuliko mtu kuwa peke yake.Kwa sababu wawili watapata tuzo la kazi yao. Ikijatokea mmoja akaanguka, Huyo mwenzake atamwinua. Lakini Ole wake aliye peke yake akianguka! Huyo hatakuwa na mtu wa kumwinua!. Hali kadhalika, wawili wakilala pamoja watapata joto, Lakini mtu akiwa peke yake atajipatiaje joto?Mtu akiwa peke yake aweza kushindwa na adui lakini wakiwa wawili watamkabili na kumshinda adui. Kamba tatu zikisokotwa pamoja hazikatiki kwa urahisi.
Kwakutafakari hilo andiko, jewaamini ndoa zasasaivi zimejengwa kwamsingi huo chief?
 
Utaoa tu ndugu muda ukifika, hata kwa kuchelewa utaoa tu.

Wanawake wengi wanaweza kuishi bila kuolewa lakini si kinyume chake.
This part is never true, asipo olewa jua atadanga na atakuwa na many male friends ambao hufikia hatua ya kulala nao ili kutimiza haja zao au vitu mbalimbali.
 
Asante familia hutengenezwa tokea kwenye mzizi ukitengeneza familia yako vizuri watoto wako hawatakutupa au mkeo
Vijana siku hizi wanaogopa majukum na kulea familia
Hapana wanaogopa kwasababu ndani ya ndoa mmejiprioritize nyie kuliko uhai wa familia ikiwemo mume mwenyewe. Mnaona mume ni dispensable product chamuhimu ni wewe na watoto nahasa wewe mwanamke mwenyewe maana sinashida na kuprioritize watoto.
 
Wengi wetu tunaganga njaa maisha yaende, ukifanikiwa sana umejenga kajumba na kagari hapo ndio utasikia anasema "tafuta pesa mkuu", utafikiri yeye anamiliki yatch au ana mijumba kadhaa!!

Ndoa na iheshimiwe na watu wote, ndoa imara huleta jamii yenye maadili.
Mkuu, ndoa inaheshimiwa kwasasa kwauasherati wote unaoendelea, kweli unaamini ndoa inaheshimiwa. Tena mwanamke ndio majukumu yake hayataki kabisa, maana yeye ni mwanaume pia. Usiwalazimishe kuingia kitu ambacho wameona madhara yake kwamacho tena tangu mahusiano.
 
sawa mwaya, merry christmass 😊😍
Sista kumbuka mlianza kuwakataa kwanza ndio maana kila mtu akaona apite njia yake. Picha mlilianza kwakuharibu mila za ndoa, sasa mmeenda kwenye njia zenu, kwanini nyie mnawazuia wasiende kwenye njia yao. Kumbuka mambo mengi yanayofanywa na wanawake miaka hii wameiga kwa wazungu na ndio wakaharibu institution ya ndoa sasa kwanini yeye akienda njia yake mwampinga? Hilo swali lazima ujiulize
 
Mi nimeshuhudia watu wakioa kwasababu ya kusaidiana kimaisha

Inafika hatua mtu anachapika anahisi pengine urahisi ataupata kupitia ndoa

Yani inafika time mchizi life limemchapa watu waliomzunguka unakuta wanampa ushauri...oa msaidiane maisha na mwenzako sometimes wanawake huja na baraka

We hiyo hujawahi kuisikia?

Mi kwangu hiyo ni moja ya uoga wa maisha na kukwepa majukumu.... na inafanyika sana hapa kwetu Tanzania
KUOA HAKUJAWAHI KUPUNGUZA UGUMU WA MAISHA ILA KUNAONGEZA STRESS KWENYE MAISHA ULIYO NAYO...! Ukiwa mwenyewe unaweza kulala njaa ilaa una mtoto ndani na mkee aiseee utajua nini maana ya maishaa.
 
Back
Top Bottom