Sasa hela ziwepo si inatakiwa watoto waziendeleee wakutunze ukizeeka nguvu zinaisha pia unadhan kina Bakhresa wajinga watoto wake kusimamia biasharaMkuu hana hela huyo, Maana yake hajawahi hata Kujenga!
Naam!Kama ni muislam afanye wafahamiane kabisa.mwanaume kamili aoe wake wasio pungua wawili...
Utakuja kufa peke yako gheto.Miaka kadhaa nyuma niliwahi kuleta uzi hapa ni jinsi gani ndoa ni scam, ni jinsi gani ndoa iko pale kumnufaisha Mwanamke.
Siku za karibuni kumezuka matukio kadhaa ya mauaji ya wanandoa, au wanandoa kujiua sababu kubwa ikiwa mifarakano ya ndani ya ndoa.
Kwa Muktadha huo nazidi kushikilia ule msimamo wangu ya kwamba Maisha ya Mwanaume ili yawe Marefu kwa zama hizi aachana na hizi ndoa. Hutoua/Kuuawa/Kujiua.
Je wale wenzangu Lifetime Bachelors tupeane Mbinu zipi katika maisha yetu ya ubachela?
Uzi tayari!
cc: Liverpool VPN
Na vilevile si wa kuwaamini sana.Anaweza kuwa anahamasisha kutooa kumbe yeye yupo na familia yaje kwa utulivuuu.Anatuchora tu.
Huyo ni kupe.Amevuka unyonyaji wa kawaida.Maisha ya wenza hutengenezwa kwa hatua na hazirukwi.Ndiyo maana huwa wanatafuta hela na kuishia kuibiwa au kutapeliwa.Ndiyo adhabu yao hiyo ya kukiuka maumbile asili ya maisha ya kibinadamu.Let them rot and sink in sorrowful ways!😂😂😂😂Kuna mzee huyo anang’ang’ania kuishi kwetu ashazeeka ,nikamuambia mama yangu ashazeeka hawez kukuhudumia kakae kwa watoto ni kama anajifanya hanisikii anasema akija kwa mama anahudumiwa vizuri eti
Ebo ulikuwa wapi kutengeneza mazingira toka zamani uhudumiwe vizuru
Anataka mama amtandikie ,amfulie na mama yangu hawezi ashajichokea akienda kukaa kwa watoto wake eti hawamtunzi vyema 😂😂Huyo ni kupe.Amevuka unyonyaji wa kawaida.Maisha ya wenza hutengenezwa kwa hatua na hazirukwi.Ndiyo maana huwa wanatafuta hela na kuishia kuibiwa au kutapeliwa.Ndiyo adhabu yao hiyo ya kukiuka maumbile asili ya maisha ya kibinadamu.Let them rot and sink in sorrowful ways!😂😂😂😂
Kwahiyo mke hawez kufa wa kwanza? Hawez kuishiwa nguv wa kwanza? Hawez kulemaa wa kwanza?siku mwili ukianza kunyauka kwa sababu ya uzee na huna mke wa kukutegemeza utakumbuka majigambo yako kwa majuto makali sana. waulize waliozeeka bila kuoa wanavyoteseka.
We jamaa kichwa chako kimetulia sana, Safi saana.Kwahiyo mke hawez kufa wa kwanza? Hawez kuishiwa nguv wa kwanza? Hawez kulemaa wa kwanza?
Mleta mada muhim sana uwe na bima za maana utibiwe aghakan.
Mleta mada uwe na makaz rafik usikose wa kukaa nae kati ya ndugu, jamaa na marafiki
Mleta mada wekeza vitega uchumi visivyohitaj ufuatiliaji wa kila siku kama real estate, au hisa. Pesa ikukute kitandan.
Mleta mada jenga mahusino mazuri na watu wote na zaid wa dini yako. Mtu mwema hakosag wa kumsaidia.
Mleta mada kama utafit uko sahihi utakufa miaka 5 haraka kabla ya aliyeoa kama ambavyo aliyeoa mke 1 anakufa haraka kabla ya wa wake wengi.
Mleta mada kuoa wakat mwingine huwa ni involuntary action. Unashtukia uko ndoan. Umeshawekwa kwenye sidiria. Nadhan bado u kijana.
Mleta mada nakuhakikishia UTAOA TU! hata iwe wiki 1.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hategemei kuzeeka msela wetu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na wanawake ambao hawajaolewa?Wanaume ambao hawajaoa huwa wakizeeka wanazurura hao kila nyumba [emoji23][emoji23][emoji23]
Wenyewe hawana shida wanaendaga kukaa kwa watoto wao au watoto wa ndugu zao
Ujue saa zingine hela si kila kitu, haswa kwenye huzuniana hela? ukitaka kuwa lifetime bachelor hakikisha Pesa unazo!
Ndio maana huwa nashauri watu wazae watoto wengiHapo angekuwa na familia hata wajukuu wangemsaidia
Wanawake wazuri ni wengi kuliko wabaya tunao waona au kushuhudiaJapokuwa wanawake siku hizi wengi ni wabinafsi na wanapenda hela ,haimaanishi kwamba ndoa ni scam kwani wapo wachache, wanajua nini maana ya ndoa na wapo tayari kuviishi viapo vya ndoa.
Sisi ngozi nyeusi utasikia Elimu ndo UrithiSasa hela ziwepo si inatakiwa watoto waziendeleee wakutunze ukizeeka nguvu zinaisha pia unadhan kina Bakhresa wajinga watoto wake kusimamia biashara