dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
muhimu pesa mzee, izo zingine porojo, J.Cena, De Caprio hawana mpango wa kuoa wala kua na mtoto, wana pesaSi unazo nguvu za kuoga na kujichambisha ,Ngoja Kuna mda utafika utaelewa tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
muhimu pesa mzee, izo zingine porojo, J.Cena, De Caprio hawana mpango wa kuoa wala kua na mtoto, wana pesaSi unazo nguvu za kuoga na kujichambisha ,Ngoja Kuna mda utafika utaelewa tu.
wengine wanakataliwa na wanawake almost wote wataoaje, wengine wanaleta hizi Uzi kwa sababu ya kukataliwa na kila mwanamke ni matokeo ya kua dissopoint na hili ndo kundi kubwa mda mwingine maisha hayakupi unachotaka, kiasili hakuna mtu ambaye hapendi ndoa Ila circumstances za maisha ndo sababuNone, after a certain age no one should be single.
Civilization is sustained through families and not miserable individuals.
John Cena alishaoa nick bella waliachana kwa vile hataki mtoto yaani John Cena hataki mtoto.muhimu pesa mzee, izo zingine porojo, J.Cena, De Caprio hawana mpango wa kuoa wala kua na mtoto, wana pesa
it's all about money mzee, iyo sijui unaumwa anakusaidia, blah blah ni za kina pangu pakavuJohn Cena alishaoa nick bella waliachana kwa vile hataki mtoto yaani John Cena hataki mtoto.
Mnakuaaje nazo?Kwani usipooa ndo huwez kuwa na familia
Ukiwa na watoto tayari ni familia hio sio lazima kuwa na mkeMnakuaaje nazo?
Wengi wanakuwa wanaishi na mama zao na si baba,halaf watoto wataolewa au wataoa unatakiwa ubaki na mkeo labda bahati mbaya mmoja wao afarikiUkiwa na watoto tayari ni familia hio sio lazima kuwa na mke
Watajutia nini mkuu?Mtazeeka vibaya sana tena kwa majuto,japo sijaoa lakn taoa.
Ko Kwa alieoa matunzo madogo madogo yanakuwepo je huyo anaetoa hayo matunzo basi nae huteseka au sijaelewaHuwa wanakosa matunzo hata madogo madogo kupikiwa ,usafi halaf wanazurura hovyooo
Wabib wakizeeka huendelea na kuweza kupika na kazi zingine ,pia wajukuu wanakuwepo wanasaidia au msichana wa kaziKo Kwa alieoa matunzo madogo madogo yanakuwepo he huyo anaetoa hayo matunzo basi nae huteseka au sijaelewa
Wajukuu na msichana wa kazi unaweza kuwa nao hata usipoowa. Kuhusu kuwa na uwezo wa kupika na kazi zingine nadhani kama bibi anaweza basi Babu nae anaweza vinginevyo ni mtazamo tuWabib wakizeeka huendelea na kuweza kupika na kazi zingine ,pia wajukuu wanakuwepo wanasaidia au msichana wa kazi
Ndio hao huzurura hovyooWajukuu na msichana wa kazi unaweza kuwa nao hata usipoowa. Kuhusu kuwa na uwezo wa kupika na kazi zingine nadhani kama bibi anaweza basi Babu nae anaweza vinginevyo ni mtazamo tu
Mi nakutaka wewe ndo siwezi kukuchokaNdio maana unamtaka Darlin pia huhuuu unadhan wanawake nao hawachoki
UnanidanganyaMi nakutaka wewe ndo siwezi kukuchoka
Kama paka shume sio? 😂Wanaume ambao hawajaoa huwa wakizeeka wanazurura hao kila nyumba [emoji23][emoji23][emoji23]
Sijawahi kukudanganya wala hata kufikiria kukudanganyaUnanidanganya
Kama utaoa kwa uoga wa kuzeeka vibaya, umefeli kabla hata haujaoa.Mtazeeka vibaya sana tena kwa majuto,japo sijaoa lakn taoa.
Ukiachana na hilo ulilosema hapa, japo sikumuona nina uhakika kuwa huyo mzee ni masikini.mkuu, juzi nimekumbana na mzee mmoja, hana msaada analialia kama mtoto, nilipouliza mama/mzee mwenzake au watoto wake wako wapi, nikaambiwa jamaa alikuwa bitozi enzi zake hakutaka kuoa. sasa hivi uzee umemshukia, sukari imemkaba, macho hayaoni vizuri, majuto aliyo nayo anatamani arudishwe ujana arekebishe alipokosea