Wale ambao hatuna Mpango wa kuoa tuendelee kupeana Mbinu za Maisha

Wale ambao hatuna Mpango wa kuoa tuendelee kupeana Mbinu za Maisha

wrong thinking. pesa ni ya maana ujanani tu ukiwa na nguvu za kuitumia. .ukishazeeka pesa is nothing. relationship ndiyo kila kitu hasa with your immediate family members-mke na watoto. waulize wenye pesa na hawana relationship nzuri na wanafamilia wao, watakwambia huzuni waliyonayo
Kikubwa ni kuwa na watoto, huwezi kuwa mwanaume mwenye akili timamu kisha tumaini lako la uzeeni ukaliweka kwa mwanamke.

Hautakuwa mpweke uzeeni ikiwa uliwekeza vizuri.
 
Huyo ni kupe.Amevuka unyonyaji wa kawaida.Maisha ya wenza hutengenezwa kwa hatua na hazirukwi.Ndiyo maana huwa wanatafuta hela na kuishia kuibiwa au kutapeliwa.Ndiyo adhabu yao hiyo ya kukiuka maumbile asili ya maisha ya kibinadamu.Let them rot and sink in sorrowful ways![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama utajaribu kufikiria kwa makini zaidi, utagundua kuwa:-

Kinachomsumbua huyo sio uzee ni kukosa fedha.
 
Wewe ni Zwazwa, Kuna tofauti ya baba na Mume. acha kubeba mavi kichwani.
Utoto tu unakusumbua!!!

Kwa namna ulivyoi-punch hiyo hoja ya jamaa bila shaka wewe ni bendera fuata upepo hujui maisha yapoje na yanataka nini kadiri umri wako unavyosogea so kwanza epuka kubeba beba maoni ya watu mitandaoni wengine ni failures wameharibikiwa wanatafuta kundi la kuteseka nalo.
 
Miaka kadhaa nyuma niliwahi kuleta uzi hapa ni jinsi gani ndoa ni scam, ni jinsi gani ndoa iko pale kumnufaisha Mwanamke.

Siku za karibuni kumezuka matukio kadhaa ya mauaji ya wanandoa, au wanandoa kujiua sababu kubwa ikiwa mifarakano ya ndani ya ndoa.

Kwa Muktadha huo nazidi kushikilia ule msimamo wangu ya kwamba Maisha ya Mwanaume ili yawe Marefu kwa zama hizi aachana na hizi ndoa. Hutoua/Kuuawa/Kujiua.

Je wale wenzangu Lifetime Bachelors tupeane Mbinu zipi katika maisha yetu ya ubachela?

Uzi tayari!

cc: Liverpool VPN
 
Hahaha kama hizi ndio sababu za msingi za kuoa basi mleta mada yupo sahihi, yani unaoa ili upate wa kukuchambisha uzeeni?

Muhimu ni kupata watoto wa kuendeleza kizazi chako, kisha miliki pesa uone kama utapa shida.
Wewe na wewe mbona una-act utoto?

Zipo situation ktk maisha humkuta mtu siyo lazima uzeeke,assume upo above 30s umepata ajali mbaya inakulazimu uwepo wa mtu kukusaidia mpaka wakati wa haja za msingi za mwili wako unategemea mama yako akupeleke chooni au kaka yako au mdogo wako?

NB:Ninyi mnaojifanya hamjui au mnajua mnakuwa viburi kujifanya hamjui tembeleeni hospital kubwa hasa zile sehemu za maabara muuone umuhimu wa mwanaume mtu mzima kuwa na mke,unakuta mtu ameletwa kwa vipimo (hii niliiona juzi sept pale MNH tena bwana mdogo tu) alitakiwa kuvua nguo aingizwe kwenye MRI machine ikatangazwa msaidizi wake aende akaenda mkewe mnategemea ktk hali kama hii mama zenu wakawavue nguo?

 Nonse nse kabisa.
 
Wewe na wewe mbona una-act utoto?

Zipo situation ktk maisha humkuta mtu siyo lazima uzeeke,assume upo above 30s umepata ajali mbaya inakulazimu uwepo wa mtu kukusaidia mpaka wakati wa haja za msingi za mwili wako unategemea mama yako akupeleke chooni au kaka yako au mdogo wako?

NB:Ninyi mnaojifanya hamjui au mnajua mnakuwa viburi kujifanya hamjui tembeleeni hospital kubwa hasa zile sehemu za maabara muuone umuhimu wa mwanaume mtu mzima kuwa na mke,unakuta mtu ameletwa kwa vipimo (hii niliiona juzi sept pale MNH tena bwana mdogo tu) alitakiwa kuvua nguo aingizwe kwenye MRI machine ikatangazwa msaidizi wake aende akaenda mkewe mnategemea ktk hali kama hii mama zenu wakawavue nguo?

 Nonse nse kabisa.
Unahisi angekosekana ingekuwaje?.asingefanyiwa MRI?

Hospitali kuna Medical attendants kazi hiyo wangeifanya fresh tu..kuvuliwa nguo nayo ni ishu kubwa kweli??.
 
Watu wanasema mtu asipooa akiugua ataona cha moto..yes kama mtu huyo ni hoehae.

Mtu mwenye hela utapata nursing service yoyote unayoihitaji.
Sawa utapata kila unachokitaka!!!

Uliza hao wanaokataa kuowa Tanzania hii ni wangapi wana uwezo wa kupata hiyo home nusring care?toa hizo bima za afya wanazolipishwa kwa nguvu na serikali zao kununua panadol hawawezi maana kile walicho nacho mfukoni hakiwatoshi iwe kujitengenezea mazingira ya kuja kufutwa mavi uzeeni!!!wewe ulisikia wapi!

Na unakuta kwanza kwenye koo zao hao ndiyo maskini wa mwisho wanataka waje kulaumu watu kwamba walitengwa wakati wa shida zao!
 
Back
Top Bottom