Palina
JF-Expert Member
- Oct 9, 2021
- 3,551
- 9,522
Dejane umetisha mnoo kwa hii thread. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kuna mzee huyo anang’ang’ania kuishi kwetu ashazeeka ,nikamuambia mama yangu ashazeeka hawez kukuhudumia kakae kwa watoto ni kama anajifanya hanisikii anasema akija kwa mama anahudumiwa vizuri eti
Ebo ulikuwa wapi kutengeneza mazingira toka zamani uhudumiwe vizuru