Wale ambao hatuna Mpango wa kuoa tuendelee kupeana Mbinu za Maisha

Wale ambao hatuna Mpango wa kuoa tuendelee kupeana Mbinu za Maisha

Wanasema kwa kizungu "LIVE YOUR LIFE" kwa hiyo sitakiwi kukushangaa wala kukupangia uishije mleta mada,
Ila ntazungumzia kwa mimi kwa maisha niliyopitia ya kuwa alone kulinganisha na sahivi nipo na wife na watoto.
Kwanza nilipokuwa single sikuwa najua hata lengo langu hasa kuzaliwa mwanaume ni nini yani pesa inakuwepo unakula, unalala unapotaka na kufanya upumbafu wote kama kijana lakini kuna kitu kilikuwa nakikosa kabisa nafsini, hata furaha unapopata inakuwa kwa muda mfupi tu kesho unarudia yale yale ya jana tena angalau ufurahi..
Baada ya muda sana nimejikuta tu nipo na huyu wife, yani ni process iliyokuwa automatic tu tayari tupo wote na tuna mtoto wa kwanza kipindi hicho, hapo sasa ndiyo nikaanza kujifunza na kuona maana halisi ya kuwa mwanaume kimajukumu na maamuzi ambayo niliyapitia na ninayapitia.
Sahivi napata amani na nguvu/motivation natafuta pesa zinatumika na watoto na wife watu ambao wakifurahi basi na mimi napata amani kubwa kuliko, automatically hata marafiki fake na mambo ya kujirusha ishakuwa history.
Inshort Ni mambo mengi nimejifunza na bado najifunza sahivi kwa kuwa na familia/KUOA NA KUZAA ila jambo kubwa zaidi NI KUACHANA NA ROHO YA UBINAFSI/U MIMI ambayo nadhani ndiyo tatizo kubwa la Vijana wengi kukataa kuoa na si jambo jingine.
Na nyinyi ambao uanaume wenu upo attached na wanawake ndo huwa mnajinyonga mkiachwa, au mnakuwa radhi kuwa watumwa kwenye ndoa zenu kwa kuhofia ukiachwa utaishije.

Mwanaume unakiri kabisa kuwa haukuwahi kuuona umuhimu wa kuzaliwa mwanaume mpaka pale ulipokuwa na mwanamke, bado unajiona upo sawa? Kwahiyo bila huyo wife wewe si lolote si ndio? BETA MALE😄.

MWANAMKE NDIE ANAPASWA KUWA DESPERATE NA NDOA sio wewe mwanume, fullfill your purpose bila kutegemea mwanamke.

Change OR Perish.
 

Attachments

  • IMG_20221219_121933.jpg
    IMG_20221219_121933.jpg
    65.7 KB · Views: 3
mkuu, juzi nimekumbana na mzee mmoja, hana msaada analialia kama mtoto, nilipouliza mama/mzee mwenzake au watoto wake wako wapi, nikaambiwa jamaa alikuwa bitozi enzi zake hakutaka kuoa. sasa hivi uzee umemshukia, sukari imemkaba, macho hayaoni vizuri, majuto aliyo nayo anatamani arudishwe ujana arekebishe alipokosea
Mi naona hapo tatzo kubwa n umaskin. Angekua na hela hayo yote ange ya solve.
 
Mwanaume mwenye uchumi mzuri hateseki uzeeni na wala hawezi kuwa mpweke uzeeni (kikubwa awe na watoto tu).

Ikiwa tu kwenye ujana wenu wengi hamna cha ku-offer kwenye mahusiano zaidi ya utelezi, huko uzeeni ambako mwanaume hahitaji sana utelezi mtakuwa na lipi la maana?

Msitake kujioa umuhimu msiokuwa nao kwa wanaume, NDOA ni mradi wa mwanamke na familia yake, na mara nyingi anaeteseka ni mwanaume mpaka atakapoingia kaburini.
Eee mmeumbiwa mateso hata mwanamke pia
Ukweli ndio huo
 
Una miaka 60 labda hivi..utaoa pia na hapo tayari una wajukuu?..

Aibu gani hii?..ili tu upate wa kukuchamba..kudadadeki
So ktk uzee wako yale ilibidi yafanywe kwa dharura ktk mwili wako utataka wakufanyie wajukuu zako?

Na mbona umeshikilia sana issue ya kusafishwa kinyesi (then hii kauli kuchamba acha waitumie dada zako mtoto wa kiume haipendezi) unadhani hakuna nyengine za kufanyiwa na mke?kupikiwa,kufuliwa hizi unaziacha wapi?
 
wrong thinking. pesa ni ya maana ujanani tu ukiwa na nguvu za kuitumia. .ukishazeeka pesa is nothing. relationship ndiyo kila kitu hasa with your immediate family members-mke na watoto. waulize wenye pesa na hawana relationship nzuri na wanafamilia wao, watakwambia huzuni waliyonayo
Huzun gan bwana ww??? Acha kutulisha matango pori,,, eti relationship ndo kila ktu duuuuh yan we uwe mzee una familia afu huna raman zozote za kuingiza pesa afu eti useme relationship ndo kla ktu mtakula relationship? Bili za maji na umeme mtalila na hyo relationship??
 
So ktk uzee wako yale ilibidi yafanywe kwa dharura ktk mwili wako utataka wakufanyie wajukuu zako?

Na mbona umeshikilia sana issue ya kusafishwa kinyesi (then hii kauli kuchamba acha waitumie dada zako mtoto wa kiume haipendezi) unadhani hakuna nyengine za kufanyiwa na mke?kupikiwa,kufuliwa hizi unaziacha wapi?

Sasa kufuliwa na kupikiwa zinaweza kuwa sababu nzito za kuoa?

Mimi bado nasubiri sababu inayompa mwanaume ULAZIMA wa kuoa.

Keywords, ULAZIMA wa kuoa.
 
Sasa hela ziwepo si inatakiwa watoto waziendeleee wakutunze ukizeeka nguvu zinaisha pia unadhan kina Bakhresa wajinga watoto wake kusimamia biashara
Una guarantee gani kwamba watoto wataendeleza mali??? Mara ngapi tumeona mzaz akifa watoto wanauza mali zote afu wanaenda kukesha kidimbwi?
 
Kuna mzee huyo anang’ang’ania kuishi kwetu ashazeeka ,nikamuambia mama yangu ashazeeka hawez kukuhudumia kakae kwa watoto ni kama anajifanya hanisikii anasema akija kwa mama anahudumiwa vizuri eti
Ebo ulikuwa wapi kutengeneza mazingira toka zamani uhudumiwe vizuru
Sasa naona ushaanza kuelewa,,, kumbe shda n kwamba hakutengeneza mazngira (hakutafuta pesa) na shda sio kutokuoa mana angekua na pesa angeish kwake
 
Ninamuona Baba mwenye nyumba wangu ana 50+ hana Ndoa na wala hana huo mpango, ana Mtoto mmoja yupo Marekani,
Anasema shida zake za mwili huzimaliza kwa mwezi mara moja kwa dau la elfu 30 tu hazidishi,

Anajipenda sana, ana ujana mwingi na kwake kapangisha wasela tupu hataki familia,

Nguo anafua kwenye washing machine,
Jioni lazima aende baharini anasema anapata tiba ya akili, "bahari inaongea kama ukisiliza mawimbi vizuri"

Ukimuona ana furaha ila kuna watu wanahisi ni mpweke.
Mjanja sana huyo jamaa,,,, thats the lifestyle we deserve!!!!
 
Mi nataka nioe ila mwanamke aendelee kuishi kwa baba yake nimegundua ukiishi na mwanamke unamchoka haraka hata awe mzuri vipi ule uzuri ukishauozea huuoni tena unaona kasoro tu
Ni kama gari kabla hujainunua unaishobokea knoma ila ukishaipata unaiona haina maajabu lakn ukiingia nayo barabaran kila mtu lazma ageuze shngo
 
Back
Top Bottom