Sharbel
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 1,393
- 2,759
Ukioa wewe inatoshaAiseeeh, una kichwa kizito sana kwenye kuelewa hayo mambo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukioa wewe inatoshaAiseeeh, una kichwa kizito sana kwenye kuelewa hayo mambo.
Na nyinyi ambao uanaume wenu upo attached na wanawake ndo huwa mnajinyonga mkiachwa, au mnakuwa radhi kuwa watumwa kwenye ndoa zenu kwa kuhofia ukiachwa utaishije.Wanasema kwa kizungu "LIVE YOUR LIFE" kwa hiyo sitakiwi kukushangaa wala kukupangia uishije mleta mada,
Ila ntazungumzia kwa mimi kwa maisha niliyopitia ya kuwa alone kulinganisha na sahivi nipo na wife na watoto.
Kwanza nilipokuwa single sikuwa najua hata lengo langu hasa kuzaliwa mwanaume ni nini yani pesa inakuwepo unakula, unalala unapotaka na kufanya upumbafu wote kama kijana lakini kuna kitu kilikuwa nakikosa kabisa nafsini, hata furaha unapopata inakuwa kwa muda mfupi tu kesho unarudia yale yale ya jana tena angalau ufurahi..
Baada ya muda sana nimejikuta tu nipo na huyu wife, yani ni process iliyokuwa automatic tu tayari tupo wote na tuna mtoto wa kwanza kipindi hicho, hapo sasa ndiyo nikaanza kujifunza na kuona maana halisi ya kuwa mwanaume kimajukumu na maamuzi ambayo niliyapitia na ninayapitia.
Sahivi napata amani na nguvu/motivation natafuta pesa zinatumika na watoto na wife watu ambao wakifurahi basi na mimi napata amani kubwa kuliko, automatically hata marafiki fake na mambo ya kujirusha ishakuwa history.
Inshort Ni mambo mengi nimejifunza na bado najifunza sahivi kwa kuwa na familia/KUOA NA KUZAA ila jambo kubwa zaidi NI KUACHANA NA ROHO YA UBINAFSI/U MIMI ambayo nadhani ndiyo tatizo kubwa la Vijana wengi kukataa kuoa na si jambo jingine.
Kwan ukioa ndo guarantee kwamba huyo mke atakutunza sku za uzee?? Kwan si anaweza kukutekeleza.siku mwili ukianza kunyauka kwa sababu ya uzee na huna mke wa kukutegemeza utakumbuka majigambo yako kwa majuto makali sana. waulize waliozeeka bila kuoa wanavyoteseka.
Tafta hela. Hutazurura ovyo. Kuoa sio kinga ya kutozurura ovyo.Huwa wanakosa matunzo hata madogo madogo kupikiwa ,usafi halaf wanazurura hovyooo
Jitahidi kwenye maisha usiwe pessimistic. Ukiijaza akili yako vitu negative automatically vinakuja kuwa manifested kwenye matendo yako. Be very careful of what u wish for.Kwan ukioa ndo guarantee kwamba huyo mke atakutunza sku za uzee?? Kwan si anaweza kukutekeleza.
Mi naona hapo tatzo kubwa n umaskin. Angekua na hela hayo yote ange ya solve.mkuu, juzi nimekumbana na mzee mmoja, hana msaada analialia kama mtoto, nilipouliza mama/mzee mwenzake au watoto wake wako wapi, nikaambiwa jamaa alikuwa bitozi enzi zake hakutaka kuoa. sasa hivi uzee umemshukia, sukari imemkaba, macho hayaoni vizuri, majuto aliyo nayo anatamani arudishwe ujana arekebishe alipokosea
Eee mmeumbiwa mateso hata mwanamke piaMwanaume mwenye uchumi mzuri hateseki uzeeni na wala hawezi kuwa mpweke uzeeni (kikubwa awe na watoto tu).
Ikiwa tu kwenye ujana wenu wengi hamna cha ku-offer kwenye mahusiano zaidi ya utelezi, huko uzeeni ambako mwanaume hahitaji sana utelezi mtakuwa na lipi la maana?
Msitake kujioa umuhimu msiokuwa nao kwa wanaume, NDOA ni mradi wa mwanamke na familia yake, na mara nyingi anaeteseka ni mwanaume mpaka atakapoingia kaburini.
So ktk uzee wako yale ilibidi yafanywe kwa dharura ktk mwili wako utataka wakufanyie wajukuu zako?Una miaka 60 labda hivi..utaoa pia na hapo tayari una wajukuu?..
Aibu gani hii?..ili tu upate wa kukuchamba..kudadadeki
Huzun gan bwana ww??? Acha kutulisha matango pori,,, eti relationship ndo kila ktu duuuuh yan we uwe mzee una familia afu huna raman zozote za kuingiza pesa afu eti useme relationship ndo kla ktu mtakula relationship? Bili za maji na umeme mtalila na hyo relationship??wrong thinking. pesa ni ya maana ujanani tu ukiwa na nguvu za kuitumia. .ukishazeeka pesa is nothing. relationship ndiyo kila kitu hasa with your immediate family members-mke na watoto. waulize wenye pesa na hawana relationship nzuri na wanafamilia wao, watakwambia huzuni waliyonayo
Huyo tatzo lake sio kutokuoa bali ni kutojiandaa vzuri. Ona anazunguka na tv it means hana makazi. Sasa hyo ndoa ndo ingempa makazi?Kuna mmoja hapa analala kwenye gesti ashafukuzwa kila kona anazunguka na mkoba na tv na pasi hana hata pa kulala
So ktk uzee wako yale ilibidi yafanywe kwa dharura ktk mwili wako utataka wakufanyie wajukuu zako?
Na mbona umeshikilia sana issue ya kusafishwa kinyesi (then hii kauli kuchamba acha waitumie dada zako mtoto wa kiume haipendezi) unadhani hakuna nyengine za kufanyiwa na mke?kupikiwa,kufuliwa hizi unaziacha wapi?
Una guarantee gani kwamba watoto wataendeleza mali??? Mara ngapi tumeona mzaz akifa watoto wanauza mali zote afu wanaenda kukesha kidimbwi?Sasa hela ziwepo si inatakiwa watoto waziendeleee wakutunze ukizeeka nguvu zinaisha pia unadhan kina Bakhresa wajinga watoto wake kusimamia biashara
Kwahiyo hiyo ndoa ndio ingempa sehemu ya kulala?Kuna mmoja hapa analala kwenye gesti ashafukuzwa kila kona anazunguka na mkoba na tv na pasi hana hata pa kulala
Ukifa peke yako geto kuna utofauti gan na ambaye hajafa peke ake geto? Wote si mnaenda kuoza au???Utakuja kufa peke yako gheto.
Sasa naona ushaanza kuelewa,,, kumbe shda n kwamba hakutengeneza mazngira (hakutafuta pesa) na shda sio kutokuoa mana angekua na pesa angeish kwakeKuna mzee huyo anang’ang’ania kuishi kwetu ashazeeka ,nikamuambia mama yangu ashazeeka hawez kukuhudumia kakae kwa watoto ni kama anajifanya hanisikii anasema akija kwa mama anahudumiwa vizuri eti
Ebo ulikuwa wapi kutengeneza mazingira toka zamani uhudumiwe vizuru
Kwa nn?Kama hutaki kuoa,hakikisha una pesa nyingi,
Namanisha pesa nyingi kweli...
Mjanja sana huyo jamaa,,,, thats the lifestyle we deserve!!!!Ninamuona Baba mwenye nyumba wangu ana 50+ hana Ndoa na wala hana huo mpango, ana Mtoto mmoja yupo Marekani,
Anasema shida zake za mwili huzimaliza kwa mwezi mara moja kwa dau la elfu 30 tu hazidishi,
Anajipenda sana, ana ujana mwingi na kwake kapangisha wasela tupu hataki familia,
Nguo anafua kwenye washing machine,
Jioni lazima aende baharini anasema anapata tiba ya akili, "bahari inaongea kama ukisiliza mawimbi vizuri"
Ukimuona ana furaha ila kuna watu wanahisi ni mpweke.
Ni kama gari kabla hujainunua unaishobokea knoma ila ukishaipata unaiona haina maajabu lakn ukiingia nayo barabaran kila mtu lazma ageuze shngoMi nataka nioe ila mwanamke aendelee kuishi kwa baba yake nimegundua ukiishi na mwanamke unamchoka haraka hata awe mzuri vipi ule uzuri ukishauozea huuoni tena unaona kasoro tu
Ndo mana watoto wa mitaan wanazidi kuongezeka kwa sabab ya akili kama zako. Kuzaa watoto wengi usioweza kuwahudumia ni kuongeza idadi ya machokoraa mtaaniNdio maana huwa nashauri watu wazae watoto wengi
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Nyie niachen naangalia tamthiliaKwahiyo hiyo ndoa ndio ingempa sehemu ya kulala?
Yani point zote mnazoleta zinaingi kulekule tunakosema sisi, kosa la kutokujiandaa kiuchumi na si vinginevyo.