Wale ambao hatuna Mpango wa kuoa tuendelee kupeana Mbinu za Maisha

Wale ambao hatuna Mpango wa kuoa tuendelee kupeana Mbinu za Maisha

Na nyinyi ambao uanaume wenu upo attached na wanawake ndo huwa mnajinyonga mkiachwa, au mnakuwa radhi kuwa watumwa kwenye ndoa zenu kwa kuhofia ukiachwa utaishije.

Mwanaume unakiri kabisa kuwa haukuwahi kuuona umuhimu wa kuzaliwa mwanaume mpaka pale ulipokuwa na mwanamke, bado unajiona upo sawa? Kwahiyo bila huyo wife wewe si lolote si ndio? BETA MALE😄.

MWANAMKE NDIE ANAPASWA KUWA DESPERATE NA NDOA sio wewe mwanume, fullfill your purpose

Na nyinyi ambao uanaume wenu upo attached na wanawake ndo huwa mnajinyonga mkiachwa, au mnakuwa radhi kuwa watumwa kwenye ndoa zenu kwa kuhofia ukiachwa utaishije.

Mwanaume unakiri kabisa kuwa haukuwahi kuuona umuhimu wa kuzaliwa mwanaume mpaka pale ulipokuwa na mwanamke, bado unajiona upo sawa? Kwahiyo bila huyo wife wewe si lolote si ndio? BETA MALE😄.

MWANAMKE NDIE ANAPASWA KUWA DESPERATE NA NDOA sio wewe mwanume, fullfill your purpose bila kutegemea mwanamke.

Change OR Perish.
kwa mimi nilipokuwa na familia ndipo nilijua maana halisi ya kuwa mwanaume ila haimaanishi definition yangu ifanane na yako...so mwisho wa siku you have to live your life
 
Kwahiyo mke hawez kufa wa kwanza? Hawez kuishiwa nguv wa kwanza? Hawez kulemaa wa kwanza?
Mleta mada muhim sana uwe na bima za maana utibiwe kama aghakan wanajari kuliko ndugu.
Mleta mada uwe na makaz rafik usikose wa kukaa nae kati ya ndugu, jamaa na marafiki
Mleta mada wekeza vitega uchumi visivyohitaj ufuatiliaji wa kila siku kama real estate, au hisa. Pesa ikukute kitandan.
Mleta mada jenga mahusino mazuri na watu wote na zaid wa dini yako. Mtu mwema hakosag wa kumsaidia.
Mleta mada kama utafit uko sahihi utakufa miaka 5 haraka kabla ya aliyeoa kama ambavyo aliyeoa mke 1 anakufa haraka kabla ya wa wake wengi.
Mleta mada kuoa wakat mwingine huwa ni involuntary action. Unashtukia uko ndoan. Umeshawekwa kwenye sidiria. Nadhan bado u kijana.
Mleta mada nakuhakikishia UTAOA TU! hata iwe wiki 1.
Fafanua hapo kidogo why wa mmoja afe kabla ya anaemiliki wawili?
 
kwa mimi nilipokuwa na familia ndipo nilijua maana halisi ya kuwa mwanaume ila haimaanishi definition yangu ifanane na yako...so mwisho wa siku you have to live your life
Kwahiyo kabla ya kuoa uliishi ukiwa hujui maana halisi ya kuwa mwanaume?

Ni kweli siwezi kukupangia maisha ila usiwe attached na mwanamke kiasi hicho.
 
kwa mimi nilipokuwa na familia ndipo nilijua maana halisi ya kuwa mwanaume ila haimaanishi definition yangu ifanane na yako...so mwisho wa siku you have to live your life

Huwaga wanakuwa wabinafsi ila chá moto wanakipata uzeen wakiwa wapweke
 
Watu wanasema mtu asipooa akiugua ataona cha moto..yes kama mtu huyo ni hoehae.

Mtu mwenye hela utapata nursing service yoyote unayoihitaji.
Hawa wenye mwazo hayo n maskin wa kutupwa. Wamekulia kwny umaskin. Yaan mtu ukose wa kukuuguza uzeen na bank [emoji542] account inasoma billion 8+??


Watu hao akili zao bado zpo kwny "industrial age" ambapo wazaz walikua wana invest kwny watoto.
 
So ktk uzee wako yale ilibidi yafanywe kwa dharura ktk mwili wako utataka wakufanyie wajukuu zako?

Na mbona umeshikilia sana issue ya kusafishwa kinyesi (then hii kauli kuchamba acha waitumie dada zako mtoto wa kiume haipendezi) unadhani hakuna nyengine za kufanyiwa na mke?kupikiwa,kufuliwa hizi unaziacha wapi?
Kupikiwa

Kufuliwa..

Like serious??

Acha tuishie tu hapa.
 
Mnafurahisha [emoji23][emoji23][emoji23]

Okei unahela yes, una watoto yes hujaoa hatujakataaa and of course kila mtoto na mama yake

Hivi wewe unaleta picha gani kwa wanao? yaani hata watoto wanakuhesabia wewe muhuni tu utawaambia nini [emoji23][emoji23]

Wewe kila mwezi unabadilisha wanawake tu nani atakuheshimu?

Ndoa inaheshimisha acheni kuiga wazungu

Oeni mpate kuheshimiwa na jamii zenu, kutokukuoa na unajigamba u got money unahesabika ka muhuni tu and top cursed.
Jamii za kimaskin ndo znaamini ndoa inaleta heshma. Hakuna ataekuheshmu ww na ndoa yako kama hata kulisha hyo familia huwez, ww n mtu wa kuomba misaada na kulia lia kwa majiran kila sku,,, Kila mtu atakuona takataka.

Ukiwa na pesa hata kila mtoto akiwa na mamake atakuheshmu tu. Kwa sababu atakuwa anaona jins unavomletea mahtaji muhmu kama vile chakula, ada unamlipia kwny shule nzuri.. Ana uhakika wa malazi,,,, lazma akuheshmu!!
 
Jamii za kimaskin ndo znaamini ndoa inaleta heshma. Hakuna ataekuheshmu ww na ndoa yako kama hata kulisha hyo familia huwez, ww n mtu wa kuomba misaada na kulia lia kwa majiran kila sku,,, Kila mtu atakuona takataka.

Ukiwa na pesa hata kila mtoto akiwa na mamake atakuheshmu tu. Kwa sababu atakuwa anaona jins unavomletea mahtaji muhmu kama vile chakula, ada unamlipia kwny shule nzuri.. Ana uhakika wa malazi,,,, lazma akuheshmu!!
Inachekesha kwa kweli Mtu kudhani ndoa ndio inamuheshimisha na sio Pesa,
Umemuelewesha vema natumai atabadili msimamo wake
 
Kwahiyo mke hawez kufa wa kwanza? Hawez kuishiwa nguv wa kwanza? Hawez kulemaa wa kwanza?
Mleta mada muhim sana uwe na bima za maana utibiwe kama aghakan wanajari kuliko ndugu.
Mleta mada uwe na makaz rafik usikose wa kukaa nae kati ya ndugu, jamaa na marafiki
Mleta mada wekeza vitega uchumi visivyohitaj ufuatiliaji wa kila siku kama real estate, au hisa. Pesa ikukute kitandan.
Mleta mada jenga mahusino mazuri na watu wote na zaid wa dini yako. Mtu mwema hakosag wa kumsaidia.
Mleta mada kama utafit uko sahihi utakufa miaka 5 haraka kabla ya aliyeoa kama ambavyo aliyeoa mke 1 anakufa haraka kabla ya wa wake wengi.
Mleta mada kuoa wakat mwingine huwa ni involuntary action. Unashtukia uko ndoan. Umeshawekwa kwenye sidiria. Nadhan bado u kijana.
Mleta mada nakuhakikishia UTAOA TU! hata iwe wiki 1.
Unajua we umeongea kitu kimoja kikubwa sana na chakitofauti tangu uzi huu uanze?
 
Jitahidi kwenye maisha usiwe pessimistic. Ukiijaza akili yako vitu negative automatically vinakuja kuwa manifested kwenye matendo yako. Be very careful of what u wish for.
Am not pessimistic here. Naongelea uhalisia wa maisha na tunayoyaona mitaani.
 
Hawa wenye mwazo hayo n maskin wa kutupwa. Wamekulia kwny umaskin. Yaan mtu ukose wa kukuuguza uzeen na bank [emoji542] account inasoma billion 8+??


Watu hao akili zao bado zpo kwny "industrial age" ambapo wazaz walikua wana invest kwny watoto.

Wazee wangapi wanazeeka na bima za maana au hata milion 500 wangapi ukiangalia viongozi wafanya biashara wakubwa
 
Wajinga kweli wanakwepa majukum
Mi nimeshuhudia watu wakioa kwasababu ya kusaidiana kimaisha

Inafika hatua mtu anachapika anahisi pengine urahisi ataupata kupitia ndoa

Yani inafika time mchizi life limemchapa watu waliomzunguka unakuta wanampa ushauri...oa msaidiane maisha na mwenzako sometimes wanawake huja na baraka

We hiyo hujawahi kuisikia?

Mi kwangu hiyo ni moja ya uoga wa maisha na kukwepa majukumu.... na inafanyika sana hapa kwetu Tanzania
 
Akili zako ndo zilipoishia? Kwa akili hz zenye poor reasoning kias hk ndo mana mnaingia kwny mtego uitwao "ndoa"
Washamba na wanaume wasiojiamini tena ambao pesa hamna kama wewe ndo mnaktaa ndoa.

Ngoja utakuja kuolewa.
 
Back
Top Bottom