Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Unazidi ku-sound kitoto na toka huko juu nimekwambia wewe bado mtoto.
Ktk maisha wote tunabahatisha hakuna aneyejua atafikisha umri gani,ajali zipo maradhi yapo serikali yako kila siku inatoa tathmini magonjwa yasiyoambukizwa yameongezeka unasemaje hakuna kutojiweza ktk maisha?na siyo wanaume hata wanawake inawahusu
Shida ni kwamba unataka kusikia unachokiamini wewe ili nionekane sio mtoto.
Ila kuoa kwa kwa kigezo cha kwamba utasaidiwa uzeeni ni upumbavu na utoto wenyewe, unless kuwepo na sababu nyingine firm.
Yani nioe kwa kuugopa uzee? Mascular men hawawezi kuifanya hiyo kuwa sababu, labda SIMPS.