Wale ambao hatuna Mpango wa kuoa tuendelee kupeana Mbinu za Maisha

Wale ambao hatuna Mpango wa kuoa tuendelee kupeana Mbinu za Maisha

hayo yote ni ya maana ukiwa na relationship na watu wako wa karibu sana-mke, mtoto/watoto. kwa sasa utajigamba tu kwa sababu una nguvu na unapesa na una nguvu za kuitumia. wait when you are old, ndipo utatambua. Waulize wazee watakujaza ufahamu zaidi.
Hivi kwanini mnapojadili swala la kuonesha umuhimu wa ndoa mnatumia point za kuumwa?

Binafsi naona kabisa zipo hoja zenye mashiko za kumshawishi mtu na akakuelewa zaidi ya hizo habari za mtu kuoa kuhofia kuumwa au mtu wakumsaidia pindi akizeeka

Kama nawewe upo kwenye ndoa kwasbabu hizo basi unatakiwa ujitafakari sana na pengine ufanye kila uwezalo mke wako asijue kama yeye yupo hapo kama backup tu, hana umuhimu mwingine zaidi ya hilo.
 
Mhubiri 4:9-12
Ni afadhali kuwa wawili kuliko mtu kuwa peke yake.Kwa sababu wawili watapata tuzo la kazi yao. Ikijatokea mmoja akaanguka, Huyo mwenzake atamwinua. Lakini Ole wake aliye peke yake akianguka! Huyo hatakuwa na mtu wa kumwinua!. Hali kadhalika, wawili wakilala pamoja watapata joto, Lakini mtu akiwa peke yake atajipatiaje joto?Mtu akiwa peke yake aweza kushindwa na adui lakini wakiwa wawili watamkabili na kumshinda adui. Kamba tatu zikisokotwa pamoja hazikatiki kwa urahisi.
 
Hahaha kama hizi ndio sababu za msingi za kuoa basi mleta mada yupo sahihi, yani unaoa ili upate wa kukuchambisha uzeeni?

Muhimu ni kupata watoto wa kuendeleza kizazi chako, kisha miliki pesa uone kama utapa shida.
Asilimia 90 wengi wanaosapoti swala la ndoa wanaangukia kwenye hoja hizo

Yani inaonesha wazi kwamba wana ile dhana ya insecurity ina rotate kwenye bongo zao na kwamba wangehakikishiwa usalama wao katika nyakati za uzee wao basi wengi wangekosa sababu ya msingi ya kuoa/kuolewa

Na katika hili naona wanawake ndio hawana option kabisa ya kutetea upamde wao kwanini ndoa ni muhimu. Kwasababu hawa ndio wameonekana kusimama kama wauguzi katika nyakati ambazo waume zao wanapatwa na matatizo
 
Kwani mke hawezi kuwa gold digger? Nyinyi wanawake mnanini cha ku-offer kwenye ndoa zaidi ya utelezi huku mkitegemea kuwa provided kila kitu? Mnatofauti gani na magold digger?

Nimekataa na nitaendelea kukataa:-

Ukiwa na uchumi mzuri, kisha ukawa na watoto wako uliowajali vizuri, HAUWEZI kuteseka uzeeni kwa namna ambavyo mnajaribu kuyakuza mambo humu.

Uliona wapi mwenye uchumi mzuri akakosa watu wa kuwafuga kwenye familia yake? Huo upweke unatoka wapi?

Nyinyi wanawake hamna umuhimu huo mnaojaribu kujipa kwenye maisha ya wanaume, zaidi ya kuzaa watoto (ambao mwanaume anaweza kuwapata bila ndoa)
Sijasoma sehemu kubwa ya ulichoandika.Umenijumuisha nami nwanamke?😂😂😂😂
 
Hawa wenye mwazo hayo n maskin wa kutupwa. Wamekulia kwny umaskin. Yaan mtu ukose wa kukuuguza uzeen na bank [emoji542] account inasoma billion 8+??


Watu hao akili zao bado zpo kwny "industrial age" ambapo wazaz walikua wana invest kwny watoto.
Here you are not being realistic, watz wangapi unaowafahamu kwenye cycle yako waliooa na wasiooa wenye utajiri wa billion 5 tu achana na hizo 8 ulizosema
 
Here you are not being realistic, watz wangapi unaowafahamu kwenye cycle yako waliooa na wasiooa wenye utajiri wa billion 5 tu achana na hizo 8 ulizosema
Wakiitwa ni vijana wa hovyo wanalia wanadharauliwa ila hawajui kitu kinawahukumu ni hoja zao mfu!!!

Umemuuliza swali la msingi sana,huyo unakuta ameajiriwa anasubiri mshahara mwisho wa mwezi take home 600K ila yupo JF anazungumzia habari za B kadhaa!!!
 
Back
Top Bottom